Wageni ruksa kununua bondi za Serikali
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeruhusu wawekezaji kutoka nchi za Afrika Mashariki kununua dhamana za Serikali, hivyo kuongeza ushindani katika minada ya dhamana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Klabu ruksa kusajili wageni saba
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
‘Ruksa kununua hisa mafuta na gesi’
NA RACHEL KYALA
SERIKALI kwa mara ya kwanza imetoa fursa kwa wananchi ya kuwekeza kwa kununua hisa katika sekta ya mafuta na gesi.
Hatua hiyo imekuja kufuatia serikali kutoa kibali kwa Kampuni ya Mafuta na Gesi ya Swala, kuwa ya kwanza kuuza hisa Afrika Mashariki na kumilikiwa na wazawa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Swala, David Ridge, akizungumza jijini Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa uuzaji wa hisa, aliwataka watanzania kuchangamkia fursa hiyo ili kuinua uchumi wao na wa taifa kwa...
11 years ago
Habarileo11 May
Ruksa Serikali kukemewa inapokosea
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema ruksa wabunge kukemea Serikali inapokosea lakini wasiikatishe tamaa katika mambo mazuri inayoyafanya badala yake waipe moyo.
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Serikali yatangaza ‘kuminya’ ajira za wageni
11 years ago
Habarileo14 Jun
Serikali kununua mafuta kielektroniki
SERIKALI itaanzisha mfumo mpya wa kielektroniki wa kununua, kutunza na kuuza mafuta yanayotumika katika magari yake.
9 years ago
Michuzi
11 years ago
Tanzania Daima31 May
‘Serikali iache kununua magari ya kifahari’
SERIKALI imeshauriwa kuacha kununua magari ya kifahari, badala yake fedha hizo zielekezwe katika kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi. Akiuliza swali bungeni jana, Mbunge wa...
11 years ago
Habarileo28 May
Serikali yatakiwa kununua treni za kisasa
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imesisitiza kuwa ili mradi wa treni ya kusafirisha abiria jijini Dar es Salaam, ufanyike kwa kasi na kwa ufanisi, Serikali iharakishe kununua angalau treni mbili za kisasa.
10 years ago
Habarileo21 Nov
Serikali yakopa bil 50/- kununua mahindi
SERIKALI imekopa Sh bilioni 50 katika benki ya CRDB kwa ajili ya kununua mahindi yaliyojazana kwa wakulima nchini, kutokana na kupata mavuno mengi mwaka huu.