Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wahouthi taabani huko Yemen

Majeshi ya muungano yamewabana wapiganaji waasi katika mji wa Zinjibar wakikusudia kuwafurusha waasi wa ki-houthi ambao walimtimua rais

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Saudia yawashambulia Wahouthi Yemen

Ndege za jeshi la Saudi Arabia zimeshambulia maeneo kadha nchini Yemen katika kampeni yake dhidi ya waasi wa Houthi

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius taabani

Pistorius amerejea tena mahakamani kuhojiwa zaidi na kujibu maswali ya mwendesha mashtaka mkuu Gerrie Nel

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi taabani Thailand

Maelfu ya wakimbizi kutoka Bangladeshi na Myanmar wametelekezwa karibu na ufuo wa Thailand kufuatia masharti makali yaliyowekwa

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali taabani kifedha

Sasa ni dhahiri kuwa Serikali iko taabani kifedha na hali hiyo imeanza kuwatia hofu wabunge hasa baada ya kubainika kwamba katika bajeti ya mwaka 2013/2014 pekee, kuna upungufu wa Sh1.8 trilioni.

 

9 years ago

Mwananchi

Marando taabani Muhimbili

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Mashariki ambaye pia ni mwanasheria, Mabere Marando amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi jioni akiwa hajitambui.

 

9 years ago

Raia Mwema

‘Wagombea’ wa Lowassa taabani

ZIKIWA zimesalia siku tatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu, wagombea w

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mwananchi

Vyama vitano taabani

Wakati CCM, Chadema na ACT- Wazalendo vikisema vitajitahidi kubana matumizi ya shughuli za Uchaguzi Mkuu yasivuke kiwango cha Sh17 bilioni kilichowekwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, vyama vingine vitano vinalia ukata.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake taabani Afghanistan

Watetezi wa wanawake wamemuasa Rais Hamid Karzai kutotia saini mswada utakaopelekea kuwa vigumu kuwapata na hatia wanaowadhulumu wanawake.

 

10 years ago

Mtanzania

UDA taabani kifedha

UDANa Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAKATI Serikali ikitafakari kulipatia Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) haki ya kuendesha mradi mkubwa wa mabasi yaendayo kasi katika Jiji la Dar es Salaam, kuna habari kuwa shirika hilo linaelekea kufilisika.
Habari za uhakika kutoka ndani ya shirika hilo zimebainisha kuwa kwa sasa UDA liko katika hali mbaya kifedha kiasi cha kushindwa kumudu gharama za kujiendesha, ikiwamo kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara.
Chanzo hicho cha habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani