UDHIBITI WA KUCHEPUSHA DAWA ZA SERIKALI WAANZA KUTEKELEZWA
Ofisa Uhusiano Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Bi Etty Kusiluka (kushoto), akizungumza na mwananchi Juma Nyingi aliyetembelea banda la MSD katika maonyesho hayo.
Ofisa Uhusiano wa MSD, Benjamin Massangya (kulia), akimueleza mkazi wa Utete kutoka wilaya ya Rufiji, Omary Abdallah shughuli mbalimbali zinazofanywa na MSD baada ya kutembelea banda la MSD leo mchana.
Vitanda vya hospitali vilivyopo katika banda la MSD.
Na Dotto Mwaibale
IDADI ya vidonge vinavyosambazwa na Bohari ya Dawa (MSD) ambavyo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 May
Mbunge ahoji udhibiti wa dawa feki
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali inaendelea kuchukua hatua za kisheria kwa wafanyabiashara na kampuni ambazo zimekuwa zikiingiza dawa bandia za binadamu. Alitoa kauli hiyo bungeni leo wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kilwa Kaskazini Murtaza Mangungu (CCM).
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hmGaRwCcQgI/VlhrgFXhnYI/AAAAAAAIIoM/eidItoUVTFM/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B5.39.59%2BPM.png)
Maagizo ya Rais Magufuli kuhusu safari za nje za watendaji wa Serikali yaanza kutekelezwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-hmGaRwCcQgI/VlhrgFXhnYI/AAAAAAAIIoM/eidItoUVTFM/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B5.39.59%2BPM.png)
Wizara imezielekeza Balozi zote zilizopo maeneo mbalimbali duniani kujipanga ili kushiriki kikamilifu katika kuiwakilisha Serikali kwenye mikutano yote ya kimataifa na kikanda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C72v0oRQK7M/XmDj8WCIO7I/AAAAAAALhLM/zy3NO8XlUEIySXqcq9wCTWIfE0MoXB8lwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Dawa za Kulevya James Kaji aunguruma jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-C72v0oRQK7M/XmDj8WCIO7I/AAAAAAALhLM/zy3NO8XlUEIySXqcq9wCTWIfE0MoXB8lwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
SOKOMOKO LA MIGOMO Serikali imepoteza udhibiti
HISTORIA ya Tanzania imekubali dhana kwamba, kuna awamu nne za uongozi hata sasa; yaani, awamu ya kwanza (1961 hadi 1985) ya Mwalimu Nyerere, awamu ya pili (1985 hadi 1995) ya...
9 years ago
MichuziMSD kuweka nembo za Serikali kwenye dawa zake, wizi wa dawa kudhibitiwa
Katika kulitekeleza hilo, Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa (MSD),Cosmas Mwaifwani aliagizwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Donan Mmbando kwa niaba ya Rais, kuhakikisha kuwa dawa zote za Serikali zinakuwa na utambulisho...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_TC1iDkUOLk/XtFLb--XwZI/AAAAAAALsA8/T9EEsUiZEa0e1LY9gFB_DVP2sm3ORSFlQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200529-WA0082.jpg)
MTAFITI WA DAWA ZA MITISHAMBA AIOMBA SERIKALI KUICHUNGUZA DAWA YAKE YA CORONA ALIYOIGUNDUA.
Mtafiti wa Dawa za asili aliyejulikana kwa jina la Rose Roberty (changa Muja) ameiomba Serikali kumsaidia kupima dawa aliyogundua na kuifanyia majaribio kuona kama inatibu ugonjwa wa Corona (Covid-19)
Akiongea na waandishi wa habari leo nyumbani kwake,Rose alieleza kuwa ameweza kugundua dawa ambayo inaweza ikatibu ugonjwa huu ambao unaotikisa dunia ,na anaimani kabisa dawa hiyo itaweza kuponya ugonjwa huo.
Alisema dawa hiyo inatokana na mchanganyiko wa miti shamba...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
11 years ago
MichuziPOLISI YAAGIZWA KUSAKA DAWA ZA SERIKALI ZENYE NEMBO YA MSD KATIKA MADUKA YANAYOUZA DAWA BARIDI NCHINI KOTE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EwjUyaEScrY/Ux2DlBq6VaI/AAAAAAAA0Rg/qUnegDdlwak/s1600/01.MSD5.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Serikali yatoa ufafanuzi udhibiti, ulinzi na wizi wa kazi za sanaa
Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo imesema bodi ya filamu imeendelea kuwaelimisha wasanii kuhusu kusajili kazi zao ili ziweze kutambuliwa na kupata udhibiti na ulinzi wa kazi za sanaa, kwa mujibu wa sheria.
Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Bi. Anastazia Wambura, akiwa bungeni, mjini Dodoma.
“Kuhusu haki miliki Mheshimiwa Spika, wizara yangu kupitia Bodi ya Filamu,COSOTA na BASATA zimeendelea kuwaelimisha wasanii wa fani mbalimbali kusajili...