WAISLAMU WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA KIFO CHA MTUME MUHAMMAD
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLCHUO CHA IMAMU JAFAR SWADIQ CHAADHIMISHA KIFO CHA MTUME MUHAMMAD (S.A.W)
Sheikh Hemed Jalala akiwahutubia waumini (Hawapo pichani). Baadhi ya viongozi wakiwa meza kuu.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKj-cQphFhYL9kD1Azx2dNnw6MYAw8-DT3QituguqgtXTFPP5B1fTJc03ae8anXvYr*BFklyJfpAE35TxFTKE0pY/muslims.jpg?width=650)
WAISLAMU DAR WAMKUMBUKA MJUKUU WA MTUME MUHAMMAD (SAW)
Baadhi ya waumini wa Kiislamu wakati wa matembezi hayo. WAISLAMU jijini Dar es Salaam leo wamefanya matembezi ya amani ya kumkumbuka mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW) aliyekuwa akijulikana kwa jina la Imamu Hussein Bin Ali Bin Abutwalib  aliyeuawa katika nchi ya Iraq kwenye Mji wa Karbala kwa kutetea haki. Matembezi hayo yameanzia Ilala Boma kuelekea Uwanja wa Pipo Kigogo jijini Dar es Salaam. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--lsKOeovDD0/VKlVhBctbtI/AAAAAAAAO1s/Em18wynEMRg/s72-c/IMG_9336.jpg)
WAISLAMU TANZANIA WAUNGANA NA WENZAO DUNIANI KUSHEREHEKEA MAULID YA MTUME MUHAMMAD (SAW)
![](http://4.bp.blogspot.com/--lsKOeovDD0/VKlVhBctbtI/AAAAAAAAO1s/Em18wynEMRg/s640/IMG_9336.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CqDcWe85C_I/VKlViZb826I/AAAAAAAAO10/IYXRUZMDiuI/s640/IMG_9338.jpg)
10 years ago
GPL![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/12/150112204042_mahoma_charlie_hebdo_624x351_afp.jpg?width=624)
KATUNI YA MTUME MUHAMMAD KUCHAPISHWA KESHO
Gazeti la Vibonzo la Charlie Hebdo. Gazeti la kila wiki la vibonzo la Charlie Hebdo la Ufaransa toleo la kesho Jumatano linatarajiwa kuchapisha kibonzo cha Mtume Muhammad katika ukurasa wake wa mbele chini ya kichwa cha habari "Yote yameshasamehewa" Walioona kibonzo hicho wanasema Mtume Muhammad ataonekana akishikilia bango lililoandikwa "Je suis Charlie" maneno yenye tafsiri "Mimi ni Charlie, yaliyotumika kuonyesha mshikamano,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-r38GzDN2x1M/VKk2WsU73yI/AAAAAAAG7MM/jTrNZJaZMkU/s72-c/IMG_9273.jpg)
SHEREHE ZA MAULID YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD S.A.W. ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-r38GzDN2x1M/VKk2WsU73yI/AAAAAAAG7MM/jTrNZJaZMkU/s1600/IMG_9273.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S-1ntrMy5n4/Vnx4voULXdI/AAAAAAAIOc0/5dhM45BpP-I/s72-c/DSC_6655%2B-%2BCopy.jpg)
SHEREHE YA MAULIDI MAKUU YA MTUME MUHAMMAD(S.A.W) ILIVYOFANA VISIWANI ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-S-1ntrMy5n4/Vnx4voULXdI/AAAAAAAIOc0/5dhM45BpP-I/s640/DSC_6655%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-_IJku-WYv0w/Vnx4wpRgYJI/AAAAAAAIOdM/7Da0AurVAAE/s640/DSC_6665.jpg)
11 years ago
Michuzi14 Feb
TAMCO INAWAKARIBISHA KWENYE MAULIDI YA MTUME MUHAMMAD DMV- JUMAPILI HII
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/RjGfwgk-C7xGF9OD4HPUiJAK4X9rbRLF1ztk6OEKp_51x10lXJM-Vd9xO1e6buoOUvJ5icd2IjbmGsDR8o7jfPKYqR8=s0-d-e1-ft#http://www.tamcousa.org/images/logo%20copy.jpg)
Jumuiya ya Waislamu wa DMV (TAMCO) inapenda kuwakaribisha wote kwenye sherehe za MAULID . Sherehe za Maulid zitafanyika siku ya Jumapili Hii tarehe 16 Februari 2014. Claridge Local Park 11901 Claridge Rd, Wheaton-Glenmont, MD 20902. 3:00 PM - 8:00PM WOTE MNAKARIBISHWA
10 years ago
Habarileo05 Oct
Waislamu wakumbushwa kuenzi amani na kuacha kuihatarisha
WAISLAMU wamekumbushwa kujihadhari kufanya ama kujihusisha na vitendo vinavyohatarisha amani kwani hotuba ya mwisho kabisa aliyoitoa Mtume Muhammad (S.A.W) kwa waumini wakati wa Hija kama sasa, pamoja na mambo mengine, ilisisitiza amani.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dpELVkUYMVU/U4BRfIyW6NI/AAAAAAAFktM/uIQM9xk7bcY/s72-c/unnamed+(10).jpg)
MUALIKO WA MAULIDI YA KUKUMBUKA MAZAZI YA MTUME MUHAMMAD REHMA ZA MWENYEZI MUNGU ZIMSHUKIE JUU YAKE NA AMANI
Bismillahi Rahmani Rahim
Ungozi wa Madrasatul Amini ya Marhum Sheikh Nassor Amran Iliopo kwa Ali Maua A Chini ya Uongozi na Usimamizi wa Mudiru Alhaj Sheikh Mohammad Nassor Unapenda Kukualika na Kuwakaribisha Wadau wote na Wapenzi Wa Mtume Muhammmad Rehma za Mwenyezi Mungu zimshukie Juu yake Shughuli hii Itafanyika hapa MADRASANI KWETU KWA RATIBA IFUATAYO SIKU YA IJUMAA TAREHE 30 / 5 / 2014 Kuanzia Saa 4 Asubuhi Maonyesho ya Wanafunzi na Baada ya Swala ya ISHAAI MAULIDI YA JUMUIA ,...
Ungozi wa Madrasatul Amini ya Marhum Sheikh Nassor Amran Iliopo kwa Ali Maua A Chini ya Uongozi na Usimamizi wa Mudiru Alhaj Sheikh Mohammad Nassor Unapenda Kukualika na Kuwakaribisha Wadau wote na Wapenzi Wa Mtume Muhammmad Rehma za Mwenyezi Mungu zimshukie Juu yake Shughuli hii Itafanyika hapa MADRASANI KWETU KWA RATIBA IFUATAYO SIKU YA IJUMAA TAREHE 30 / 5 / 2014 Kuanzia Saa 4 Asubuhi Maonyesho ya Wanafunzi na Baada ya Swala ya ISHAAI MAULIDI YA JUMUIA ,...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania