Waimbaji 14 kupamba uzinduzi wa ‘Siwema’
WAIMBAJI 14 wamethibitisha kuimba katika uzinduzi wa albamu ya injili, ‘Siwema’ ya George Kayala itakayozinduliwa Agosti 9, katika ukumbi wa Kanisa la WRM lililopo Matembele ya Pili Kivule jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Wastara kupamba uzinduzi wa Siwema
MWIGIZAJI wa filamu nchini, Wastara Juma, anatarajia kunogesha uzinduzi wa albamu ya ‘Siwema’ ya mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, George Kayala, unaotarajiwa kufanyika Agosti 9, katika ukumbi wa Kanisa...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA ALBAMU TATU ZA MWAITEGE NI KESHO UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE, WAIMBAJI WATAKAO MSINDIKIZA WATAMBULISHWA
10 years ago
MichuziBONGO MOVIE KUPAMBA UZINDUZI WA KITABU CHA MAREHEMU KANUMBA LANDMARK HOTEL
UZINDUZI wa kitabu cha msanii wa filamu hayati Steven Kanumba unatarajia kuandika historia kufuatia maandalizi yaliyopangwa anasema mratibu wa tamasha hilo Mohamed Mwikongi ‘Frank’ amesema kuwa kutakuwa na mambo muhimu sana kwa ajili ya kumuenzi msanii huyo ambaye aliitangaza Tanzania kimataifa.
“Tumepanga kufanya mambo makubwa kwa ajili ya mwenzetu na tunataka ijengeke tabia ya kuenzi wasanii mbalimbali, pesa za uzinduzi wa kitabu hiki utafungua Kanumba Foundation kwa ajili ya kusaidia...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FZxXckcwoMY/VDvIKkZSoYI/AAAAAAADFbg/kgqOsIDvjnE/s72-c/IMG-20141013-WA001.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgbHC0*1UdqZNDStah6LKRwIMTCO-ccvD297yLNS1MPN2ZwttVnYQidAp*0DndflewHaE0AbZ-vxRUnx5p97NUr2/siwemacopy.jpg?width=650)
SIWEMA WA NAY MBARONI!
Baltazar Mashaka, MWANZA Mzazi mwenzake staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson (27) ametiwa mbaroni na kusota rumande kwa siku kadhaa akidaiwa kujipatia mali kwa njia ya vitisho kutoka kwa kigogo mmoja serikalini (jina linahifadhiwa kwa sasa). Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Naibu Kamishna wa Polisi, Charles Mkumbo. Mei 2, mwaka huu, Siwema alilala ‘nyuma ya nondo’...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tmqA3rmqdgYjuaLf9zGiBgLAlOAB9AF-t6vGBRdsf1CUp*Pe5gBrDHHkO3aSzWkzuF72JjL42KmrKDzlCj7c9revDAvNgZDT/ney2.jpg?width=650)
SIWEMA, SHAMSA PACHIMBIKA
Imelda mtema
Kazi imeanza! Staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambaye kwa hivi sasa ni mpenzi mpya wa mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ na mpenzi wa zamani wa Mbongo-Fleva huyo, Siwema wameanza kuchimbana baada ya hivi karibuni kurushiana madongo. Aliyekuwa mpenzi wa mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ , Siwema. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shamsa aliposti picha na maneno...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7uQJXRRrwL9SjSRp*T56p-jwB7s0sOav*J9LRzoAeg*VmIhUBUF2p60Lg56PCKy5qfxbBlbrFDA1fP0RM68gndD/nay.jpg)
NAY: NAJIVUNIA KUZAA NA SIWEMA
Stori: Gladness Mallya MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amefunguka kuwa japokuwa ana watoto wengine wa nje lakini anajivunia kuzaa na mkewe, Siwema kwani walipitia changamoto nyingi kabla ya kupata mtoto. Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ akiwa na mpenzi wake Siwema.
Akichezesha taya na paparazi wetu, Nay alisema katika maisha ya mapenzi yake...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QmRFQRFpoAT0Gmkz-acombXGcHJ01wmVeDz0fp2S16ISCr5rScHgPW*i848NhCrX*Dg6QUHw4Ue51GV0u76t7ycLtyUuOvNR/siwemacopy.jpg?width=650)
SIWEMA AMWANGUKIA NAY WA MITEGO!
Musa Mateja Mwisho wa jeuri? Mzazi mwenza wa staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson anadaiwa kumwangukia mwanamuziki huyo ili warudiane walee mtoto wao. Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ Habari kutoka chanzo cha kuaminika ambacho ni ndugu wa Siwema kilieleza kuwa, pamoja na maneno ya shombo aliyommwagia Nay wakati wanaachana, mrembo huyo kwa sasa ameweka silaha chini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3iiayk9JP3usLyrtZQUGjCHomJDWx9bwnQvSYkQ4D1cRgS100058woNX7i*Njr-AH5XEdnf4khOkt6FMRRYvUFVS/ghhjrhjtjej.jpg?width=650)
SIWEMA WA NAY WA MITEGO KORTINI
Musa mateja MAJANGA yamezidi kumkuta mzazi mwenzake na Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson ambapo jana alitarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza, kujibu shitaka la kujipatia mali kwa njia vitisho. Mzazi mwenzake na Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson. Siwema anatuhumiwa kujipatia mali kwa kumtishia kigogo mmoja...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania