Waomba ujenzi wa daraja uharakishwe
WATUMIAJI wa barabara ya Mwenge-Bagamoyo, wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa daraja lililopo Mbezi Beach kwa John Komba, ili kupunguza msongamano wa magari katika eneo hilo. Rai hiyo ilitolewa jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper22 Jul
Waomba upelelezi uharakishwe
NA FURAHA OMARY
UPANDE wa utetezi katika kesi ya mauaji inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 10, umeomba upande wa jamhuri ukamilishe upelelezi, ili waendelee na hatua nyingine.
Ombi hilo lilitolewa jana na wakili wa upande huo, John Mhozya, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka, wakati shauri hilo lilipokuwa linatajwa.
Mhozya aliwasilisha ombi hilo muda mfupi baada ya Wakili wa Serikali Mkuu, Bernard Kongola, kudai upelelezi haujakamilika na kuomba...
10 years ago
MichuziWIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER
11 years ago
MichuziWAZIRI WA UJENZI DK. MAGUFULI AIFAGILIA NSSF UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI
Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 60 ambapo mpaka sasa NSSF imetoa sh. bilioni 117 kati ya Bilioni 214 zitakazokamilisha ujenzi wa daraja hilo.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, alipotembelea daraja kuona namna ujenzi unavyoendelea, Dk. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa daraja hilo umekutana na changamoto nyingi ikiwemo kina kilichokuwa...
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Wakazi Tambani waomba daraja
WAKAZI wa kitongoji cha Tambani A, wilayani Mkuranga Pwani, wanamwomba Rais Jakaya Kikwete kuwajengea daraja katika mto Mzinga, ili barabara inayowaunganisha na Kata ya Chamazi wilaya ya Temeke, Dar es...
9 years ago
StarTV19 Dec
Wakazi Tabora waomba kujengewa daraja Mto Mpyagula ili kuepusha vifo msimu wa mvua
Watu watatu hadi watano hufa maji kila mwaka katika kipindi cha msimu wa mvua kutokana na kukosekana kwa daraja kwenye Mto Mpyagula ambao huwaunganisha wakazi wa wilaya mbili za mkoa wa Tabora.
Kutokana na kupoteza maisha ya watu hao msimu wa mvua, wakazi wa vijiji vya Miswaki wilayani Uyui na Buhekela wilayani Igunga mkoani Tabora wameomba ujenzi wa daraja hilo kwa viongozi wa Serikali.
Wananchi hao wamesema Mto Mpyagula ambao hutenganisha vijiji vya wilaya ya Uyui na vijiji vya wilaya ya...
10 years ago
Habarileo26 Jan
Waomba fedha ujenzi wa zahanati kukaguliwa
WANANCHI wa Kata na Kijiji cha Chanya katika Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera wameomba Serikali kuwapatia Mkaguzi wa Ndani wa Hesabu za Serikali awasaidie kutambua matumizi mabaya ya fedha za ujenzi wa zahanati ambazo hazijulikani zilipo.
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Waomba kuangaliwa upya gharama za vifaa vya ujenzi
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ssjzmXOLj7o/Uu9JeblkRDI/AAAAAAAFKjc/Pd_ZY7BZUW0/s72-c/IMG_0029.jpg)
Taswira ya ujenzi wa daraja la kigamboni
![](http://4.bp.blogspot.com/-ssjzmXOLj7o/Uu9JeblkRDI/AAAAAAAFKjc/Pd_ZY7BZUW0/s1600/IMG_0029.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rR2VwgcRRRE/UzGWCwf_l3I/AAAAAAAAUSg/TGICsLLvTik/s72-c/DSC03259.jpg)
Maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kigamboni
![](http://2.bp.blogspot.com/-rR2VwgcRRRE/UzGWCwf_l3I/AAAAAAAAUSg/TGICsLLvTik/s1600/DSC03259.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wh2tWk8bk14/UzGWCa4W7nI/AAAAAAAAUSY/d52Vh3HAzHM/s1600/DSC03245.jpg)