Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajasiriamali kupelekwa Gabon

Wajasiriamali walioshinda katika programu ya mpango wa biashara inayotolewa na Taasisi ya Junior Achievement Tanzania (JAT), wataiwakilisha Tanzania katika mashindano ya wajasiriamali yanayotarajiwa kufanyika nchini Gabon.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

PSPF ya ungana na wanawake wajasiriamali katika hafla ya kuendeleza umoja wa wajasiriamali Dar

Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF).

2

Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiriamali Shamimu Mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo Jokate Mwegelo.

Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) kushoto Hadji...

 

10 years ago

Vijimambo

PSPF YA UNGANA NA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KATIKA HAFRA YA KUENDELEZA UMOJA WA WAJASIRIAMALI DAR ES SALAAM

 Meneja msaidizi wa uchangiaji wa hiari Matilda Nyallu wa mfuko wa pensheni wa (PSPF) akieleza namna ya mfuko wa Hiari unavyo kuwa na nijinsi gani utafaidika pindi unapo jiunga na kuwa mmoja wa wadau wa (PSPF) Kushoto Muandaaji wa sherehe ya wanawake wajasiliamali shamimu mwasha ambaye ni mdau wa (PSPF) akitoa ufafanuzi wa sherehe hiyo na kuwakaribisha wageni walioweza kuhudhuriapembeni ni mshereheshaji wa sherehe hiyo jokate mwegelo. Afisa wa mfuko wa pensheni wa (PSPF)kushoto Hadji...

 

10 years ago

Habarileo

Walalamika mikataba kupelekwa kwa AG

Luteni Mstaafu Chiku GallawaUTARARIBU wa kupeleka mikataba yote ya miradi ya barabara yenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 50 kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), umelalamikiwa kutokana na kukwamisha miradi ya barabara katika halmashauri za Manispaa za Mkoa wa Dodoma.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa ndege kupelekwa Ufaransa

Rais wa Ufaransa ameahidi kwamba mabaki ya raia 118 na wafanyikazi wa ndege ilioanguka Mali watapelekwa Ufaransa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jamil Mukulu kupelekwa Uganda?

Kiongozi wa waasi wa ADF, Jamil Mukulu anafikishwa mahakamani nchini Tanzania kwa mara ya pili Ijumaa

 

10 years ago

GPL

MTOTO BONGE KUPELEKWA INDIA

HATIMAYE Mtoto Grace Simon (14) (pichani) ambaye ameacha shule kutokana na tatizo la unene wa kupindukia, sasa atapelekwa India kwa ajili ya matibabu kwa gharama za serikali. Mtoto Grace Simon (14) ambaye ameacha shule kutokana na tatizo la unene wa kupindukia. Mama mzazi wa Grace, Ashura Bakari alimwambia mwandishi wetu kuwa baada ya gazeti hili kuandika habari za mwanaye mara kwa mara, serikali imesikia kilio cha Grace ambaye...

 

10 years ago

GPL

TYLOR SWIFT KUPELEKWA UKWENI

Staa wa muziki wa Pop, Tylor Swift. NEW YORK, Marekani
BAADA ya kushinda tuzo za BillBoard nane kati ya 14 alizokuwa akiwania, staa wa muziki wa Pop, Tylor Swift anatarajiwa kupelekwa ukweni na mchumba wake, Calvin Harris. Tylor Swift akiwa na mpenzi wake Calvin Harris.
Chanzo kinafunguka kuwa Tylor na Calvin ambaye pia ni DJ wamepanga kwenda ukweni Juni mwaka huu.
“Calvin ataongozana na Tylor kwenye ziara ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ajali ya Ndege:Miili kupelekwa Uholanzi

Miili iliyopatikana nchini Ukraine itasafirishwa kuelekea Uholanzi kwa ajili ya kuitambua

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Bisimba kupelekwa India kwa matibabu

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk Hellen Kijo-Bisimba anatarajia kusafirishwa kwenda nchini India kwa ajili ya matibabu zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani