Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walioteka mabasi Tabora sasa kunyongwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Tabora, imewahukumu kunyongwa hadi kufa watu wawili waliokamatwa wakimiliki silaha mbili za kivita na sare zinazotumiwa na jeshi la nchi jirani ya Burundi bada ya kutiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Walioteka mabasi sita wakamatwa

bomuNa Mary Mwita, Arusha
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limewatia mbaroni watu kadhaa kwa kuhusishwa na tukio la ujambazi wa kuteka mabasi sita ya abiria yaliyokuwa yanatoka nchini Kenya kuelekea jijini Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini hapa, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alisema katika msako huo ulioanza jana wamefanikiwa kukamata watu hao katika maeneo tofauti mkoani humo.
Kamanda Sabas alisema kwa sasa jeshi hilo haliwezi kutaja majina ya watuhumiwa...

 

10 years ago

Habarileo

Mgambo stendi ya mabasi Tabora lawamani

Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan KagandaJESHI la Polisi mkoani Tabora limewakana askari mgambo walioko stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani ambao wanadaiwa kugeuka kero kwa kamatakamata na kuomba rushwa watu wenye baiskeli.

 

10 years ago

Michuzi

WATU 16 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI MBAYA YA MABASI MAWILI WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA

Watu  zaidi ya 17 wanadaiwa kufariki dunia na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa  baada ya mabasi waliokuwa wakisafiria kugongana katka k ijiji  cha Mlogolo wilayani Sikonge mkoani Tabora.
Ajali hiyo imetokea leo hii jioni majira ya saa 11 jioni baada ya Basi la Kampuni ya Sabena lenye namba za usajiri T 110 ARV lililokuwa likitokea Mbeya kwenda  Mwanza kumegongana uso kwa uso na basi la AM Dreamline lenye namba za usajiri  T 803 ATN lililokuwa likitokea Mwanza kupitia Mpanda.
Ajali hiyo imetokea...

 

10 years ago

Mwananchi

Vituo mabasi yaendayo mikoani vijengwe sasa

Kama kuna jambo ambalo Serikali itakuja kulijutia muda si mrefu kutoka sasa; ni ucheleweshaji usio na sababu wa ujenzi wa vituo vya mabasi yaendayo mikoani kutoka jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walioteka bandari Libya wauza mafuta nje

Wanamgambo walioteka bandari nchini Libya wameiambia BBC kuwa wameanza kusafirisha mafuta kwenda nchi za nje.

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA IBRALINE YATANGAZA NAULI MPYA KWA MABASI YAKE,ABIRIA SASA KULIPA NUSU BEI YA SUMATRA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Ibraline ,Ibrahim Shayo.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Moshi.


SIKU chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza punguzo la bei ya Mafuta Kampuni ya kutoa huduma ya usafirishaji wa ndani na nje ya nchi ya Ibraline imetangaza kushusha nauli kwa nusu ya bei elekezi ya SUMATRA.
Hatua hiyo inakuja wakati baadhi ya wananchi kulalamika kutokuwepo na ahueni yoyote licha ya kwamba serikali imetangaza kushusha bei ya bidhaa ya Mafuta...

 

11 years ago

Mwananchi

Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi

Kwa mara nyingine, nchi yetu imepata janga jingine kubwa baada ya ajali mbili kutokea katika mikoa ya Pwani na Kilimanjaro mwishoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo kwa watu zaidi ya 30.

 

9 years ago

Vijimambo

MWIGULU AVUNA KURA ZA MKOA WOTE WA TABORA KWENDA CCM,SASA KUPAA KUELEKEA MKOA MWINGINE HAPO KESHO

Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi katika moja ya Majimbo mkoa wa Tabora hii leo wakati wa ziara yake ya kuzunguka Mkoa wa Tabora wote kwaajili ya kuinadi Ilani ya Chama cha Mapinduzi na Kuwaombea Kura Madiwani,Wabunge na Rais mtarajiwa wa Chama cha Mapinduzi.Mwigulu Nchemba katika harakazi za kuhakikisha CCM inashinda kwa kishindo kwa Mkoa wa Tabora na Nchi nzima hii leo akiwa Tabora Jimbo la Igunga.Chagua Almasi Maige kwa Maendeleo ya Tabora Kaskazini.Mjumbe wa timu ya Ushindi ya CCM...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani