Wanakijiji Gare waomba katapila
WANAKIJIJI wa Gare, Kata ya Magoroto wilayani Muheza, Tanga, wameiomba serikali kuwapelekea katapila ili wamalizie ujenzi wa barabara kuu itokayo Amani kuelekea Muheza. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qvExWd4vz5Q/VckOPeSODEI/AAAAAAAAcO4/Y15_wybsc-s/s72-c/IMG-20150810-WA0020.jpg)
WASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-qvExWd4vz5Q/VckOPeSODEI/AAAAAAAAcO4/Y15_wybsc-s/s640/IMG-20150810-WA0020.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UdmRQchvpo8/VckOQ4MHqmI/AAAAAAAAcPM/qXNNJVdOGmM/s640/IMG-20150810-WA0026.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-r4skCP3Hu1w/VRAv3wwTnJI/AAAAAAAHMfk/igAjEBrcVlo/s72-c/unnamed.jpg)
Rogert Hegga 'Katapila' ajiunga na Mashujaa Band 'Wana Kibega'
![](http://2.bp.blogspot.com/-r4skCP3Hu1w/VRAv3wwTnJI/AAAAAAAHMfk/igAjEBrcVlo/s1600/unnamed.jpg)
Mkurugenzi wa bendi ya Mashujaa, Maximilian Luhanga, alisema kuwa Hegga amejiunga rasmi na bendi hiyo na watamtambulisha katika onyesho maalumu litakalofanyika Aprili 5.
Luhanga alisema kwamba kujiunga kwa msanii huyo ni moja ya mikakati ya kuiimarisha Mashujaa ili iweze kuwa bendi bora hapa...
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Wanakijiji waishi mapangoni (1)
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Ardhi yawatesa wanakijiji Sange
UMASKINI ni adui namba moja nchini. Rais wa Awamu ya Kwanza Julius Nyerere, alitangaza vita dhidi ya umaskini na kusema kuwa taifa linakabiliwa na maadui watatu ambao ni umaskini, ujinga...
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Wanakijiji wafunga Barabara ya Kia
10 years ago
Habarileo17 Jan
Watuhumiwa 3 wa mauaji wamalizwa na wanakijiji
WAKAZI wa kijiji cha Burunde kata ya Karitu wilayani Nzega mkoani Tabora, wamewapiga, kuwaua na kuwachoma moto watu watatu kwa tuhuma za kushiriki kumuua Helena Abel na kumjeruhi mume wake, Said Msoma.
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Serikali imetelekeza wanakijiji Bulembo?
ZIMEPITA siku 16 tangu Kijiji cha Bulembo, Kata ya Ibuga, Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera kilipopigwa na kimbunga kikali. Serikali imeshindwa kutoa msaada unaotosha kunusuru uhai wa...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Wanakijiji Mvomero wamtetea Sumaye
BAADHI ya wakazi wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wamewajia juu wenzao wanaoendelea kusakama shamba la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye lililopo Kijiji cha Mvomero kwa hoja walizoziita ni za...
11 years ago
Habarileo04 Jun
Simba atishia usalama wa wanakijiji
WAKAZI wa kijiji cha Pera, kata ya Pera, wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na simba kuonekana kijijini hapo akitishia maisha yao.