Wakazi Tambani waomba daraja
WAKAZI wa kitongoji cha Tambani A, wilayani Mkuranga Pwani, wanamwomba Rais Jakaya Kikwete kuwajengea daraja katika mto Mzinga, ili barabara inayowaunganisha na Kata ya Chamazi wilaya ya Temeke, Dar es...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV19 Dec
Wakazi Tabora waomba kujengewa daraja Mto Mpyagula ili kuepusha vifo msimu wa mvua
Watu watatu hadi watano hufa maji kila mwaka katika kipindi cha msimu wa mvua kutokana na kukosekana kwa daraja kwenye Mto Mpyagula ambao huwaunganisha wakazi wa wilaya mbili za mkoa wa Tabora.
Kutokana na kupoteza maisha ya watu hao msimu wa mvua, wakazi wa vijiji vya Miswaki wilayani Uyui na Buhekela wilayani Igunga mkoani Tabora wameomba ujenzi wa daraja hilo kwa viongozi wa Serikali.
Wananchi hao wamesema Mto Mpyagula ambao hutenganisha vijiji vya wilaya ya Uyui na vijiji vya wilaya ya...
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Waomba ujenzi wa daraja uharakishwe
WATUMIAJI wa barabara ya Mwenge-Bagamoyo, wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa daraja lililopo Mbezi Beach kwa John Komba, ili kupunguza msongamano wa magari katika eneo hilo. Rai hiyo ilitolewa jijini Dar...
11 years ago
Tanzania Daima13 Mar
Wakazi Mkuranga waomba kuhamishiwa Dar
WAKAZI wa vijiji vya Mfuru Mwambao, Yavayava na Marogoro, wilayani Mkuranga, Pwani, wameitaka serikali iwahamishie katika Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam kutokana na wilaya hiyo kushindwa kuwapatia huduma za...
10 years ago
StarTV09 Jan
Wakazi Golimba Manyara waomba kujengewa Zahanati.
Na Zacharia Mtigandi,
Manyara.
Baadhi ya wakazi wanaoishi maeneo ya vijijini mkoani Manyara wanaopata huduma za matibabu kwa njia ya ndege wameiomba Serikali kuwajengea vituo vya afya na zahanati ili kuepusha vifo vinavyoweza kuepukika.
Wamesema utaratibu wa ndege kuwaletea dawa kila mwisho wa mwezi hauokoi maisha yao hasa kwa wagonjwa wanaougua magonjwa yanayohitaji matibabu ya haraka.
Wakati Serikali ikionyesha kupiga hatua kubwa katika sekta ya afya kwa kujenga hospitali, vituo vya...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
‘Wakazi Mabibo fuatilieni ujenzi wa daraja’
WAKAZI wa Mabibo Farasi, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam, wametakiwa kufuatilia kwa karibu ujenzi wa daraja unaotarajiwa kuanza hivi karibuni katika eneo hilo ili kuepuka uwezekano wa kujengwa chini ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ouhEiybs04A/U7EX9F2JkcI/AAAAAAAFtkM/tbHmdl6g-_s/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WAKAZI WA JIJI LA DAR WAOMBA VODACOM EXPO IFANYIKE MARA MBILI KWA MWAKA.
11 years ago
GPLWAKAZI WA JIJI LA DAR WAOMBA VODACOM EXPO IFANYIKE MARA MBILI KWA MWAKA
10 years ago
MichuziWakazi na wananchi wa Mbweni JKT wilayani Kinondoni wamuomba DC Makonda apige jicho mradi wa daraja uliokwama
Licha ya mtaa wa Mbweni JKT, jijini Dar es Salaam kujengwa majumba ya kifahari na kupatikana pia nyumba za viongozi mbalimbali wa serikali, miundo mbinu yake, hususan daraja linalojengwa katika eneo hilo ili kuwafanya wananchi wapite kwa urahisi kusua sua. Kwa miaka kadhaa sasa ujenzi wa daraja hilo umesimama.
Pichani ni gari la mwananchi na mkazi wa eneo hilo akipta kwenye maji ambayo mara kadhaa hujikuta wamesimama kwa saa kadhaa, hususan kama eneo hilo litajaa baada ya eneo hilo kujaa...
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER