Mawakala huduma za fedha walalamikia kodi kubwa
Taasisi ya Pride Tanzania ambayo ilianzishwa kwa lengo la kutoa mikopo midogo midogo kwa wajasiriamali imetoweka kwenye orodha ya mali zinazomilikiwa na Serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWATOA HUDUMA WA FEDHA KUANZA KUSAJILIWA MWEZI HUU,WAMO MAWAKALA WA PESA KWA NJIA YA SIMU YA MKONONI
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo ya Taifa, Kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT),Bw.Bernard Dadi akizungumza kwenye Semina ya Waandishi wa Habari za Uchumi na Fedha inayoendelea jijini Arusha, kuhusu Kanzidata ya kudumu ya watoa huduma wa kifedha,na ufafanuzi zaidi kuhusukusajiliwa kwa Watoa huduma wa Fedha nchini.
Dadi amesema kuwa usajili huo utakuwa ni wa lazima kwa yoyote atakaye husika na utoaji wa huduma wa Fedha,na kwamba usajili huo unatarajiwa kuanza rasmi Mwezi Machi-Aprili 2020 kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s72-c/IMG_5477.jpg)
WAFANYABIASHARA MANISPAA YA SUMBAWANGA WALALAMIKIA KODI MBALIMBALI SERIKALINI, MKUU WA MKOA WA RUKWA AWATAKA KUWA WAZALENDO KULIPA KODI KWA HIARI KUJENGA NCHI YAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-a2AmfGQwHa8/VQwb5XCk48I/AAAAAAAAGo0/O4V4DkqAN-U/s1600/IMG_5477.jpg)
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Mkomazi walalamikia kodi
10 years ago
Habarileo22 Nov
Wakwepa kodi walalamikia uwingi na viwango
BAADHI ya wafanyabiashara wanaokwepa kulipa kodi, wamedai moja ya sababu inayofanya wao kushindwa kutimiza wajibu wao, ni uwepo wa viwango vya juu vya malipo ambavyo pia ni vingi.
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Mawakala huduma za pesa waanzisha chama
WAFANYAKAZI wa huduma za pesa wameanzisha Chama cha Mawakala wa Huduma za Pesa Kupitia Simu za Mkononi (CMPT) ili kutatua matatizo yanayowakabili kazini. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es...
10 years ago
Habarileo05 Feb
Walalamikia huduma za Baraza la Ardhi
IMEELEZWA kuwa kuwepo kwa Baraza moja la Ardhi ambalo linatumika na mashauri yote yanayohusu ardhi, limechangia kutopatiwa ufumbuzi wa haraka migogoro ya ardhi inayotokea mkoani hapa.
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Ukosefu wa huduma za afya za kisasa na uhakika zadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania kufuata huduma hiyo nje ya nchi
. Ukosefu wa huduma za afya za uhakika na za kisasa zinadaiwa kuwa sababu kubwa ya watanzania wengi kufuata huduma hizo nchi za nje.
Hospitali ya Apollo ilikuwa moja ya hospitali za mwanzo kabisa katika bara la Asia, na duniani kwa ujumla kuleta huduma zote za kiafya chini ya paa moja. Na kwa wakati huu, mpango huo kabambe umeifanya hospitali hiyo kufanikiwa katika Nyanja zote za matibabu.
Dr. Prathap C Reddy, muasisi wa huduma za kiafya za kisasa nchini india, alianzisha hospitali ya...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Wananchi walalamikia matumizi mabaya ya fedha
WANANCHI wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha madiwani wa wilaya hiyo, kutumia fedha na kuunda tume ya watu watatu, akiwemo mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Joseph Malimbe, kwenda kumuona Katibu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XHTFxHTJDEc/Va4WEfsAp9I/AAAAAAABd5U/5NHCL7KxPns/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.%2B19%2BJulai%2B22.jpg)
MAWAKALA WA MAXMALIPO SASA KUTOA HUDUMA ZA BENKI YA CRDB
![](http://2.bp.blogspot.com/-XHTFxHTJDEc/Va4WEfsAp9I/AAAAAAABd5U/5NHCL7KxPns/s640/Picha%2Bya%2BPg.%2B19%2BJulai%2B22.jpg)