Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKAZI WA KIGOMA WANUFAIKA NA KAPU LA PAMOJA NA VODACOM RAMADHAN

Mkuu wa Taasisi ya Vodacom Foundation Tanzania Renatus Rwehikiza (mwenye Shati jeusi aliyeinama) na Mkuu wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation Doris Mollel (aliyechuchuma) wakikabidhi msaada wa vyakula kwa Ashura Sanno mkazi wa kata ya Kasimbi Kigoma Ujiji ambaye alinufaika na msaada huo kupitia kampeni ya Pamoja na Vodacom kwa watu wenye kipato cha chini kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan.Mkuu wa Taasisi ya Vodacom Foundation Tanzania Renatus Rwehikiza (wa tatu kushoto) na Mkuu wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAKAZI WA KIGOMA WANUFAIKA NA KAPU LA PAMOJA NA VODACOM RAMADHAN‏

Mkuu wa Taasisi ya Vodacom Foundation Tanzania Renatus Rwehikiza (mwenye Shati jeusi aliyeinama) na Mkuu wa Taasisi ya Doris Mollel Foundation Doris Mollel (aliyechuchuma) wakikabidhi msaada wa vyakula  kwa Ashura Sanno mkazi wa kata ya Kasimbi Kigoma Ujiji ambaye alinufaika na msaada huo kupitia kampeni ya Pamoja na Vodacom kwa watu wenye kipato cha chini kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan. Mkuu wa Taasisi ya Vodacom...

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA KWAMTOGOLE-TANDALE JIJINI DAR WANUFAIKA NA KAPU LA PAMOJA NA VODACOM RAMADHANI

  Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kushoto) akimkabidhi Fatuma Khamis mkazi wa Kwamtogole – Tandale jijini Dar es Salaam (wa tatu toka kushoto) mfuko wa maharage ikiwa ni moja kati ya vyakula mbalimbali alivyokabidhiwa ikiwa ni msaada ulitolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kupitia kampeni yake ya Pamoja na Vodacom kwa ushirikiano na Doris Foundation. Wanaoshuhudia Grace Lyon (kulia) na Doris Mollel (wa pili toka kushoto). Baadhi ya wakazi wa Kwamtogole – Tandale...

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA KWAMTOGOLE-TANDALE JIJINI DAR WANUFAIKA NA KAPU LA PAMOJA NA VODACOM RAMADHANI‏

Mkuu wa Kitengo cha Vodacom Foundation, Renatus Rwehikiza (kushoto) akiongozana na baadhi ya washirika wenza kutoa msaada wa vyakula mbalimbali kwa baadhi ya wakazi wa Kwamtogole –Tandale jijini Dar es Salaam kwa ajilli ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Msaada huo ulitolewa na Taasisi ya Vodacom Foundation kupitia kampeni yake ya Pamoja na Vodacom kwa ushirikiano na Doris Mollel Foundation. Mkazi wa Kwamtogole...

 

10 years ago

Michuzi

Wakazi wakaskazini wanufaika na Gulio la Vodacom Tanzania

 Afisa Mauzo wa Duka la Simu la Bei nzuri la jijini Arusha,Martha  Meena akitoa maelezo kwa wateja waliofika katika banda la duka hilo  wakati wa gulio la punguzo kubwa la bei za bidhaa za Mawasiliano   lijulikanalo kama Vodacom Expo linalofanyika siku mbili katika uwanja wa Sheakh  Amri Abeid jijini Arusha. Afisa huduma kwa wateja wa Duka la  Vodacom jijini Arusha,Samya Ulimwengu  akitoa maelezo kwa mmoja wa wateja waliofika katika banda lao   kujipatia huduma za mawasiliano ambazo...

 

10 years ago

GPL

WAKAZI WA KASKAZINI WANUFAIKA NA GULIO LA VODACOM TANZANIA‏

Ofisa Mauzo wa Duka la Simu la Bei nzuri la jijini Arusha, Martha Meena akitoa maelezo kwa wateja waliofika katika banda la duka hilo wakati wa gulio la punguzo kubwa la bei za bidhaa za Mawasiliano lijulikanalo kama Vodacom Expo linalofanyika siku mbili katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.…

 

9 years ago

Michuzi

WATEJA WA VODACOM WANUFAIKA NA SEMINA YA KIBIASHARA

Baadhi ya wateja wa kubwa na wadogo wa Vodacom Tanzania,wakimsikiliza Meneja Biashara wa kitengo cha huduma za kifedha cha M-PESA wa Kampuni hiyo Leon Munyeti,wakati wa semina ya kibiashara kuhusu matumizi ya teknolojia ya mawasiliano kwenye biashara iliyoandaliwa na kampuni hiyo kwa wateja wake iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Daud Kabalika ambaye ni Mteja wa Vodacom Tanzania (kulia) akimuuliza swali Meneja Biashara wa kitengo cha huduma za kifedha cha M-PESA wa Kampuni hiyo Nixon...

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wanufaika na semina ya maswala ya udhibiti wa kipato

Mshauri wa maswala ya uchumi na fedha Consultant Service Excellence,Joy Nyabongo akitoa mafunzo kwa wafanyakazi wa Vodacom Tanzania jinsi ya kuweza kudhibiti matumizi ya kipato binafsi.Semina hiyo ilifanyika katika ukumbi wa sinema mlimani City jijini Dar es Salaam leo.Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania wa kitengo cha IT Josephat Kyando akichangia hoja wakati wa semina ya jinsi ya udhibiti wa matumizi ya kipato binafsi iliyofanyika katika ukumbi wa sinema mlimani City jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

WAFANYAKA WA VODACOM TANZANIA WANUFAIKA NA SEMINA YA MASWALA YA UDHIBITI WA KIPATO‏

Mshauri wa maswala ya uchumi na fedha Consultant Service Excellence,Joy Nyabongo akitoa mafunzo kwa wafanyakazi wa Vodacom Tanzania jinsi ya kuweza kudhibiti matumizi ya kipato binafsi.Semina hiyo ilifanyika  katika ukumbi wa sinema mlimani City jijini Dar es Salaam leo.…

 

9 years ago

StarTV

Wakazi wa vijiji vinne vya wilayani Ulanga wanufaika na Ujenzi Wa Barabara

Wakazi wa vijiji vya Kisewe, Mdundo, Nawenge na Lyandira wilayani Ulanga mkoani Morogoro wamenufaika na ujenzi wa barabara ulioanzishwa na shirika la utafiti wa madini wilayani humo Mahenge Natural Resources baada ya kutaabika kwa muda mrefu katika usafirishaji wa mazao yao wakiyabeba kichwani kupeleka sokoni.

Kukamilika kwa mradi huo wa barabara kutasaidia wakulima wengi kwenye vijiji hivyo kunufaika kiuchumi na kuongeza kipato zaidi kutokana na mazao yao kufika kiurahisi sokoni.

Ukitazama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani