Wakazi Mkuranga waomba kuhamishiwa Dar
WAKAZI wa vijiji vya Mfuru Mwambao, Yavayava na Marogoro, wilayani Mkuranga, Pwani, wameitaka serikali iwahamishie katika Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam kutokana na wilaya hiyo kushindwa kuwapatia huduma za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ouhEiybs04A/U7EX9F2JkcI/AAAAAAAFtkM/tbHmdl6g-_s/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WAKAZI WA JIJI LA DAR WAOMBA VODACOM EXPO IFANYIKE MARA MBILI KWA MWAKA.
11 years ago
GPLWAKAZI WA JIJI LA DAR WAOMBA VODACOM EXPO IFANYIKE MARA MBILI KWA MWAKA
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Wakazi Tambani waomba daraja
WAKAZI wa kitongoji cha Tambani A, wilayani Mkuranga Pwani, wanamwomba Rais Jakaya Kikwete kuwajengea daraja katika mto Mzinga, ili barabara inayowaunganisha na Kata ya Chamazi wilaya ya Temeke, Dar es...
10 years ago
StarTV09 Jan
Wakazi Golimba Manyara waomba kujengewa Zahanati.
Na Zacharia Mtigandi,
Manyara.
Baadhi ya wakazi wanaoishi maeneo ya vijijini mkoani Manyara wanaopata huduma za matibabu kwa njia ya ndege wameiomba Serikali kuwajengea vituo vya afya na zahanati ili kuepusha vifo vinavyoweza kuepukika.
Wamesema utaratibu wa ndege kuwaletea dawa kila mwisho wa mwezi hauokoi maisha yao hasa kwa wagonjwa wanaougua magonjwa yanayohitaji matibabu ya haraka.
Wakati Serikali ikionyesha kupiga hatua kubwa katika sekta ya afya kwa kujenga hospitali, vituo vya...
9 years ago
StarTV19 Dec
Wakazi Tabora waomba kujengewa daraja Mto Mpyagula ili kuepusha vifo msimu wa mvua
Watu watatu hadi watano hufa maji kila mwaka katika kipindi cha msimu wa mvua kutokana na kukosekana kwa daraja kwenye Mto Mpyagula ambao huwaunganisha wakazi wa wilaya mbili za mkoa wa Tabora.
Kutokana na kupoteza maisha ya watu hao msimu wa mvua, wakazi wa vijiji vya Miswaki wilayani Uyui na Buhekela wilayani Igunga mkoani Tabora wameomba ujenzi wa daraja hilo kwa viongozi wa Serikali.
Wananchi hao wamesema Mto Mpyagula ambao hutenganisha vijiji vya wilaya ya Uyui na vijiji vya wilaya ya...
10 years ago
GPLWADAU KIKAPU DAR WAOMBA SAPOTI KUFUFUA MCHEZO HUO
10 years ago
MichuziMrembo Miss Tanzania aongoza wakazi wa dar katika zoezi la uchangiaji damu jijini dar leo
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Rais Kikwete kuhamishiwa Hoteli Maalum
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ambaye anaendelea na matitabu yake nchini Marekani, jana, Jumatano, Novemba 12, 2014, anatarajiwa kutoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye Hoteli Maalum ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.
Rais Kikwete amekuwa kwenye Hospitali ya Johns Hopkins tokea Jumamosi iliyopita wakati alipofanyikwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) na afya yake imekuwa inaimarika kiasi cha kuanza...
9 years ago
Mwananchi14 Dec
Mnyika akosoa Tamisemi kuhamishiwa ofisi ya Rais