Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliotangaza nia ya urais wapewa neno

Wanasiasa waliotangaza nia ya kuwania urais nchini wameshauriwa kujitathmini kwamba ni kwa vipi watalifanyia Taifa na wananchi wake mambo mazuri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Siwaogopi waliotangaza nia kuwania urais-Karume

Mtoto wa pili wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Balozi Ali Abeid Karume amesema hawaogopi wanasiasa waliojitokeza na kutangaza nia ya kuwania urais wa Muungano kumrithi Rais Jakaya Kikwete atakapoondoka madarakani.

 

11 years ago

Mwananchi

Waliotangaza nia CCM kikaangoni

>Baadhi ya makada wa CCM ambao wataitwa mbele ya Kamati ya Maadili na Usalama ya chama hicho, wanakabiliwa na shtaka la kutoa rushwa kwa lengo la kushawishi kukubaliwa kwao, Mwananchi limebaini.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa wawaponda waliotangaza nia CCM

>Viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wameponda tabia ya makada wa CCM wanaotangaza nia ya kugombea urais kufanya hafla zinazotumia fedha nyingi kwenye jambo dogo.

 

10 years ago

Mwananchi

Waliotangaza nia CCM waguswa na kauli ya JK

Siku moja baada ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kudokeza kuwa atakayekuwa mgombea wake wa urais baadaye mwaka huu ni yule ambaye hajajitokeza mpaka sasa, makada wa chama hicho waliotangaza nia ya kugombea urais wamesema wana uwezo na sifa za kugombea nafasi hiyo, huku wasomi wakija na mtazamo tofauti.

 

10 years ago

Mwananchi

Juma Nature awaasa waliotangaza nia

Msanii Juma Nature, ametoa rai kwa wasanii waliotangaza nia kuwania viti mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu ujao, akiwataka kusimama kwenye misingi ya kusaidia jamii badala na si vinginevyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Maadili CCM yatakiwa kuwashughulikia waliotangaza nia

Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umeshauri Kamati ya Maadili ya CCM kuwaonyesha mlango wa kutokea wote walioanza kampeni za kugombea urais, ubunge na nyingine kinyume cha maadili ya chama.

 

10 years ago

Michuzi

CCM ARUSHA YATOA ONYO KWA WALIOTANGAZA NIA ARUSHA MJINI

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Arusha,Feruz Bano (kushoto) akimkabidhi kitabu cha kanuni za uchaguzi wa CCM mgombea aliyetangaza nia ya kuwania ubunge katika jimbo la Arusha mjini,Kim Fute jana ofisini kwake mara alipofika kujitambulisha na kutangaza nia. mgombea aliyetangaza kuwania nafasi ya ubunge kupitia CCM katika jimbo la Arusha mjini,Kim Fute akisaini kitabu cha wageni katika ofisi ya katibu wa chama hicho wilayani Arusha jana alipofika kujitambulisha na kutangaza ...

 

9 years ago

Habarileo

Wagombea urais wapewa somo

MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Alliance for Tanzania Farmers (AFP), Said Soud amewataka wagombea wenzake wa nafasi hiyo kuweka mbele uzalendo na si tamaa na ubinafsi wa madaraka.

 

10 years ago

GPL

WATANGAZA NIA YA URAIS WASICHAFUANE

Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda (Mbunge wa Katavi). Hakika Mungu ni mwema sana. Ametuwezesha leo kuwa na nguvu ya kutafakari hatima ya nchi yetu ambayo inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 hapo Oktoba.Mwishoni mwa wiki iliyopita tulishuhudia makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakijitokeza kuwania urais kupitia chama hicho na tayari wameanza kuchuana kutangaza nia yao baada ya vikao vya Kamati Kuu Taifa (CC) na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani