WALIOANGUKIA PUA CCM
![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHslLEVCRELeQu7-H5N*BYQFJiNotaDofFqGX7N-U-h77vX7sYDol9OyMsVhpHmKG5hJbtM37rHvnppvjgab6FSlA/CCM.gif?width=650)
WAKATI kura za maoni zikileta shangwe na vilio kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi kote nchini, watu walioangukia pua wakati wa kura za maoni wameshikana uchawi na wenzao wakiwatuhumu kuwa ndiyo chanzo cha anguko lao. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1M4o6Sq
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Mwenyekiti UWT Ikungi atimuliwa CCM, aenda Chadema aangukia pua
Katibu wa CCM wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Aluu Segamba,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo kwenye picha),juu ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wilayani humo, Christina Hamisi kujivua unachama na kufukuzwa kazi kwa madai ya kuvunja sheria, kanuni na taratibu za chama tawala.(Picha na Nathaniel Limu).
Kaimu Katibu wa CCM Mkoa wa Singida, Mary Maziku akizungumza na wanahabari juu ya kufukuzwa uongozi aliyekuwa Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Ikungi Christina Samwel...
10 years ago
Mtanzania23 Aug
Magufuli aangukia pua
![Waziri John Magufuli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Magufuli.jpg)
Waziri John Magufuli
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru Wachina wa ‘samaki wa Magufuli’ na kuamuru Jamhuri iwarejeshee vitu vyao ikiwemo meli ya Tawaliq 1.
Wachina hao Nahodha wa meli, Hsu Chin Tai na Wakala wa Meli ya Tawaliq 1, Zhao Hanquing waliachiwa jana kupitia hati ya Nole ya kuwaondolea mashitaka.
Hii ni mara ya pili kwa Wachina hao kuachiwa kwani mara ya kwanza waliachiwa na Mahakama ya Rufaa Machi 28 mwaka huu, walikamatwa tena na...
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Pua la kielektroniki latambua maradhi
10 years ago
BBCSwahili06 Apr
Mtoto azaliwa bila pua
9 years ago
Vijimambo27 Oct
MAWAZIRI WATANO WAANGUKIA PUA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2931392/highRes/1158930/-/maxw/600/-/7xkw70z/-/MWAZIRI+WATANO+Photo.jpg)
Mikoani. Mawaziri watano wa Serikali inayomaliza muda wake wameanguka kwenye uchaguzi majimboni mwao, sambamba na wagombea wengine maarufu wa Bunge lililopita baada ya matokeo ya kura zilizopigwa Jumapili kuanza kutangazwa jana.
Mawaziri hao wanaungana na wabunge wengine maarufu wa Bunge la Kumi walioshindwa kutetea majimbo yao, wakiwamo wa kambi ya upinzani ambao wameangushwa na wagombea wa CCM.
Pia wamo mawaziri wa zamani wawili, Cyril Chami na Omary Nundu...
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Bayern yaangukia pua,Barcelona kidedea
11 years ago
Tanzania Daima28 Mar
Kisena aangukia pua Mahakama Kuu
MAHAKAMA Kuu imetupilia mbali kesi mpya iliyofunguliwa na mmiliki wa Kampuni ya usafirishaji ya UDA, Robert Kisena dhidi ya mfanyabiashara Alex Msama na wenzake watatu kuhusu mgogoro wa kiwanja kilichopo...
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Maambukizi nyufa za vifupa vya pua
10 years ago
GPLSIMBA SC YAANGUKIA PUA KWA MGAMBO SHOOTING