Wanafunzi watano wafariki dunia Mtwara
Wanafunzi watano wa Sekondari ya Mustapha Sabodo, Kijiji cha Msijute, Wilaya ya Mtwara Vijijini, wamekufa baada ya kugongwa na gari wakikimbia mchakamchaka eneo la shule.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM08 Jan
Watu Watano wafariki dunia wakipeleka mjamzito hospitali
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Ulrich Matei alisema kuwa watu hao walikuwa wakimpeleka mgonjwa hospitali.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Januari 5 mwaka huu majira ya saa 6:30 mchana huko eneo la Fukayosi Tarafa ya Msata wilaya ya Bagamoyo.
Alisema kuwa ajali hiyo ilihusisha gari namba T 252 DCB aina...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ihAeq2lwCdg/UuzPXTi1mPI/AAAAAAAFKGc/ouElErufAro/s72-c/unnamed+(61).jpg)
ASKARI POLISI WATANO MKOANI DODOMA WAFARIKI DUNIA PAPOHAPO KATIKA AJALI YA GARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ihAeq2lwCdg/UuzPXTi1mPI/AAAAAAAFKGc/ouElErufAro/s1600/unnamed+(61).jpg)
Askari polisi watano mkoani dodoma wafariki dunia papohapo katika ajali ya gari iliyotokea 31/01/2014 majira ya 23.45 hrs katika barabara kuu ya Dodoma – Morogoro eneo la Mtumba Center, Kata ya Mtumba Tarafa ya Kikombo Manispaa ya Dodoma, ambapo gari namba T.770 ABT Toyota Corolla lililokuwa likiendeshwa na Askari namba H. 3783 PC DEOGRATIUS wa Polisi Wilaya ya Kongwa likitokea Dodoma mjini likielekea Wilayani Kongwa liligongana uso kwa uso...
9 years ago
VijimamboWATANO WAFARIKI DUNIA KATIKA MATUKIO TOFAUTI MKOANI MBEYA WAMO RAIA WA ETHIOPIA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi.
Na Jamiimojablog. Watu watano wamefariki dunia Mkoani Mbeya katika matukio matatu tofauti likiwemo la ajali ya haice iliyosababisha vifo vya watu wanne mkoani hapa. Katika tukio la kwanza gari lenye namba za usajili T.519 AKH aina ya Toyota Haice ikiendeshwa na dereva asiyefahamika kugongana na pikipiki yenye namba za usajili T.535 AWC aina Ya T-Better eneo la Nanenane Jijini Mbeya. Ajali hiyo imetokea Septemba...
11 years ago
Mwananchi04 May
Wanafunzi wa Mzumbe wafariki dunia kwenye bwawa la samaki
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s72-c/MMG23716.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA:WANAFUNZI WATATU WA KIKE WAFARIKI DUNIA BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI CHA UDONGO WILAYA YA ILEJE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-EybTReX1BA4/VGW41FZ9A1I/AAAAAAADIJI/hDSNVO8ptyQ/s1600/MMG23716.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WMSsrQaX95s/VGW5CiUYoSI/AAAAAAADIJQ/I8dSTDwWyns/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
TUKIO HILO LIMETOKEA TAREHE 12.11.2014 MAJIRA YA SAA 12:00HRS...
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Watano wafariki ajali ya basi Handeni
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WAWILI WAFARIKI, WATANO WAJERUHIWA AJALINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
WATU wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya magari mawili likiwemo basi dogo la abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Athuman mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilihusisha gari aina ya Coaster likitokea kwenye msiba Musoma kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana na lori la mafuta.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Septemba 17 mwaka huu majira ya saa 12:15...
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Wanajeshi watano wa Nato wafariki Afghanistan
9 years ago
StarTV30 Nov
Wachimbaji wadogo watano wafariki Geita
Wachimbaji wadogo watano wamefariki dunia baada ya kufukiwa na vifusi katika maeneo ya Mgusu na Nyanza mkoani Geita.
Matukio hayo yametokea kwa nyakati tofauti ambapo wachimbaji kumi waliingia eneo la Nyanza majira ya saa tisa novemba 28 na wakiwa katika harakati za uchimbaji wakaangukiwa na kifusi huku usiku wa novemba 29 tukio hilo limetokea mgusu na kusababisha wachimbaji hao kufariki.
Maeneo ya Nyanza na Mgusu wanayoingia wachimbaji wadogo kwa ajili ya kujitafutia dhahabu yako chini ya...