Wakurupushwa wakigawana shamba la Yona
Dar es Salaam. Zaidi ya wakazi 50 wa Kijiji cha Kerege wilayani Bagamoyo wamevamia shamba la waziri zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona lililopo jirani na kijiji lakini hawakutimiza azma yao ya kugawana baada ya kukurupushwa na polisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Dec
SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO
Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Shamba apatikana na zao la ‘shamba’
SHAMBA Malela (20) mkazi wa Nianjema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na kete 136 za dawa aina ya heroin.
10 years ago
TheCitizen08 Jul
Mramba, Yona jailed
10 years ago
GPLMRAMBA, YONA WAKESHA...
11 years ago
TheCitizen28 Jan
Mramba, Yona case postponed
10 years ago
IPPmedia25 Jul
Mramba, Yona appeal against imprisonment.
IPPmedia
Two former cabinet ministers, Basil Mramba and Daniel Yona, recently sentenced to serve three years in jail, yesterday filed an appeal against the ruling at the High Court of Tanzania. The two were accused of abusing office and causing a Sh11.7 billion ...
10 years ago
Habarileo07 Jul
Mramba, Yona watupwa jela
VILIO na simanzi vilitawala katika eneo la mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona, kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela.
11 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Yona ajitetea, amtaja Mkapa
Na mwandishi wetu
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, ameileza mahakama kuwa mchakato wa kumpata mkaguzi wa madini ya dhahabu ulifuata utaratibu zote na kusimamiwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Yona ambaye jana alipanda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuanza kujitetea, alidai mwaka 2002 kulikuwa na malalamiko mengi kuhusu mapato ya dhahabu iliyokuwa ikichimbwa na kampuni tano za kigeni.
Akiongozwa na wakili wake Elisa Msuya mbele ya Jopo linaloongozwa na Jaji...
11 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Yona azidi kujitetea kortini
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona, amekiri kuwa aliyekuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, aliagiza mchakato wa kumpata mkaguzi wa dhahabu usitishwe.
Akiendelea kutoa utetezi wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jana, Yona alidai kuwa hakutekeleza ushauri huo kwa kuwa Ikulu ilishatoa kibali cha kuendelea na mchakato.
Akiongozwa na wakili wake, Elisa Msuya, mbele ya jopo la majaji linaloongozwa na Jaji John Utamwa, Jaji Sam Rumanyika na Msajili Saul...