Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SOKOMOKO LA MIGOMO Serikali imepoteza udhibiti

HISTORIA ya Tanzania imekubali dhana kwamba, kuna awamu nne za uongozi hata sasa; yaani, awamu ya kwanza (1961 hadi 1985) ya Mwalimu Nyerere, awamu ya pili (1985 hadi 1995) ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Serikali yaomba radhi kwa migomo vyuo vikuu

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewaomba radhi wanafunzi wote wa vyuo vikuu nchini, kwa kuchelewa kuwafikishia fedha zao za kujikimu. Hata hivyo, aLIsisitiza kuwa tangu juzi fedha hizo zilishatoka Hazina.

 

10 years ago

Mwananchi

Hili la migomo, wanafunzi wahuni au Serikali ina walakini?

Kuelekea mwishoni mwa mwezi uliopita, kulikuwa na migomo ya wanachuo katika vyuo mbalimbali.

 

10 years ago

Vijimambo

UDHIBITI WA KUCHEPUSHA DAWA ZA SERIKALI WAANZA KUTEKELEZWA

 Ofisa Uhusiano Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Bi Etty Kusiluka (kushoto), akizungumza na mwananchi Juma Nyingi aliyetembelea banda la MSD katika maonyesho hayo. Ofisa Uhusiano wa MSD, Benjamin Massangya (kulia), akimueleza mkazi wa Utete kutoka wilaya ya Rufiji, Omary Abdallah shughuli mbalimbali zinazofanywa na MSD baada ya kutembelea banda la MSD leo mchana.
 Vitanda vya hospitali vilivyopo katika banda la MSD.



Na Dotto Mwaibale
IDADI ya vidonge vinavyosambazwa na Bohari ya Dawa (MSD) ambavyo...

 

5 years ago

Bongo5

Serikali yatoa ufafanuzi udhibiti, ulinzi na wizi wa kazi za sanaa

Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo imesema bodi ya filamu imeendelea kuwaelimisha wasanii kuhusu kusajili kazi zao ili ziweze kutambuliwa na kupata udhibiti na ulinzi wa kazi za sanaa, kwa mujibu wa sheria.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi. Anastazia Wambura, akiwa bungeni, mjini Dodoma.

“Kuhusu haki miliki Mheshimiwa Spika, wizara yangu kupitia Bodi ya Filamu,COSOTA na BASATA zimeendelea kuwaelimisha wasanii wa fani mbalimbali kusajili...

 

9 years ago

Mwananchi

Sokomoko

Nimekuja kwa kishindo, dukuduku kulitoa, Ni leo siyo mtondo, dharura ninaitoa, Tuubadili mtindo, wavulana kuokoa, Wasichana tumejali  wavuli kawa pembeni.

 

11 years ago

Mwananchi

Sokomoko za kisiasa Kenya

Kwenye safu yake hii ya kila Jumapili, Tido Mhando anasimulia visa na mikasa aliyokabiliana nayo kipindi chake kirefu cha kufanya kazi ya uanahabari, ndani na nje ya Tanzania, kwenye vituo vya utangazaji vya kimataifa.

 

10 years ago

Mwananchi

Helikopta ya Ndesamburo yazua sokomoko

Kada wa CCM Buni Ramole, amejipalia mkaa kutokana na kauli yake kwamba helikopta ya Mbunge wa Moshi Mjini (Chadema), Philemon Ndesamburo ni mbovu na ingeweza kumuua.

 

10 years ago

Mwananchi

Vitambulisho vya Uzanzibari vyazua sokomoko

>Vyama vya upinzani Zanzibar, vimeshauri Sheria ya Uzanzibari ya Ukaazi ifanyiwe marekebisho kabla ya utaratibu wa uandikishaji wapigakura unaotarajiwa kuanza mwezi ujao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sokomoko kuhusu majina ya wapiga kura Mwanza

Katika kituo cha Meko, nje kidogo ya mji wa Mwanza, kumetokea sokomoko, baadhi ya wakazi wanalalamika kwamba majina yao hayaonekani kwenye daftari la wapiga kura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani