Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu wa hisabati, sayansi wapigwa ‘tafu’

Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) imetoa mkopo wa masharti nafuu wa Sh92 bilioni kwa Serikali ya Tanzania kwa ajili ya kusaidia mradi kwa sekta ya elimu hasa kuwajengea uwezo walimu wa masomo ya sayansi na hisabati.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundu Mhe. Eng Stella Manyanya afungua mafunzo ya walimu mahiri wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili Ruvuma.





 Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Eng Stella Manyanya akizungumza na washiriki wa mafunzo ya Walimu Wawezeshaji wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili kutoka shule za msingi katika Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma  na Halmashauri ya Ludewa Mkoa Njombe. Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Eng Stella Manyanya akishiriki katika darasa mojawapo la mafunzo ya Walimu Wawezeshaji wa masomo ya Hisabati, Kiingereza na Kiswahili kutoka shule za msingi katika...

 

10 years ago

Habarileo

Vitabu vya Sayansi, Hisabati vyasambazwa mashuleni

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu), Kassim Majaliwa SERIKALI imeanza kusambaza vitabu milioni 2.5 vya Hisabati, Fizikia, Biolojia na Kemia vyenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 25 kwa ajili ya shule zote za sekondari za serikali nchini, lengo likiwa ni kuimarisha ubora wa utoaji wa elimu ya Sayansi na Hisabati.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msalaba Mwekundu Mailimoja wapigwa tafu

CHAMA cha Msalaba Mwekundu tawi la Mailimoja Kibaha mkoani Pwani, kimepokea dawa, vifaa pamoja na fedha kutoka kwa mke wa mbunge wa Kibaha mjini, Selina Koka ili waweze kufanya kazi...

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu 100 kujadili maendeleo ya Hisabati

Walimu takriban 100 wa somo la hesabu kutoka nchi za Afrika Mashariki wanatarajia kukutana katika mkutano wa kimataifa utakaoangazia namna ya kuendeleza somo hilo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanafunzi wa stashahada ya ualimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati UDOM kunufaika na mikopo ya elimu ya juu

IMG_1680

Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Bw. Cosmas Mwaisobwa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya utoaji mikopo kwa mwaka wa masomo 2014/2015, wakati wa mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.

IMG_1689

Baadhi ya Waaandishi wa Habari wakimsikiliza Mkurugenzi Msaidizi Habari, Elimu na Mawasiliano toka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Dodoma yanoa walimu wake wa sayansi

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dk Rehema Nchimbi amesema serikali mkoani humo itaendelea kuimarisha mazingira ya kufundishia masomo ya sayansi ili wanafunzi wajenge uelewa zaidi na kufaulu vizuri.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Boxpedia’ dawa ya uhaba wa walimu wa sayansi

>Alipojiunga na Shule ya Sekondari ya Lumuli iliyopo  mkoani Iringa,   Ombeni Sanga alikuwa na matarajio makubwa ya kusoma masomo ya sayansi, ili baadaye aje kuwa mvumbuzi.

 

10 years ago

Habarileo

SUA yatoa walimu wa sayansi 193

CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeendelea kutoa majawabu ya msingi ya kukabiliana na uhaba wa walimu wa masomo ya sayansi wa shule za sekondari nchini baada ya kuwatunukia shahada ya kwanza ya ualimu wa masomo hayo wahitimu 193 miongoni mwao wanawake wakiwa ni 61.

 

11 years ago

Mwananchi

Jitihada za Serikali ‘kuwapika’ walimu wa sayansi na hesabu

Mpango wa mafunzo kazini kwa walimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati katika shule za sekondari awamu ya kwanza, umekamilika kwa mafanikio.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani