Walioteka mabasi Tabora sasa kunyongwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Tabora, imewahukumu kunyongwa hadi kufa watu wawili waliokamatwa wakimiliki silaha mbili za kivita na sare zinazotumiwa na jeshi la nchi jirani ya Burundi bada ya kutiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania20 Jan
Walioteka mabasi sita wakamatwa
Na Mary Mwita, Arusha
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha limewatia mbaroni watu kadhaa kwa kuhusishwa na tukio la ujambazi wa kuteka mabasi sita ya abiria yaliyokuwa yanatoka nchini Kenya kuelekea jijini Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini hapa, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alisema katika msako huo ulioanza jana wamefanikiwa kukamata watu hao katika maeneo tofauti mkoani humo.
Kamanda Sabas alisema kwa sasa jeshi hilo haliwezi kutaja majina ya watuhumiwa...
10 years ago
Habarileo15 Feb
Mgambo stendi ya mabasi Tabora lawamani
JESHI la Polisi mkoani Tabora limewakana askari mgambo walioko stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani ambao wanadaiwa kugeuka kero kwa kamatakamata na kuomba rushwa watu wenye baiskeli.
10 years ago
Michuzi20 Aug
WATU 16 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI MBAYA YA MABASI MAWILI WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/va1xHRzn4uvgbiOc36N-X4mb4LZ1AzOhMf90tiGqzH1_iWMHS8Wd5EldjeWdxwTkXYrp9FeuDNPQFkbDzit2YYiibpp4IqoRVfjcGexLy4WBt2af4NNmO2f4N1NL3Ua5Y8DiLASUvgn7IHqvBxGNxgZotjcUTbw832ajBRoqg4Z6ktVikjhCvWAX7ZKyZJRbSROBh8oamKFPUJAYDgRV8uFak6g74tcLEG8v_C3eyY8MotFqcHV53SNXPoGJIBSAJoVJP86ZnGrr3xWDqI2qXoeBXhegjQC0W5N-jl9mt5yadOeSsULifW8qS_V-1p7Uj82yczUrutQ5K43-98ZOXhYBQdZQIGll4P2F=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-nZ_GfWPujs0%2FU_NeIhoEQ9I%2FAAAAAAAAGRs%2F5mAvDqwU_yI%2Fs1600%2FIMG-20140819-WA0011.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Ajali hiyo imetokea leo hii jioni majira ya saa 11 jioni baada ya Basi la Kampuni ya Sabena lenye namba za usajiri T 110 ARV lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza kumegongana uso kwa uso na basi la AM Dreamline lenye namba za usajiri T 803 ATN lililokuwa likitokea Mwanza kupitia Mpanda.
Ajali hiyo imetokea...
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Vituo mabasi yaendayo mikoani vijengwe sasa
11 years ago
BBCSwahili08 Mar
Walioteka bandari Libya wauza mafuta nje
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA IBRALINE YATANGAZA NAULI MPYA KWA MABASI YAKE,ABIRIA SASA KULIPA NUSU BEI YA SUMATRA
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Moshi.
SIKU chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza punguzo la bei ya Mafuta Kampuni ya kutoa huduma ya usafirishaji wa ndani na nje ya nchi ya Ibraline imetangaza kushusha nauli kwa nusu ya bei elekezi ya SUMATRA.
Hatua hiyo inakuja wakati baadhi ya wananchi kulalamika kutokuwepo na ahueni yoyote licha ya kwamba serikali imetangaza kushusha bei ya bidhaa ya Mafuta...
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi
9 years ago
Vijimambo27 Sep
MWIGULU AVUNA KURA ZA MKOA WOTE WA TABORA KWENDA CCM,SASA KUPAA KUELEKEA MKOA MWINGINE HAPO KESHO
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/12033156_429722670563300_7208807585825681141_n.jpg?oh=891426c1c8ad6dd55e55b037e87e2702&oe=569E4D50&__gda__=1449263674_d94b55826f4d5259c6d30eccfe29cd12)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfp1/v/t1.0-9/12027810_429723167229917_1278883024286466794_n.jpg?oh=77042dcafec9d51718c34589c3a5ffa1&oe=568F7D58&__gda__=1452718289_9b362394411a265812751caf6b60767b)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12072677_429723100563257_2082979507559632649_n.jpg?oh=836daf28b2a5f851d1bf3dfbe621866b&oe=568E0FCC)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/l/t1.0-9/11026240_429723130563254_3328235004459415789_n.jpg?oh=180ef91a668fe27dfd8828664499f313&oe=56A27E3D)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vdXfYFOgkyQ/default.jpg)