Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waomba ujenzi wa daraja uharakishwe

WATUMIAJI wa barabara ya Mwenge-Bagamoyo, wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa daraja lililopo Mbezi Beach kwa John Komba, ili kupunguza msongamano wa magari katika eneo hilo. Rai hiyo ilitolewa jijini Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Waomba upelelezi uharakishwe


NA FURAHA OMARY
UPANDE wa utetezi katika kesi ya mauaji inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 10, umeomba upande wa jamhuri ukamilishe upelelezi, ili waendelee na hatua nyingine.
Ombi hilo lilitolewa jana na wakili wa upande huo, John Mhozya, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka, wakati shauri hilo lilipokuwa linatajwa.
Mhozya aliwasilisha ombi hilo muda mfupi baada ya Wakili wa Serikali Mkuu, Bernard Kongola, kudai upelelezi haujakamilika na kuomba...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA UJENZI DK. MAGUFULI AIFAGILIA NSSF UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameusifu Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa daraja la Kigamboni.
Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 60 ambapo mpaka sasa NSSF imetoa sh. bilioni 117 kati ya Bilioni 214 zitakazokamilisha ujenzi wa daraja hilo.
Akizungumza leo jijini Dar es salaam, alipotembelea daraja kuona namna ujenzi unavyoendelea, Dk. Magufuli alisema kuwa ujenzi wa daraja hilo umekutana na changamoto nyingi ikiwemo kina kilichokuwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wakazi Tambani waomba daraja

WAKAZI wa kitongoji cha Tambani A, wilayani Mkuranga Pwani, wanamwomba Rais Jakaya Kikwete kuwajengea daraja katika mto Mzinga, ili barabara inayowaunganisha na Kata ya Chamazi wilaya ya Temeke, Dar es...

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Tabora waomba kujengewa daraja Mto Mpyagula ili kuepusha vifo msimu wa mvua

Watu watatu hadi watano hufa maji kila mwaka katika kipindi cha msimu wa mvua kutokana na kukosekana kwa daraja kwenye Mto Mpyagula ambao huwaunganisha wakazi wa wilaya mbili za mkoa wa Tabora.

Kutokana na kupoteza maisha ya watu hao msimu wa mvua, wakazi wa vijiji vya Miswaki wilayani Uyui na Buhekela wilayani Igunga mkoani Tabora wameomba ujenzi wa daraja hilo kwa viongozi wa Serikali.

 Wananchi hao wamesema Mto Mpyagula ambao hutenganisha vijiji vya wilaya ya Uyui na vijiji vya wilaya ya...

 

10 years ago

Habarileo

Waomba fedha ujenzi wa zahanati kukaguliwa

WANANCHI wa Kata na Kijiji cha Chanya katika Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera wameomba Serikali kuwapatia Mkaguzi wa Ndani wa Hesabu za Serikali awasaidie kutambua matumizi mabaya ya fedha za ujenzi wa zahanati ambazo hazijulikani zilipo.

 

11 years ago

Mwananchi

Waomba kuangaliwa upya gharama za vifaa vya ujenzi

>Serikali imetakiwa kuangalia upya gharama ya vifaa vya ujenzi na kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwa kuwa vinachangia watu wengi kushindwa kumiliki nyumba na hivyo kuwa na maisha duni.

 

11 years ago

Michuzi

Taswira ya ujenzi wa daraja la kigamboni

Maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kigamboni katika mkondo wa Kurasini (Kurasini Creek) ulioanza mwaka juzi na kutegemewa kukamilika baadaye mwaka huu. Mradi huu wa daraja la kuning'inia, uliobuniwa na kampuni ya Arab Consulting Engineers na kujengwa na wakandarasi kampuni za China Railway Jiangchang Engineering (T) Ltd na China Major Bridge Engineering Company , unamilikiwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF)  kwa asilimia 60 na Serikali asilimia 40, kwa gharama ya dola 136 za...

 

11 years ago

Michuzi

Maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kigamboni

Mafundi wa Kampuni ya ujenzi wa daraja la Kigamboni wakisuka nondo katika moja ya nguzo zitakazoshika daraja hilo




Meneja wa Mradi wa ujenzi wa daraja la Kigambonio Bw. Lin Tao kutoka kampuni ya China Railway Construction Engineering Group and Major Bridge Co. Ltd (CRCEG-MBEC JV) akionesha jinsi ambavyo daraja la kigamboni litakavyoonekana baada ya kukamilika. Kulia kwake ni Mratibu wa Mradi kutoka Wizara ya Miundombini Bw. Hussein Mativila. Daraja hilo kutoka Kurasini mpaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani