Waomba upelelezi uharakishwe
NA FURAHA OMARY
UPANDE wa utetezi katika kesi ya mauaji inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Gabriel Fuime na wenzake 10, umeomba upande wa jamhuri ukamilishe upelelezi, ili waendelee na hatua nyingine.
Ombi hilo lilitolewa jana na wakili wa upande huo, John Mhozya, mbele ya Hakimu Mkazi Devotha Kisoka, wakati shauri hilo lilipokuwa linatajwa.
Mhozya aliwasilisha ombi hilo muda mfupi baada ya Wakili wa Serikali Mkuu, Bernard Kongola, kudai upelelezi haujakamilika na kuomba...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Waomba ujenzi wa daraja uharakishwe
WATUMIAJI wa barabara ya Mwenge-Bagamoyo, wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa daraja lililopo Mbezi Beach kwa John Komba, ili kupunguza msongamano wa magari katika eneo hilo. Rai hiyo ilitolewa jijini Dar...
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
FiFa:Mwana mfalme ataka uchaguzi uharakishwe
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Upelelezi kesi ya Dk Mvungi kitendawili
9 years ago
Habarileo21 Dec
Mkuu wa Upelelezi TANAPA achinjwa
POLISI mkoani Arusha imewatia mbaroni watu wawili wanaohusishwa na tukio la kuuawa kinyama kwa kuchinjwa shingo kwa Mkuu wa Idara ya Upelelezi ya Ulinzi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Stephen Kisamo.
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Upelelezi kesi ya Madabida wakamilika
UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kusambaza dawa za kupunguza makali ya ukimwi (ARVs) inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na wenzake...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Upelelezi kesi ya ugaidi bado
UPELELEZI wa kesi ya kuwaagiza watu kufanya makosa mbalimbali ya kigaidi nchini inayowakabili watu 16 iliyopo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, bado haujakamilika. Waendesha mashitaka wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v1F3qXvD8zQ/U6MBjaCNpTI/AAAAAAAFrwo/vZPenqEwgBw/s72-c/1.jpg)
UPELELEZI KESI YA MBASHA WAKAMILIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-v1F3qXvD8zQ/U6MBjaCNpTI/AAAAAAAFrwo/vZPenqEwgBw/s1600/1.jpg)
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Lwakatare alia upelelezi kutokamilika
11 years ago
Habarileo20 Dec
Upelelezi mauaji ya Dk Mvungi bado
UPELELEZI wa kesi ya mauaji ya Mjumbe wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Edmund Mvungi inayowakabili watu 10, haujakamilika.