Wanakijiji wagoma kuhudhuria mikutano
WAKAZI wa Kijiji cha Izava, wilayani Chamwino, Dodoma, wamekataa kuhudhuria mikutano wa kijiji kwa mara ya nne mfululizo baada ya kuchoshwa na tabia ya kutosomewa mapato na matumizi ya fedha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Wanakijiji wagoma kupokea maji
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
RC Singida ahimiza wananchi kuhudhuria mikutano ya siasa
Mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao cha ushauri ya mkoa (RCC) kilichofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.K ulia ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan na wa kwanza kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Singida,M ary Chitanda na anayefuatia ni mwenyekiti CCM mkoa wa Singida,Mgana Msindai.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone, amewahimiza wananchi...
9 years ago
StarTV26 Sep
Hofu yasababisha Albino kushindwa kuhudhuria mikutano ya kampeni.
Watu wenye ulemavu wa ngozi Albino mkoani Mara wamesema licha ya kuwa na haki ya kuhudhuria mikutano ya kampeni kusikiliza sera za wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wamekuwa wakikosa fursa hiyo kutokana na kuhofia usalama wa maisha yao.
Wamesema licha ya Serikali na vyombo vingine kukemea vitendo wa kikatili wanavyofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi ikiwemo kutekwa na kuuawa kikatili na kisha kunyofolewa baadhi ya viungo lakini bado kuna baadhi ya watu wanaendeleza vitendo hivyo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qvExWd4vz5Q/VckOPeSODEI/AAAAAAAAcO4/Y15_wybsc-s/s72-c/IMG-20150810-WA0020.jpg)
WASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qvExWd4vz5Q/VckOPeSODEI/AAAAAAAAcO4/Y15_wybsc-s/s640/IMG-20150810-WA0020.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UdmRQchvpo8/VckOQ4MHqmI/AAAAAAAAcPM/qXNNJVdOGmM/s640/IMG-20150810-WA0026.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Wanakijiji waishi mapangoni (1)
11 years ago
Habarileo04 Jun
Simba atishia usalama wa wanakijiji
WAKAZI wa kijiji cha Pera, kata ya Pera, wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na simba kuonekana kijijini hapo akitishia maisha yao.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Ardhi yawatesa wanakijiji Sange
UMASKINI ni adui namba moja nchini. Rais wa Awamu ya Kwanza Julius Nyerere, alitangaza vita dhidi ya umaskini na kusema kuwa taifa linakabiliwa na maadui watatu ambao ni umaskini, ujinga...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Wanakijiji Gare waomba katapila
WANAKIJIJI wa Gare, Kata ya Magoroto wilayani Muheza, Tanga, wameiomba serikali kuwapelekea katapila ili wamalizie ujenzi wa barabara kuu itokayo Amani kuelekea Muheza. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...