WAHOLANZI 154 WAPOTEZA MAISHA KATIKA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOLIPULIWA NA KUUA 298
![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppBtxPmw3Nd6JkOQPStRAlmNWB0TJIFsJIgsHKcHqJ0vUfY78JQp3Byoz018iTg6txReLB0KjJb1DC3DRYLqaw*P/1.jpg?width=650)
Ndege ya Malysia aina ya Boeing 777-200 ikiteketea kwa moto baada ya kulipuliwa. Mmoja wa waasi wanaoiunga mkono Urusi akiwa eneo la ndege iliyolipuliwa.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ea4x8ggFHeI2e4VDElM2dCsr8OSspfIcw7pH9a-pqWjwiaC*g9BM0i41MRQ5fjDH5htMv7I3zpUPvWPbLz0nHt5zv3kde6bP/4.jpg)
MAOFISA WA MALAYSIA WAKABIDHIWA VIFAA VYA KUTUNZA KUMBUKUMBU YA NDEGE ILIYOLIPULIWA
Mwanajeshi wa wapiganaji wanaoiunga mkono Urusi akikabidhi mojawapo ya vifaa vya kutunza kumbukumbu (black boxes) vya ndege ya Malaysia MH17 iliyolipuliwa kwa maofisa wa Malaysia.
Vifaa viwili vya kutunza kumbukumbu (black boxes) vya ndege ya Malaysia vilivyokabidhiwa.…
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Ndege yaanguka, watu 11 wapoteza maisha
Watu 11 wamefariki dunia baada ya ndege ya kijeshi ya Marekani aina ya Hercules kuanguka katika uwanja mmoja wa ndege nchini Afghanistan.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGFMwh5Ceg7BXEC662X9vMFXEnx1z9OTx*7cfJZorojLiN4FpgOdi*Lmfz-hdnOtWfQ4ZoBEkxbiQdjbhCS99Mb2/NDEGEKUPOTEA1.jpg?width=650)
SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000
Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia, Warren Truss, kulia, akizungumza na ofisa wa juu ya kikosi cha uokoaji na mratibu wa operesheni ya kuitafuta ndege iliyopotea, John Rice. Wataalamu wa Rada wakiwa wamepigwa picha ndani ya ndege ya Kijeshi ya New Zealand wakiwa katika msako wa chombo hicho kilichopotea Kusini mwa bahari ya…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2MYWvITk*2W38eghaQzwgelnNB3JBvep*JB6M62IOH6pAbenFNG1Bl*sGV5YUXFgSY1vG*wErrKOG9hGMHY8guR/ajali.jpg?width=650)
42 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI PAKISTAN
Tela la trekta likiondolewa eneo la ajali. Ramani ikionyesha eneo ilipotekea ajali. WATU 42 wamepoteza maisha wakati 17 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria lililokuwa likielekea Karachi nchini Pakistan kugongana na trekta lililokuwa na tela. Miongoni mwa waliopoteza maisha ni watoto 14 na wanawake 13. Ajali hiyo imetokea leo katika mji wa Sukkur, umbali wa kilomita 425 kutoka Karachi. Dereva wa basi amefariki papo hapo wakati...
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-6WAt19OePqw/U9A1PgFWD3I/AAAAAAAF5UQ/KiwdJNW6ltg/s1600/unnamed.jpg?width=650)
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
Balozi Tuvako Manongi,akiandika katika kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Udachi ( Nertherlands) kuomboleza familia 298  ambazo maisha yao yamekatishwa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria MH17 kuangushwa nchini Ukraine wiki iliyopita.
Balozi Manongi akiwaombea marehemu…
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6WAt19OePqw/U9A1PgFWD3I/AAAAAAAF5UQ/KiwdJNW6ltg/s72-c/unnamed.jpg)
MWAKILISHI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA AOMBOLEZA VIFO VYA ABIRIA KATIKA AJALI YA NDEGE YA MALAYSIA
Mhe. Balozi Tuvako Manongi, Muwakilishi wa Kudumu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, jana Jumatano ameungana na Mabalozi wengine wanaoziwakilishi Nchi zao katika Umoja wa Mataifa, kutia saini kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Udachi ( Netherlandes) katika Umoja wa Mataifa kuwakumbuka watu 298 waliopoteza maisha baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria ya MH17 inayomilikiwa la Shirika la Ndege la Malaysia ...
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Watu saba wapoteza maisha katika ajali
Watu saba wamefariki dunia papo hapo katika ajali ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia Januari 5 mwaka huu katika eneo la Mti mmoja, wilayani Monduli.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8L_1vwC76ec/U58ojgglJJI/AAAAAAAFrHo/yDNlFz_AkHE/s72-c/0.jpg)
askari wawili wapoteza maisha katika ajali chalinze leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-8L_1vwC76ec/U58ojgglJJI/AAAAAAAFrHo/yDNlFz_AkHE/s1600/0.jpg)
Na John Gagarini, Kibaha
WATU wawili wamefariki dunia huku mmoja akijeruhiwa baada ya magari waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani, kamishna Msaidizi mwandamizi wa polisi (SACP) Ulrich Matei (pichani) amesema kuwa ajali hiyo ilihusisha lori na gari dogo. Kamanda Matei alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Juni 16 mwaka huu majira saa 1:15 usiku eneo la Chamakweza kata ya Pera tarafa ya Chalinze wilayani...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eAs32y6M0bU/U9kzuOOIuEI/AAAAAAAF76E/IS2iYZVMgdc/s72-c/unnamed+(8).jpg)
17 wapoteza maisha na 56 wajeruhiwa katika ajali ya basi la morobest dodoma
![](http://1.bp.blogspot.com/-eAs32y6M0bU/U9kzuOOIuEI/AAAAAAAF76E/IS2iYZVMgdc/s1600/unnamed+(8).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania