Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadau: Stars imepoteza mvuto

Wachambuzi wa soka wamesema timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ haina kiwango cha kuvutia uwanjani na imepoteza mvuto.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wadau wakosoa kambi ya Stars

Uamuzi wa Shirikisho la Soka Tanzania  (TFF) kuitisha kambi ya timu ya Taifa wakati klabu zikiwa kwenye maandalizi ya msimu mpya wa ligi, umepokewa kwa hisia tofauti na wadau wa mchezo huo, baadhi wakizilaumu Yanga na Azam kwa kuzuia wachezaji wao na wengine wakiliponda shirikisho hilo kwa kutokuwa makini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi Stars mpya na sauti za wadau

KUANZIA Februari 22 hadi Machi 5, mikoa 22 ya Tanzania Bara itakuwa ikichuana ambapo lengo si kutafuta bingwa miongoni mwao kama moja ya malengo ya Kombe la Taifa ambalo kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wiki ya Maji’ imepoteza maana?

Maadhimisho ya ‘Wiki ya Maji’, ambayo hufanyika Machi 16 hadi Machi 22 kila mwaka yalianza jana nchini kote. Mwaka huu maadhimisho hayo yanafanyika kitaifa mkoani Mara na Serikali imesema kauli mbiu ya mwaka huu ni ‘Maji kwa Maendeleo Endelevu’. 

 

11 years ago

Mwananchi

MAADILI: MAT: IMTU imepoteza sifa

>Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), kimezitaka mamlaka zinazohusika kuchukua hatua kali za haraka dhidi ya taasisi na watu waliojihusisha na utupaji wa mabaki ya viungo vya binadamu katika Bonde la Mto Mpiji, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SOKOMOKO LA MIGOMO Serikali imepoteza udhibiti

HISTORIA ya Tanzania imekubali dhana kwamba, kuna awamu nne za uongozi hata sasa; yaani, awamu ya kwanza (1961 hadi 1985) ya Mwalimu Nyerere, awamu ya pili (1985 hadi 1995) ya...

 

9 years ago

Raia Mwema

Hakuna jipya, CCM imepoteza mwelekeo

NINAANDIKA kujibu makala ya Dk.

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mwananchi

ZEC imepoteza sifa kusimamia uchaguzi Zanzibar-ADC

Mwenyekiti wa chama cha ADC, Said Miraaj Abdulla amesema Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) haiwezi kusimamia tena uchaguzi wa Zanzibar baada ya siku 90 kwa sababu ina mapungufu mengi kama yaliyobainishwa na mwenyekiti wake, Jecha Salim Jecha wakati akitangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo.

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM Kama Babeli, imepoteza sifa na uhalali wa kutawala

KATI ya mwaka 605- 539 Kabla ya kuzaliwa Kristo (KK) na baada ya baada ya gharika, jambo muhimu l

Fred Mpendazoe

 

9 years ago

Bongo5

Mwana FA adai Hip hop imepoteza maana yake

11249868_666551486778035_1351011407_n

Mwana FA amesema hawezi kuwaunga mkono wasanii wanaopoteza misingi ya muziki wa Hip Hop kwa sababu ya kutengeneza pesa na kuacha changamoto zinazowakabili watanzania

12237384_1626174140976666_877565606_n

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, FA alisema sio lazima kwa msanii kufanya kitu ambacho hana uhakika nacho, hata kama kinaingiza pesa nyingi.

“Iko so obvious muziki umebadilika sana, umetoka katika ile misingi iliyowekwa na sababu zake za kuwepo, umekuwa kuhusu starehe na hela peke...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani