Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walio na kisukari waongezeka Uingereza

Idadi ya watu wanaoishi na ugonjwa wa kisukari imepanda kwa karibu asilimia 60 katika kipindi cha muongo mmoja uliopita

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India

Image 1

from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.

Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,antibiotics husababisha kisukari?

Wagonjwa wanaotibiwa na antibiotics mara kwa mara huenda wakakabiliwa na hatari ya kupatwa na ugonjwa wa kisukari

 

10 years ago

GPL

FAHAMU KINACHOSABABISHA KISUKARI-4

NA DK. A. MANDAI USHAURI SIMU: +255 717 961795                           +255 754 391743 LEO katika makala haya tutaeleza dalili za kisukari na  wiki ijayo tutafafanua madhara yake. Endelea.
Mgonjwa pia anaweza kuona dalili ya kuchoka haraka, kupungua uzito, vipele mwilini ambavyo kitaalamu huitwa diabetic dermadromes. Wagonjwa wa kisukari pia huwa katika hatari ya kupata maambukizi...

 

10 years ago

Vijimambo

JE, ANTIBIOTICS HUSABABISHA KISUKARI


Dawa za antibiotics
Wagonjwa wanaotibiwa na dawa za viuavijasumu ama antibiotics mara kwa mara huenda wakakabiliwa na hatari ya kupatwa na aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ,watafiti wamegundua.
Utafiti uliochapishwa na Jarida la utafiti wa damu ulifuatilia dawa zinazopewa mamilioni ya wagonjwa nchini Uingereza.Waanzilishi wa utafiti huo wanasema kuwa matokeo ya utafiti huo hayamaanishi kwamba dawa hizo husababisha kisukari ,na badala yake maambukizi huenda ni ishara za mapema kwamba mtu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanyama walio tofauti

Wanyama walio tofauti

 

10 years ago

GPL

KINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-3

LEO tunaendelea  kuwaelimisha kuhusu ugonjwa wa kisukari tukimalizia na wajawazito. endelea:
Karibu asilimia 20 mpaka 50 ya wajawazito wanaopata  kisukari huweza kuendelea kuwa na ugonjwa huo hata baada ya ujauzito na hatimaye kuwa na aina ya pili ya kisukari maishani.

KWA NINI KISUKARI HUTOFAUTIANA?
Sababu za kisukari hutofautiana kulingana na aina ya ugonjwa huo. Kwanza tuchambue mambo yanayosababisha mtu apatwe...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Rashid: Kisukari bado tishio

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

SERIKALI inakusudia kuongeza bajeti ya fedha za kununua dawa za kutibu kisukari kwa kuwa ugonjwa huo umeshakuwa tishio hapa nchini.

Akizungumza Dar es Salaam jana katika Mkutano wa Pili wa Pan African Diabetic Foot Study Group, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alisema fedha hizo zitanunua dawa zitakazotolewa bure kwa wagonjwa wa kisukari.

Alisema licha ya dawa za ugonjwa huo kuwa za gharama...

 

10 years ago

GPL

NEFRON, KISUKARI NA UGONJWA WA FIGO

Madhara ya ugonjwa wa kisukari katika mwili wa binadamu ni mengi  na mojawapo ni ugonjwa wa figo unaotokana na mhusika kuwa na tatizo hilo. Leo tuangazie tatizo la figo (kidney) ambayo ina mamia kwa maelfu ya vijiumbo vidogovidogo viitwavyo nefroni (nephrons). Kazi ya hizi nefroni ni kuchuja damu na kutoa uchafu mwilini kwa njia ya mkojo kupitia mirija ya ureter inayotoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu. Kwa watu wenye...

 

10 years ago

GPL

KINACHOSABABISHA KISUKARI, MADHARA NA TIBA-2

TULIANZA wiki iliyopita kueleza kinachosababisha mtu kupata ugonjwa wa kisukari. Endelea: Seli maalumu zinazotengeneza homoni ya insulin zinapokosekana katika tezi kongosho au zinapoharibika kutokana na sababu yoyote ile husababisha ukosefu kabisa au upungufu wa kichocheo hicho kwenye damu. Mambo yanayoweza kusababisha uharibifu wa seli hizi katika tezi kongosho ni pamoja na kushambuliwa tezi hizo kunakoweza kufanywa na magonjwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani