WAKUSANYAJI MAPATO MKOANI TABORA AMBAO HAWAJAPELEKA FEDHA BENKI KUCHUKULIWA HATUA
NA TIGANYA VINCENT
SERIKALI ya Mkoa wa Tabora imeagiza kuchukuliwa hatua za kisheria kwa watumishi wote waliopewa mashine za kukusanyia mapao (POS) ambao hadi hivi wadaiwa mapato waliyokusanya kwa kutoyawasilisha Benki.
Kauli hiyo imetolewa jana na Katibu Mkoa wa Tabora Msalika Makungu wakati wa kikao cha robo ya tatu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Urambo.
Alisema kitendo hicho ni kinyume cha kifungu cha 60 cha Sheria ya fedha za umma yam waka 2001.
Makungu alisema dosari za aina...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Dec
Ubadhirifu wa fedha na rasilimali wapungua vijijini kwa viongozi kuhofia kuchukuliwa hatua na wakazi wa maeneo hayo
Waraghbishi toka vijiji vya Iponya, Nyakasumula, Bukandwe na Shenda wakiwa katika picha ya pamoja na mwenyekiti na mtendaji wa kijiji cha Shenda.
Ni miaka mitatu na miezi nane toka mraghbishi Fedson Yaida na wenzake toka vijiji vya jirani kukutana na Chukua Hatua. Ni rafiki waliyekutana naye mwaka 2011 katika mazungumzo maalumu ambayo walitakiwa kuyafikisha kwa wananchi wenzao wa vijiji vya Shenda, Iponya, Nyakasumula na Bukandwe katika wilaya ya Mbogwe mkoani Geita.
Ni katika mazungumzo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CxObUP2s7es/VXBUQ-bPA1I/AAAAAAAHb7c/vLW9V5eKU9E/s72-c/Lowassa_Yusuf%2BBundala%2BKasubi2.jpg)
wanaCCM mkoani Tabora wamchangia mh. Lowassa fedha za kuchukulia fomu ya kuwania Urais
![](http://2.bp.blogspot.com/-CxObUP2s7es/VXBUQ-bPA1I/AAAAAAAHb7c/vLW9V5eKU9E/s640/Lowassa_Yusuf%2BBundala%2BKasubi2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-D7v_599zWHA/VXBUSbBqsYI/AAAAAAAHb7w/hJe2CSG_bgU/s640/Majaliwa%2BBilali.jpg)
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Magaidi kuchukuliwa hatua Ufaransa
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Wanamgambo kuchukuliwa hatua Libya
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Hw114l5o4GM/Xl4pvrDWeLI/AAAAAAACz8o/sO63b4J-NwcPHDx0hzYaJnTp5vjgwZjdQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KUCHUKULIWA HATUA KALI WALIOFUJA MALI ZA MKONGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hw114l5o4GM/Xl4pvrDWeLI/AAAAAAACz8o/sO63b4J-NwcPHDx0hzYaJnTp5vjgwZjdQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu ambazo hazijaendelezwa zitachukuliwa na kugawiwa kwa wananchi ili walime mkonge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za...
5 years ago
MichuziWALIOFUJA MALI ZA MKONGE KUCHUKULIWA HATUA-MAJALIWA
Pia, Waziri Mkuu amesema Serikali itafanya uchunguzi katika mashamba yote ya mkonge ili kubaini yameendelezwa kwa kiasi gani na sehemu ambazo hazijaendelezwa zitachukuliwa na kugawiwa kwa wananchi ili walime mkonge.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo(Jumanne, Machi 3, 2020) wakati akizungumza kwa nyakati tofauti na wananchi wa kata za Segera...
10 years ago
StarTV31 Dec
Hatua zaidi zatakiwa kuchukuliwa wahusika wa ESCROW.
Na Blaya Moses,
Dodoma.
Wakati baadhi ya wananchi na taasisi mbalimbali nchini zikiendelea kushinikiza uwajibishwaji wa baadhi ya viongozi waliohusika na wizi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, umoja wa shirikisho la chuo kikuu cha Dodoma umeshauri hatua zaidi zichukuliwe dhidi ya wahusika wote kwani kuvuliwa nyadhifa zao pekee haitoshi.
Aidha shirikisho hilo limempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kuanza kuwawajibisha baadhi yao likimshauri kuendelea pia kuwashughulikia wale wote...
9 years ago
StarTV24 Nov
Kufutwa Uchaguzi Zanzibar Waliohusika watakiwa kuchukuliwa hatua
Shirikisho la vyuo vikuu Zanzibar limeomba kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi ya mtu yeyote aliyehusika na kusababisha kufutwa kwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar bila kujali cheo ama wadhifa wake.
Akisoma taarifa ya wasomi hao wanaounga mkono ccm mbele ya wanahabari visiwani Zanzibar Makamu mwenyekiti wa shirikisho la vyuo vya elimu ya juu wanaunga mkono CCM Zanzibar Hamid Saleh Muhina anasema maeneo mengi ya hujuma katika uchaguzi huo yamebainika ila tuma na baadhi ya makamishna kukaa kimya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3sYZLvHv6wc/Xq6_25hj0yI/AAAAAAALo8Y/h6jH_osJgssRp6BOklXFFxk0Bm_wfpxygCLcBGAsYHQ/s72-c/53189889_303.jpg)
DC KIGOMA WASIOVAA BARAKOA KUKAMATWA NA KUCHUKULIWA HATUA KALI
MKUU wa wilaya Kigoma Samson Anga ametangaza kuwa watu wote ambao watakutwa hawajavaa barakoa kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona watakamatwa na kuchukuliwa hatua.
Anga alisema hayo wakati akieleza tathmini ya agizo la Mkuu wa mkoa Kigoma, Emanuel Maganga alilolitoa Meo Mosi mwaka huu kutaka watu wote mkoani humo kuanza kuvaa barakoa kuanzia Mei 2 mwaka huu wanapokuwa nje ya makazi yao na kwenye...