Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wana Arumeru Mashariki walivyomuenzi mwalimu Nyerere

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Joshua Nassari (kushoto) akiangalia wananchi wake wakiendelea na uchimbaji wa mtaro wa kupitisha Mabomba ya Maji ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha kumbukumbu ya Baba wa Taifa,Mwalimu Julius K. Nyerere kwa kuhakikisha Ahadi ya maji kwa wananchi wa Manyata na Nganana kata ya Usa River inatimia.
Mbunge Nassari aliingia kazini kuanzia asubuhi mpaka jioni. Mradi huu umetoa maji umbali wa kilomita 9 toka kwenye chanzo (Uraki). Wananchi wa Arumeru walikuwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MTIA NIA UBUNGE JIMBO LA MBARALI LIBERATUS MWANG'OMBE AWASILI MWALIMU NYERERE INTERNATIONA AIRPORT TAYARI KWA KUANZA SAFARI YAKE YA KUWATUMIKIA WANA MBARALI

Akiwa anatokea masomoni Marekani, mtia nia Liberatus Mwangombe kwenye jimbo la Mbarali kwa tiketi ya CHADEMA amewasili mchana huu kwenye kiwanja cha ndege cha Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam

Mwang'ombe anatarajia kuwa na mikutano na baadhi ya viongozi wa kitaifa Makao Makuu ya CHADEMA hapo kesho kabla ya kuelekea jimboni, Mbarali, siku mbili zijazo.

Akiongea na muwakilishi wa studio za SUN SHINE kutoka Chimala punde tu alipo shuka Airport ya Mwalimu Nyerere, Mwang'ombe amesema...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Arumeru Mashariki apandishwa kizimbani

IMG_4856

Mbunge wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA).

Na Mahmoud Ahmad, Arusha

MBUNGE wa jimbo la Arumeru mashariki Joshua Nasari ,(CHADEMA)anatarajiwa kufikishwa  mahakamani leo kutokana na kutumia silaha na kisha kumteka mtendaji wa kata ya Makiba, na kuchoma bendera za chama cha Mapinduzi katika maeneo mbalimbali  wilayani Meru.

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Arusha Liberatus Sabas, amesema tukio hilo limetokea Desemba 14 mwaka huu  wakati mbunge huyo alipokuwa akifuatilia...

 

10 years ago

GPL

MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI JIONI YA LEO

Muonekano wa Chopa hiyo baada ya kuanguka juu ya mti jioni ya leo katika Kijiji cha Leguruki, Wilayani Meru Jijini Arusha. Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari. MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari amepata ajali na Chopa baada ya kuanguka juu ya mti jioni ya leo katika Kijiji cha Leguruki, Wilayani Meru Jijini Arusha. Hakuna aliepoteza maisha katika ajali hiyo, na Mbunge Nassari pamoja na Rubani...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Sarakikya aainisha mambo sita kuikomboa Arumeru Mashariki

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Arumeru, Arusha, William Sarakikya (42), anayeomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea ubunge wa chama hicho Jimbo la Arumeru Mashariki, ameweka hadharani mambo sita ya msingi atakayoyasimamia na kuyatekeleza iwapo wananchi wa jimbo hilo watamchagua.

Sarakikya ni kati ya watia nia kupitia CCM waliojitokeza kuchukua fomu kuwania ubunge jimboni humo anyepewa nafasi kubwa ya kukabiliana na mgombea wa mungano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

CloudsFM

MBUNGE JOSHUA NASARI WA ARUMERU MASHARIKI KUFUNGA NDOA KESHO

MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Mh Joshua Nassari kesho anatarajia kufunga ndoa na Bi Anande Nko katika kanisa la Pentekoste, Kilinga lililoko wilaya ya Meru ambako Mh Nassari alianzia masuala ya Kiimani ikifuatiwa na Sherehe kubwa ya Harusi itakayo fanyika katika viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hotel ya Ngurdoto.Kwa Mujibu wa Mh Nassari ,sherehe hizo zitakazoanza majira ya saa saba mchana watu wote wamealikwa wakiwemo ndugu, marafiki, Jamaa na wananchi jimbo la Arumeru...

 

10 years ago

Michuzi

JOSHUA NASSARI ACHAGULIWA KUPEPERUSHA BENDERA YA CHADEMA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI

`Aliekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki mkoani Arusha,Joshua Nassari akizungumza namna alivyotekeleza ahadi zake katika kipindi kilichopita wakati wa mkutano Mkuu wa Jimbo uliofanyika kwenye Mji mdogo wa Usa River ambao  alichaguliwa bila kupingwa ili kupeperusha bendera ya Chadema katika uchaguzi utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Wanachama wa Chadema wakipiga kura za maoni kwaajili ya kumchagua mgombea ubunge jimbo la Arumeru Mashariki katika Mji Mdogo wa Usa River,Joshua Nassari alipata kura...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani