Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanakijiji Gare waomba katapila

WANAKIJIJI wa Gare, Kata ya Magoroto wilayani Muheza, Tanga, wameiomba serikali kuwapelekea katapila ili wamalizie ujenzi wa barabara kuu itokayo Amani kuelekea Muheza. Akizungumza kwa njia ya simu na Tanzania...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.

 Baada ya washiriki wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula  Shindano linalo endeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow na kudhaminiwa na Gates and Melinda Foundation,TBS, Cooperative Bank Great Britain na Care Tanzania, baada ya  kuwasili wote sasa wanapangwa makundi makundi kwa ajili ya kuanza mchakato wa siku Hapa katika kundi la kwanza washiriki wa Shindano la  Mama Shujaa wa Chakula , Shindano linaloendeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow hapa wakiwahamasisha wanakijiji cha...

 

10 years ago

Michuzi

Rogert Hegga 'Katapila' ajiunga na Mashujaa Band 'Wana Kibega'

BENDI ya muziki wa dansi hapa nchini,Mashujaa Band 'Wana Kibega' leo imemtangaza Aliyekuwa mwanamuziki na mtunzi wa bendi ya Ruvu Stars, Rogert Hegga 'Katapila' kujiunga rasmi katika bendi hiyo.
Mkurugenzi wa bendi ya Mashujaa, Maximilian Luhanga, alisema kuwa Hegga amejiunga rasmi na bendi hiyo na watamtambulisha katika onyesho maalumu litakalofanyika Aprili 5.
Luhanga alisema kwamba kujiunga kwa msanii huyo ni moja ya mikakati ya kuiimarisha Mashujaa ili iweze kuwa bendi bora hapa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanakijiji waishi mapangoni (1)

Utajiuliza mara mbili mbili pale utakaposikia ama kuona binadamu wa karne ya 21 tena katika ardhi ya Tanzania, wananchi wake kuishi maisha kama ya wakimbizi au kulala usingizi wenye mashaka, tena chini ya mapango ya majabari ya mawe kama wanyama wasio na makazi maalum.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ardhi yawatesa wanakijiji Sange

UMASKINI ni adui namba moja nchini. Rais wa Awamu ya Kwanza Julius Nyerere, alitangaza vita dhidi ya umaskini na kusema kuwa taifa linakabiliwa na maadui watatu ambao ni umaskini, ujinga...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanakijiji wafunga Barabara ya Kia

Wakazi wa vijiji vinne vinavyopakana na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (Kia), jana mchana walifunga kwa muda barabara ya kutoka nje ya uwanja huo na kuzuia hali ya sintofahamu kwa wageni.

 

10 years ago

Habarileo

Watuhumiwa 3 wa mauaji wamalizwa na wanakijiji

WAKAZI wa kijiji cha Burunde kata ya Karitu wilayani Nzega mkoani Tabora, wamewapiga, kuwaua na kuwachoma moto watu watatu kwa tuhuma za kushiriki kumuua Helena Abel na kumjeruhi mume wake, Said Msoma.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali imetelekeza wanakijiji Bulembo?

ZIMEPITA siku 16 tangu Kijiji cha Bulembo, Kata ya Ibuga, Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba, mkoani Kagera kilipopigwa na kimbunga kikali. Serikali imeshindwa kutoa msaada unaotosha kunusuru uhai wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanakijiji Mvomero wamtetea Sumaye

BAADHI ya wakazi wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wamewajia juu wenzao wanaoendelea kusakama shamba la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye  lililopo Kijiji cha Mvomero kwa hoja walizoziita ni za...

 

11 years ago

Habarileo

Simba atishia usalama wa wanakijiji

WAKAZI wa kijiji cha Pera, kata ya Pera, wilaya ya Bagamoyo, mkoani Pwani, wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na simba kuonekana kijijini hapo akitishia maisha yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani