Waingizaji sukari ya magendo kusakwa
SERIKALI imetangaza msako mkali kuwanasa waingizaji na wauzaji wa sukari ya magendo iliyoingizwa nchini na kuzagaa kwenye masoko. Pia, maofisa wote wa Mamlaka ya Mapato na ushuru mwingine kwenye bandari...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV10 Feb
Serikali yapambana na waingizaji sukari kinyemela.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es salaam.
Waziri wa kilimo na Chakula Stephan Wassira amesema Serikali inafanya jitihada za kukabiliana na tatizo la uingizwaji wa sukari kwa njia zisizo rasmi ambazo zinapelekea kwa kiasi kikubwa kuathiri uwekezaji katika sekta ya kilimo cha muwa na viwanda vya sukari hapa nchini.
Aidha, Wassira amesema serikali inatambua na kuthamini uwekezaji na mapato makubwa yanayopatikana kupitia uwekezaji katika kilimo cha muwa hivyo kuna kila sababu ya kubaliana na...
9 years ago
Habarileo04 Dec
Ma-RC kujadili magendo ya sukari
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makalla amesema anatarajia kuzungumza na uongozi wa mkoa wa Tanga na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kudhibiti matumizi mabaya ya bandari na uingizwaji sukari kutoka nje ya nchi kwa njia za panya.
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Mwarobaini sukari ya magendo waja
11 years ago
Habarileo19 May
Wizara kudhibiti sukari ya magendo
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imewaomba wadau wa sekta ya sukari nchini wakiwemo wazalishaji katika viwanda vya ndani kuendelea kutoa ushirikiano wa karibu na vyombo vya dola kwa kuhakikisha wanawafichua wafanyabiashara wasio waaminifu wanaoingiza sukari kwa njia ya magendo.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s72-c/Sukari%2B1.jpg)
RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje
![](http://1.bp.blogspot.com/-6W3f9sVUsYg/Vl7zsvaNifI/AAAAAAAAJQs/Y3qkppXxhmc/s640/Sukari%2B1.jpg)
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
TBS kuwasaka waingizaji wa nguo za ndani
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) litafanya operesheni ya kuwasaka wale wote wanaoingiza nguo za ndani za mitumba nchini. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili jana, Ofisa Mahusiano wa TBS, Roida Andusamile,...
5 years ago
Bongo514 Feb
Vita dhidi ya waingizaji wa filamu ‘feki’ za nje nchini isihusishwe na siasa – JB
Ikiwa ni siku moja toka biashara ya filamu ‘feki’ za nje zipigwe marufuku mpaka pale wafanyabiashara wa filamu hizo watakapokamilisha taratibu za ulipaji wa kodi, mengi yameendelea kuibuka, ikiwa ni pamoja na wasanii ambao walihusika kwenye kampeni hiyo kuambiwa wanatumika kisisasa.
Jacob Stephan ‘JB’ akiwa na mashabiki wake wa filamu Kariakoo jijini Dar es salaam
Wasanii hao wakiongozwa na JB, Jumatano hii waliungana na ofisi ya Mkoa wa Dar es salaam kufanya opesheni hiyo ndani ya soko la...
11 years ago
Habarileo28 Feb
Aliyemuoa mwanafunzi kusakwa
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Evarist Ndikilo ameliagiza Jeshi la Polisi kumsaka na kumfikisha katika vyombo vya sheria mtu anayedaiwa kumrubuni na kumuoa mwanafunzi Veronika Maganga aliyetakiwa kujiunga Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya bweni Rugambwa mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Karafuu ya magendo yakamatwa