Wadau wakosoa kambi ya Stars
Uamuzi wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuitisha kambi ya timu ya Taifa wakati klabu zikiwa kwenye maandalizi ya msimu mpya wa ligi, umepokewa kwa hisia tofauti na wadau wa mchezo huo, baadhi wakizilaumu Yanga na Azam kwa kuzuia wachezaji wao na wengine wakiliponda shirikisho hilo kwa kutokuwa makini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Wadau wakosoa Malengo ya Milenia
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Wadau wa elimu wakosoa ufaulu la saba
9 years ago
Michuzi31 Aug
STARS YAMALIZA KAMBI UTURUKI
![](http://tff.or.tz/images/jumaA.png)
![](http://tff.or.tz/images/starskartepe.png)
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
Stars kuweka kambi Uturuki
TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajia kuaondoka nchini Agosti 23 kwenda Uturuki kwa ajili ya kambi ya wiki mbili kujiandaa na mchezo wao wa kufuzu kucheza fainali za mataifa ya Afrika mwaka (Afcon) 2017 nchini Gabon dhidi ya Nigeria.
Stars inatarajia kucheza mchezo wao wa pili wa kufuzu Afcon dhidi ya Nigeria Septemba 5 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Awali Stars ilicheza na Misri na kufungwa mabao 3-1 ugenini wakiwa chini ya kocha Mholanzi Mart Nooij ambae...
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Taifa stars kupiga kambi Uturuki
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Kambi ya Taifa Stars yaiharibia Azam
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kambi Twiga Stars Zanzibar yayeyuka
KAMBI ya timu ya soka ya Taifa ya wanawake Twiga Stars iliyokuwa iwekwe Zanzibar tangu jana, imeyeyuka.
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Taifa Stars kuweka kambi Afrika Kusini kujiandaa na Algeria
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Wadau: Stars imepoteza mvuto