Walio na kisukari waongezeka Uingereza
Idadi ya watu wanaoishi na ugonjwa wa kisukari imepanda kwa karibu asilimia 60 katika kipindi cha muongo mmoja uliopita
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India
from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.
Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Je,antibiotics husababisha kisukari?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7X1wIOHFtrzHosnOf4sTWA8Glkrf1ktwl*g5m4JPFWI*WQCddaE4zlqShhinjLBCDvtH8qESb0kwmg*Gb8uWG7PGohyNC3tT/mainsymptomsofdiabetes_1.png?width=650)
FAHAMU KINACHOSABABISHA KISUKARI-4
10 years ago
Vijimambo27 Mar
JE, ANTIBIOTICS HUSABABISHA KISUKARI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/26/150326132006_antibiotics_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Wagonjwa wanaotibiwa na dawa za viuavijasumu ama antibiotics mara kwa mara huenda wakakabiliwa na hatari ya kupatwa na aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ,watafiti wamegundua.
Utafiti uliochapishwa na Jarida la utafiti wa damu ulifuatilia dawa zinazopewa mamilioni ya wagonjwa nchini Uingereza.Waanzilishi wa utafiti huo wanasema kuwa matokeo ya utafiti huo hayamaanishi kwamba dawa hizo husababisha kisukari ,na badala yake maambukizi huenda ni ishara za mapema kwamba mtu...
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljyXFZ2cc2FEKJDZAhfEkWXBvOWRjS1d2WOx3dssymeB87Osb5EE3ABppfVPu*FS8SLMVc0EkQ66kx5y9yji1*XA/kisukari.png)
KINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-3
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Dk. Rashid: Kisukari bado tishio
![Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Seif-Rashid.jpg)
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
SERIKALI inakusudia kuongeza bajeti ya fedha za kununua dawa za kutibu kisukari kwa kuwa ugonjwa huo umeshakuwa tishio hapa nchini.
Akizungumza Dar es Salaam jana katika Mkutano wa Pili wa Pan African Diabetic Foot Study Group, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema fedha hizo zitanunua dawa zitakazotolewa bure kwa wagonjwa wa kisukari.
Alisema licha ya dawa za ugonjwa huo kuwa za gharama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtExhCsqCJtQKa0SxNvwJEmmSp0IWnM3-vylc6JaOLlckx-km2pphLIWuyBDqTdsyxFVH9q8AGAUMS1sgszagQME0/fig.jpg?width=650)
NEFRON, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO
10 years ago
GPLKINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-2