Waliopata ujauzito shuleni walia ujuaji kuwaponza
WANAJIITA ‘Single Mothers’. Hawa si wengine ni wasichana waliopata ujauzito wakiwa masomoni Wilaya ya Mbeya, jijini hapa. Jamii imekuwa ikiamini kuwa tatizo kubwa la wasichana lipo vijijini, lakini wasichana hawa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo26 Nov
Waliopata mimba sasa kurudi shuleni
SERIKALI imedhamiria kuanza utaratibu utakaoweka mazingira ya wanafunzi waliopata mimba wakiwa shule kurudi shuleni kwa lengo la kuhakikisha hawakosi elimu. Aidha, katika kutekeleza Sera ya Elimu ya Mwaka 2014, kuanzia mwakani inayoeleza kutoa elimu bure, Serikali imewataka wazazi na walezi kwenda kuandikisha watoto kwani ada na michango yote imeondolewa ili kuwezesha watoto wote wapate elimu ya msingi.
11 years ago
Habarileo11 Jan
Waliopata majanga ya moto Pemba wasaidiwa
JUMUIYA ya Muzdalifa yenye makao makuu yake Pemba imetoa misaada wa bidhaa mbalimbali ikiwemo nguo kwa familia na watu ambao nyumba zao zimeteketea kwa moto huko Shumba, mjini Pemba.
10 years ago
Mtanzania18 Dec
Vijana waliopata mafunzo JKT waandamana
Na Asifiwe George, Dar es Salaam,
VIJANA zaidi ya 300 waliopata mafunzo kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wameandamana kwenda Ikulu kumwona Rais Jakaya Kikwete ili asikilize kilio chao na kupinga upendeleo wa ajira ndani ya jeshi.
Maandamano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam jana kwa saa mbili asubuhi kwa vijana hao kujikusanya katika eneo la Jangwani huku wakiwa wameshika bendera nyekundu kupita barabara ya Morogoro, Umoja wa Mataifa hadi Taasisi ya Taifa ya Utafiti...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VQy10GLV04Y/U-o-jRsrSaI/AAAAAAAF-_Y/W-WrBb9pOLE/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
Waliopata Ufadhili wa masomo China waagwa
Katika shahada ya uzamili wamechaguliwa watanzania 9 kati ya 46 walioomba ufadhili ambapo katika shahada ya uzamivu amechaguliwa mtanzania mmoja kati ya wanne waliowasilisha maombi.
Msaada huu wa masomo umetolewa na Serikali ya China kwa Tanzania kufuatia juhudi za Wizara ya Nishati na Madini...
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Waliopata mgawo Escrow kutozwa mamilioni
11 years ago
Habarileo24 Jul
Waliopata daraja la kwanza kusomeshwa bure ualimu
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imewahakikishia wahitimu wa Kidato cha Nne mwaka huu waliofaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza na kuamua kusomea ualimu wa Sayansi ngazi ya Stashahada, watasomeshwa bure.
10 years ago
Habarileo23 Nov
Wanafunzi 24 waliopata mimba watakiwa kuripoti Polisi
MKUU wa Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, Nurdin Babu ameagiza wanafunzi 24 wa shule mbalimbali za sekondari wilayani humo waliopata ujauzito kuripoti kituo cha polisi cha wilaya Novemba 25 mwaka huu ili watoe ushirikiano kukamatwa watu waliowatia mimba.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MF95hpf9aWY/VIAfy-pbP3I/AAAAAAAG1Io/1cM7LWvAp3U/s72-c/IMG20141126WA0001.jpg)
TATOA YAWAPA POLE WALIOPATA AJALI KASUMBALESA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MF95hpf9aWY/VIAfy-pbP3I/AAAAAAAG1Io/1cM7LWvAp3U/s1600/IMG20141126WA0001.jpg)
‘TATOA inatoa pole kwa familia na waathirika wote wa janga hili la moto kutoka nchi za Tanzania, Zambia, Zimbabwe, Congo na Afrika Kusini,...
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Waliopata umeme wa Rea kwa rushwa kuanza kuchunguzwa