Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wambura ni nouma!

Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
HAKIKA Michael Richard Wambura ni noma, hiyo ni baada ya wajumbe wa Kamati ya Rufani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuumiza vichwa kupata muafaka juu ya suala lale la kuenguliwa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya urais katika Klabu ya Simba.

Mgombea huyo alienguliwa katika uchaguzi huo na Kamati...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Wambura si Mwanasimba’

Dar es Salaam. Jinamizi la kuenguliwa katika kinyang’anyiro cha uongozi kwa Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT) sasa TFF, Michael Wambura limezidi kumwandama na safari hii akienguliwa kuwania nafasi ya urais katika klabu ya Simba.

 

11 years ago

Daily News

'Why we reinstated Wambura'


Daily News
'Why we reinstated Wambura'
Daily News
THE Tanzania Football Federation (TFF) Election Appeal Committee chairman Julius Lugaziya has explained why they overruled the decision by Simba Electoral Committee to disqualify the club's presidential aspirant Michael Wambura. The TFF Election ...
Wambura Case Thorny for TFFAllAfrica.com

all 6

 

11 years ago

TheCitizen

Wambura disqualified again

>Michael Wambura has once again hit a stumbling block in his bid to return to football management as he has been disqualified from contesting in Simba Sports Club’s general election.

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yamtosa Wambura

Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF), chini ya Makamu Mwenyekiti, Wakili Mwita Waisaka imemuengua kwa mara nyingine kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi wa Simba, mgombea Michael Wambura baada ya kutupilia mbali rufaa yake jana.

 

11 years ago

TheCitizen

Wambura cleared for election?

Michael Wambura must be rubbing his hands with glee following reports that the Tanzania Football Federation (TFF) appeals committee has cleared him to contest the general election of Simba Sports Club.

 

11 years ago

Mwananchi

Filamu ya Wambura ‘Party Three’

Wakati Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ikikaa leo kujadili rufaa ya Michael Wambura, Kamati ya Uchaguzi ya Simba imeshangazwa na kitendo cha TFF kuruhusu kamati hiyo kukaa huku kamati ya maadili ya TFF ikishindwa kufanya hivyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rufaa ya Wambura Jumatatu

KAMATI ya Rufani ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inatarajia kukutana Jumatatu kusikiliza rufani ya aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura. Wambura...

 

11 years ago

Mwananchi

Wambura shaka tupu

Jinamizi la kuipeleka Simba mahakamani limeendelea kumtesa Michael Wambura kuwania urais ndani ya klabu hiyo, na sasa atakutana uso kwa uso na Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura kimeeleweka Simba

MGOMBEA aliyeenguliwa kuwania urais wa Klabu ya Simba katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Juni 29, Michael Wambura, amerejeshwa rasmi katika kinyang’anyiro hicho baada ya kushinda rufaa yake. Wambura, alienguliwa na Kamati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani