Wakosoa msimamo wa Serikali
Siku moja baada ya Serikali kumtuhumu Balozi wa Uingereza nchini, Dianna Melrose kuwa anaingilia mambo ya ndani ya nchi, baadhi ya wanasiasa na wasomi wameibuka na kutoa maoni yao wakimtetea kuwa hajakiuka utaratibu bali alikuwa anashauri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo30 Dec
Serikali yashikilia msimamo tiba mbadala
TAMKO la Serikali kuhusu matangazo ya Tiba Asili na Tiba Mbadala, limesisitizwa kwamba liko palepale kwa kuwa lengo ni kuboresha huduma hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
CWT yasisitiza msimamo wao ni serikali tatu
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT) kimesisitiza kuwa msimamo wa chama hicho ni muundo wa serikali tatu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Rais wa CWT, Gratian...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/Zun29yKVZ38/default.jpg)
SERIKALI YATOA MSIMAMO KUHUSU VYAMA VYA SIASA VINAVYOTAKA KUSHIRIKIANA KINYEMELA UCHAGUZI MKUU (VIDEO)
Na Jacquiline Mrisho - Dodoma
Vyama vya Siasa ambavyo vinatarajia kushirikiana wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu bila kufuata Sheria ya Vyama vya Siasa kama ilivyoainishwa kwenye Kifungu Na.11 (a) cha Sheria hiyo vitakuwa vimevunja sheria.
Onyo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, wakati alipofanya mahojiano kuhusu msimamo wa ofisi yake kwenye suala la ushirikiano wa vyama vya siasa wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Nyahoza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1KcUm_-PhfY/U5G1eoWgtuI/AAAAAAAFoCY/MKbhkhzOVjk/s72-c/unnamed+(17).jpg)
MWENYEKITI CCM TAWI LA MOSCOW URUSI ATOA MSIMAMO WAKE JUU YA MCHAKATO WA KATIBA, ASEMA SERIKALI MBILI NDIO SULUHISHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1KcUm_-PhfY/U5G1eoWgtuI/AAAAAAAFoCY/MKbhkhzOVjk/s1600/unnamed+(17).jpg)
Mwenyekiti tawi la CCM Moscow Ndg Mfungahema Salim amesema muundo wa muungano wa serikali Mbili ndio suluhisho pekee la watanzania, Akizungumza katika kikao cha kamati ya siasa ya tawi kilichofanyika 05.06.2014, bwana Mfungahema alisema muungano wa serikali mbili ndio umetufikisha hapa tulipo na kuna mafanikio makubwa TULIYOYAPATA, pamoja na changamoto chache zinazojitokeza lakini zinarekebishika.
Bwana Mfungahema aliwataka...
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Wadau wakosoa kambi ya Stars
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Wakosoa mfumo wa ukusanyaji kodi
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Wadau wakosoa Malengo ya Milenia
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Wadau wa elimu wakosoa ufaulu la saba
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Wanaharakati wakosoa masharti ya NEC, ZEC