Wanafunzi wawili kushiriki maonesho ya sayansi Ireland
WANAFUNZI wawili wa kidato cha sita wa Shule ya Sekondari ya Mzumbe, Morogoro, wamekwenda Dublin, Ireland kushiriki maonesho ya sayansi na teknolojia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWANAFUNZI BORA WA SAYANSI WAENDA DUBLIN IRELAND
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2qskgZkOg0I/VKvjVeeSrqI/AAAAAAAG7tM/Iu8Y4_sIqE4/s72-c/DSC_0542.jpg)
Wanafunzi Chimbukizi wa Sayansi wapata udhamini wa kusoma nchini Ireland
Wanafunzi Chimbukizi wa Sayansi wameitaka serikali kuwekeza katika masomo ya sayansi ili nchi kuweza kupata watalaam ambao watasaidia kutatua changamoto katika jamii.
Hayo waliyasema leo wanafunzi wa Sayansi Chimbukizi walioshinda mashindano ya utafiti kwa kutumia malighafi asili ya kutengeneza dawa ya kuua Nzi na Mbuu ambao wamepewa udhamini na Mfuko wa Karimjee Jivanjee (KJF)wa kwenda kusoma nchini Ireland.
Wanafunzi hao ni Dharia Amour Ali na Salma...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Karimjee yakabidhi Scholarship kwa washindi wa Sayansi 2015, wapaa kwenda Ireland
![](http://4.bp.blogspot.com/-t6InY7AqHsM/VopebNbDXbI/AAAAAAAALfg/RxLJe_FAYVQ/s640/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hs9sMHrbFGY/Vopez11VxSI/AAAAAAAALf0/h7DVcvUvRgA/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-X6rHZhIeJbY/VopebM05bEI/AAAAAAAALfc/5eF47_SAw9s/s640/13.jpg)
Wanafunzi John Method (kushoto) na Edwin Luguku (wa pili kulia) kutoka Shule ya Sekondari Mzumbe mkoani Morogoro wakipokea hati zao za ufadhili kutoka kwa Karimjee na Ofisa Ubalozi wa Ireland nchini, Bi. Carlo. Wanafunzi hao waliibuka washindi wa jumla katika maonesho ya Sayansi kwa Shule za Sekondari mwaka 2015 yanayoandaliwa na taasisi ya Young Scientists Tanzania (YST). (Picha zote na Daniel Mbega wa www.brotherdanny.com).
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zoo4z06g7sc/VopepiKXNsI/AAAAAAAALfs/dxI35dDlwts/s640/1.jpg)
Ofisa Ubalozi wa Ireland nchini, Bi. Carlo, akizungumza na...
11 years ago
Habarileo07 Mar
Kampuni 20 kushiriki maonesho ya kilimo
MAKAMPUNI 20 kutoka nje ya nchi yamethibitisha kushiriki maonesho ya kimataifa ya kilimo yatakayofanyika jijini Dar es Salaam. Maonesho hayo yameandaliwa na Kampuni ya Bizfora Investment.
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Wajasiriamali Tanzania kushiriki maonesho ya Juakali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17GLxqJ2lD0/Xkvll190n2I/AAAAAAALd60/Wg9ed2yEIcsywgdTIWaMQYMJ6DXLQFALgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-18%2Bat%2B16.03.33.jpeg)
9 years ago
Michuzi04 Sep