Walalamikia huduma za Baraza la Ardhi
IMEELEZWA kuwa kuwepo kwa Baraza moja la Ardhi ambalo linatumika na mashauri yote yanayohusu ardhi, limechangia kutopatiwa ufumbuzi wa haraka migogoro ya ardhi inayotokea mkoani hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-F8TU-QFj4Sk/VoKd1klhp-I/AAAAAAAIPOk/WkiY2Zas_ro/s72-c/100e1f06-adfb-411b-867d-1534d83922b8.jpg)
Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline Mabula astukizia baraza la ardhi kinondoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-F8TU-QFj4Sk/VoKd1klhp-I/AAAAAAAIPOk/WkiY2Zas_ro/s640/100e1f06-adfb-411b-867d-1534d83922b8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9OTejzAZrYk/VoKd2oURfAI/AAAAAAAIPOo/xUJwh-Y8YSI/s640/614bcd92-6870-4c04-90bd-03cc7891e0ae.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 May
Mawakala huduma za fedha walalamikia kodi kubwa
Taasisi ya Pride Tanzania ambayo ilianzishwa kwa lengo la kutoa mikopo midogo midogo kwa wajasiriamali imetoweka kwenye orodha ya mali zinazomilikiwa na Serikali.
11 years ago
Habarileo15 Jan
Baraza la Wafanyakazi Tume ya Ardhi lazinduliwa
TUME ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi imeagizwa kutenga bajeti ya kutosha kuharakisha utekelezaji wa upangaji wa matumizi ya ardhi nchini ili kupunguza migogoro ya ardhi iliyoshamiri nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EV_u1aUHxKw/Xu5rj6TaV1I/AAAAAAALuyA/jngeMYk6XJcuL0ECYb3A4LF6sC1Xd50mwCLcBGAsYHQ/s72-c/9abe6eb8-76a9-4266-885f-61baf1ac6444.jpg)
Baraza la Ardhi Wilayani Nkasi kuanza kazi mwezi wa Saba.
![](https://1.bp.blogspot.com/-EV_u1aUHxKw/Xu5rj6TaV1I/AAAAAAALuyA/jngeMYk6XJcuL0ECYb3A4LF6sC1Xd50mwCLcBGAsYHQ/s640/9abe6eb8-76a9-4266-885f-61baf1ac6444.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh.Joachim Wangabo (kushoto) akimpa maelekezo Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mh. Said Mtanda (kulia) juu ya namna ya kufanya baadhi ya marekebisho katika jengo la Ofisi za Baraza la Ardhi la Wilaya hiyo.
**********************************
Wananchi wa Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa, wametolewa hofu na Mkuu wa Mkoa huo Mh. Joachim Wangabo juu ya kufuata huduma za baraza la ardhi katika Wilaya ya Sumbwanga na kuwahakikishia kuwa, baraza la Ardhi la Wilaya ya Nkasi linategemewa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QVt6fxtGBNA/Xts092UAV5I/AAAAAAALsyc/dVKh_4MYzQ8afikq5IIHozEeWD-Y2C7eACLcBGAsYHQ/s72-c/Ofisi%2Bya%2BArdhi%2BRukwa.png)
Ofisi ya Ardhi Rukwa yaapa kutoa huduma kwa weledi na haki.
![](https://1.bp.blogspot.com/-QVt6fxtGBNA/Xts092UAV5I/AAAAAAALsyc/dVKh_4MYzQ8afikq5IIHozEeWD-Y2C7eACLcBGAsYHQ/s640/Ofisi%2Bya%2BArdhi%2BRukwa.png)
Msananga amesema kuwa lengo la wizara kuwapunguzia wananchi gharama za usafiri kufuata huduma ambazo hivi sasa...
10 years ago
MichuziBARAZA LA WATUMIAJI HUDUMA SUMATRA LASHIRIKI KIKAMILIFU MAONESHO YA MIAKA 40 YA CHUO CHA NIT JIJINI DAR
5 years ago
MichuziOFISI YA ARDHI MKOA WA MARA KUWEZESHWA VIFAA VYA UPIMAJI ARDHI
Na Munir Shemweta, WANMM MUSOMA Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesema wizara yake itaipatia ofisi ya ardhi mkoa wa Mara vifaa vya upimaji ili viweze kutumiwa na halmashauri za mkoa huo kwa lengo la kuongeza kasi ya upimaji. Dkt Mabula alitoa kauli hiyo jana wilayani Musoma mkoa wa Mara alipokwenda kukagua ofisi mpya ya ardhi ya mkoa Mara ikiwa ni jitihada za wizara ya ardhi kusogeza huduma za ardhi kwa wananchi. Awali huduma za ardhi zilikuwa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200624_122816.jpg)
LUKUVI AWATAKA WATENDAJI IDARA ZA ARDHI KUPIMIA WANANCHI ARDHI
![IMG_20200624_122816 IMG_20200624_122816](https://1.bp.blogspot.com/-z8lUs7Lw9_E/XvPaopShJ1I/AAAAAAAAdgQ/aIErgmcGC0wLj1UlB2_wvyFyGQ7LwqlqACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200624_122816.jpg)
Na Ahmed Mahmoud Arusha
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Makazi, William Lukuvi amewataka maafisa ardhi kuwapa hati Mara moja watu wote waliopimiwa viwanja ili idadi iliyo kwenye michoro iwe na hati kwa...
5 years ago
CCM BlogOFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania