Rufaa ya Wambura Jumatatu
KAMATI ya Rufani ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), inatarajia kukutana Jumatatu kusikiliza rufani ya aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais wa Klabu ya Simba, Michael Wambura. Wambura...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Rufaa ya Wambura yavuta wanachama
KIKAO cha Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kilichokutana jana jijini Dar es Salaam kujadili rufaa ya Michael Wambura, kiliwavuta baadhi ya mashabiki na wanachama wa klabu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCkEe73mDaQl85MAQ0CcAee38-aGaNz8scvPwvWKuEu2hbZxXg4jJxG7rK9cBZcQDLb1ZHehG*JYqTRP8kp7pJ8X/wa.gif?width=650)
Wambura kama kawa, akata rufaa tena TFF
Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura.
Na Waandishi Wetu
MGOMBEA wa nafasi ya urais kwenye Klabu ya Simba, Michael Wambura, ameonyesha kuwa yeye ni kiboko yao baada ya kukata tena rufaa kwenye Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Wambura aliwasilisha rufaa yake kwenye Kamati ya Rufaa ya TFF, jana, akipiga kitendo cha kuondolewa na Kamati ya Uchaguzi ya Simba kwa madai kuwa alipiga kampeni kabla ya...
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko
Mahakama ya Rufani leo imeketi kusikiliza hoja za wakata rufaa (Jamhuri) na wakatiwa rufaa (utetezi) kwenye maombi ya rufaa namba 344Â yaliyopo Mahakama Kuu kuhusu kufutiwa dhamana kwa washtakiwa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (Mb) na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko.
Upande wa Jamhuri umeiomba Mahakama ya Rufaa kuamuru maombi hayo 344 yatupiliwe mbali na Mahakama Kuu kwa sababu
11 years ago
Daily News12 Jun
'Why we reinstated Wambura'
Daily News
Daily News
THE Tanzania Football Federation (TFF) Election Appeal Committee chairman Julius Lugaziya has explained why they overruled the decision by Simba Electoral Committee to disqualify the club's presidential aspirant Michael Wambura. The TFF Election ...
Wambura Case Thorny for TFFAllAfrica.com
all 6
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3dClu3zYZuuYlugMrDEgW-txqW4Wrsn1WdzGRh3Y*eAZZCKsEXmNdVYSdOcAJoxrDaHPOMGdrjWI45S2XZIFDAMmPI0xKbVP/wambura.jpg?width=650)
Wambura ni nouma!
Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge
HAKIKA Michael Richard Wambura ni noma, hiyo ni baada ya wajumbe wa Kamati ya Rufani ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuumiza vichwa kupata muafaka juu ya suala lale la kuenguliwa katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya urais katika Klabu ya Simba.
Mgombea huyo alienguliwa katika uchaguzi huo na Kamati...
11 years ago
TheCitizen29 May
Wambura disqualified again
>Michael Wambura has once again hit a stumbling block in his bid to return to football management as he has been disqualified from contesting in Simba Sports Club’s general election.
11 years ago
Mwananchi29 May
‘Wambura si Mwanasimba’
Dar es Salaam. Jinamizi la kuenguliwa katika kinyang’anyiro cha uongozi kwa Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT) sasa TFF, Michael Wambura limezidi kumwandama na safari hii akienguliwa kuwania nafasi ya urais katika klabu ya Simba.
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Filamu ya Wambura ‘Party Three’
Wakati Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ikikaa leo kujadili rufaa ya Michael Wambura, Kamati ya Uchaguzi ya Simba imeshangazwa na kitendo cha TFF kuruhusu kamati hiyo kukaa huku kamati ya maadili ya TFF ikishindwa kufanya hivyo.
11 years ago
Mwananchi23 May
Wambura, Kaburu kitanzini
>Michael Wambura na Geofrey Nyange ‘Kaburu’ pamoja na wagombea wa ujumbe wa kamati ya utendaji ya Simba wamewekewa pingamizi la kuwania uongozi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania