Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliopata ujauzito shuleni walia ujuaji kuwaponza

WANAJIITA ‘Single Mothers’. Hawa si wengine ni wasichana waliopata ujauzito wakiwa masomoni Wilaya ya Mbeya, jijini hapa. Jamii imekuwa ikiamini kuwa tatizo kubwa la wasichana lipo vijijini, lakini wasichana hawa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Waliopata mimba sasa kurudi shuleni

SERIKALI imedhamiria kuanza utaratibu utakaoweka mazingira ya wanafunzi waliopata mimba wakiwa shule kurudi shuleni kwa lengo la kuhakikisha hawakosi elimu. Aidha, katika kutekeleza Sera ya Elimu ya Mwaka 2014, kuanzia mwakani inayoeleza kutoa elimu bure, Serikali imewataka wazazi na walezi kwenda kuandikisha watoto kwani ada na michango yote imeondolewa ili kuwezesha watoto wote wapate elimu ya msingi.

 

11 years ago

Habarileo

Waliopata majanga ya moto Pemba wasaidiwa

JUMUIYA ya Muzdalifa yenye makao makuu yake Pemba imetoa misaada wa bidhaa mbalimbali ikiwemo nguo kwa familia na watu ambao nyumba zao zimeteketea kwa moto huko Shumba, mjini Pemba.

 

10 years ago

Mtanzania

Vijana waliopata mafunzo JKT waandamana

Pg 1

 

 

 

 

 

 

 

Na Asifiwe George, Dar es Salaam,
VIJANA zaidi ya 300 waliopata mafunzo kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wameandamana kwenda Ikulu kumwona Rais Jakaya Kikwete ili asikilize kilio chao na kupinga upendeleo wa ajira ndani ya jeshi.
Maandamano hayo yalifanyika jijini Dar es Salaam jana kwa saa mbili asubuhi kwa vijana hao kujikusanya katika eneo la Jangwani huku wakiwa wameshika bendera nyekundu kupita barabara ya Morogoro, Umoja wa Mataifa hadi Taasisi ya Taifa ya Utafiti...

 

11 years ago

Michuzi

Waliopata Ufadhili wa masomo China waagwa

Serikali ya China kupitia Wizara ya Nishati na Madini imetoa ufadhili wa nafasi kumi (10) za masomo kwa watanzania katika ngazi ya shahada ya uzamili na uzamivu katika fani ya mafuta na gesi.
Katika shahada ya uzamili wamechaguliwa watanzania 9 kati ya 46 walioomba ufadhili ambapo katika shahada ya uzamivu amechaguliwa mtanzania mmoja kati ya wanne waliowasilisha maombi.
Msaada huu wa masomo umetolewa na Serikali ya China kwa Tanzania kufuatia juhudi za Wizara ya Nishati na Madini...

 

10 years ago

Mwananchi

Waliopata mgawo Escrow kutozwa mamilioni

Watu waliopokea mgawo wa fedha zilizochotwa kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) huenda wakalazimika kulipa mamilioni ya Shilingi ambayo ni kodi ya mapato ya fedha walizopewa, imefahamika.

 

11 years ago

Habarileo

Waliopata daraja la kwanza kusomeshwa bure ualimu

Naibu Waziri, Jenista MhagamaWIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imewahakikishia wahitimu wa Kidato cha Nne mwaka huu waliofaulu kwa kiwango cha daraja la kwanza na kuamua kusomea ualimu wa Sayansi ngazi ya Stashahada, watasomeshwa bure.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi 24 waliopata mimba watakiwa kuripoti Polisi

MKUU wa Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, Nurdin Babu ameagiza wanafunzi 24 wa shule mbalimbali za sekondari wilayani humo waliopata ujauzito kuripoti kituo cha polisi cha wilaya Novemba 25 mwaka huu ili watoe ushirikiano kukamatwa watu waliowatia mimba.

 

10 years ago

Michuzi

TATOA YAWAPA POLE WALIOPATA AJALI KASUMBALESA.

Umoja wa wamiliki magari ya mizigo TATOA umewapa pole wamiliki wa magari, madereva na wafanya biashara wanaosafirisha mizigo kuelekea Kongo DRC kufuatia ajali ya moto iliyotokea takribani wiki mbili zilizopita katika Yadi ya Whiski iliyoko jirani na mpaka wa Kasumbalesa katika nchi ya Demokrasia ya watu wa Kongo na kusababisha vifo na uharibifu wa mali.  
‘TATOA inatoa pole kwa familia na waathirika wote wa janga hili la moto kutoka nchi za Tanzania, Zambia, Zimbabwe, Congo na Afrika Kusini,...

 

9 years ago

Mwananchi

Waliopata umeme wa Rea kwa rushwa kuanza kuchunguzwa

Wananchi waliounganishiwa umeme kwa kutoa rushwa kwenye mradi wa Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) mkoani Kagera, wataanza kufanyiwa uchunguzi mwezi huu, imeelezwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani