Ma-RC kujadili magendo ya sukari
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makalla amesema anatarajia kuzungumza na uongozi wa mkoa wa Tanga na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kudhibiti matumizi mabaya ya bandari na uingizwaji sukari kutoka nje ya nchi kwa njia za panya.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Waingizaji sukari ya magendo kusakwa
SERIKALI imetangaza msako mkali kuwanasa waingizaji na wauzaji wa sukari ya magendo iliyoingizwa nchini na kuzagaa kwenye masoko. Pia, maofisa wote wa Mamlaka ya Mapato na ushuru mwingine kwenye bandari...
11 years ago
Habarileo19 May
Wizara kudhibiti sukari ya magendo
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imewaomba wadau wa sekta ya sukari nchini wakiwemo wazalishaji katika viwanda vya ndani kuendelea kutoa ushirikiano wa karibu na vyombo vya dola kwa kuhakikisha wanawafichua wafanyabiashara wasio waaminifu wanaoingiza sukari kwa njia ya magendo.
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Mwarobaini sukari ya magendo waja
9 years ago
Michuzi
RC Makalla atembelea kiwanda cha sukari TPC, akerwa na sukari inayoingia kwa wingi kutoka nje

Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, amefanya ziara katika kiwanda cha Sukari cha TPC kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro ili kujionea hali ya uzalishaji wa sukari kwenye kiwanda hicho. RC Makalla alijionea hali halisi ya kiwanda hicho ambacho...
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Karafuu ya magendo yakamatwa
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Magogo ya magendo sasa kurudishwa
10 years ago
Habarileo06 Mar
Shehena za magendo zakamatwa Sirari
MAOFISA wa Kituo cha Forodha cha Sirari na wenzao wa kodi za ndani wamekamata magari matatu yenye shehena ya mali za magendo, zinazodaiwa kuingizwa nchini kwa njia za panya kutoka Kenya bila kulipiwa ushuru.
10 years ago
Vijimambo
KARAFUU ZA MAGENDO ZAKAMATWA MTAMBWE


10 years ago
Uhuru Newspaper05 Mar
TRA yanasa malori ya magendo
NA SAMSON CHACHA, TARIMEUKAMATWAJI wa malori yanayosafirisha mizigo kwa njia ya magendo kutoka Kenya kwa kupitia mpaka Sirari mkoani Mara, umezidi kushika kasi ambapo jana yalikamatwa matatu yaliyosheheni bidhaa mbalimbali zikiwemo nondo na saruji. Magari hayo yalikamatwa kwa ushirikiano wa Maofisa wa Forodha wa kituo cha Sirari wakishirikiana na wenzao wa kodi za ndani wilayani hapa. Akizungumzia tukio hilo, Meneja wa Forodha Mkoa wa Mara, Ben Usaje, alisema magari hayo ni fuso mbili zenye...