Waislamu wakumbushwa kuenzi amani na kuacha kuihatarisha
WAISLAMU wamekumbushwa kujihadhari kufanya ama kujihusisha na vitendo vinavyohatarisha amani kwani hotuba ya mwisho kabisa aliyoitoa Mtume Muhammad (S.A.W) kwa waumini wakati wa Hija kama sasa, pamoja na mambo mengine, ilisisitiza amani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL21 Dec
11 years ago
Mtanzania30 Jul
Waislamu watakiwa kulinda amani
![Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Mohamed-Gharib-Bilal.jpg)
Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal
MANENO SELANYIKA NA ASIFIWE GEORGE
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, amewataka Waislamu kote nchini kuhakikisha wanadumisha amani na umoja.
Mbali na kutoa wito huo, Dk. Bilal alilaani mauaji yaliyotokea nchini Palestina na kuwataka viongozi wote duniani kukaa na kujadili namna ya kurejesha amani hiyo.
Kauli hiyo aliitoa jana kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Issa Shaaban Simba, katika ibada maalumu ya Sikukuu ya Idd El Fitri,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3YX5i7K88Ay*NSRG7J0zFbk39PfOwI*oXmZL8iY1*R9OJ52382Y83fEBT4mnaEmoPvwNbdY-Nfs728C3yrG1gBkGhFhVmj6*/2.jpg)
WAISLAMU WAIOMBEA AMANI PALESTINA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s72-c/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI YA AMANI KWA WAISLAMU TANZANIA YAMPONGEZA RAIS MAGUFULI MAPAMBANO DHIDI YA CORON, YATOA RAI KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-xblQYeTELv8/XqcrZwO73OI/AAAAAAALoZs/isrh0B5HreEyiZwA9QWaYJ5nyR9zGBwiwCLcBGAsYHQ/s400/4-4-1024x944.jpg)
TAASISI ya Amani kwa Waislamu Tanzania (TIPF) kupitia Mwenyekiti wake Sadiki Godigodi imeipongeza hotuba ya Rais Dk. John Magufuli ambayo ameitoa siku za karibuni kuhusu hali halisi ya janga la ugonjwa wa Covid-19 nchini.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti huyo ni kwamba hotuba ya Rais Magufuli imejaa matumaini hususn katika matumizi ya dawa za kujifukiza huku akiwataka wataalamu wa kitaifa na kimataifa kuhakikisha wanafanyia kazi dawa hizo za asili zilizoonesha matumaini...
5 years ago
MichuziTAASISI YA AMANI TANZANIA YAWATAKA WANASIASA KUACHA KUTUMIA JANGA LA CORONA KAMA MTAJI WA KISIASA, WAUNGA MKONO HOTUBA YA RAIS MAGUFULI
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu
9 years ago
Habarileo02 Sep
Wakumbushwa sheria za uchaguzi
WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuzingatia maadili ya kazi zao na kuzijua Sheria za Tume ya Uchaguzi (ZEC) ikiwemo kufahamu kwamba chombo chenye uwezo wa kutangaza matokeo ya urais wa Zanzibar ni Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC).
9 years ago
Habarileo11 Nov
OUT wakumbushwa dhana ya uwajibikaji
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), tawi la Manyara wanaosoma huku wakifanya kazi wamehimizwa kukabili changamoto za uwajibikaji kazini na kwenye masomo ili kufikia malengo ya maendeleo kwa kujipatia elimu kwa wote.
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Wanasiasa wakumbushwa kumrudia Mungu