Wanamichezo wajitosa siasa
Wasanii na wanamichezo mbalimbali nchini wamejitokeza kuomba fursa ya kugombea ubunge, udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Wanawake wajitosa Simba
WAKATI uchukuaji na urejeshaji fomu za uchaguzi mkuu wa Klabu ya Simba ukitarajiwa kufungwa kesho, wanawake wawili jana wamejitosa kuwania nafasi ya ujumbe. Uchaguzi wa Simba unatarajia kufanyika jijini Dar...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
284 wajitosa uchaguzi CHADEMA
WAGOMBEA watatu wamejitokeza kuchuana na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, Septemba...
9 years ago
Habarileo09 Sep
Wanne wajitosa uchaguzi wa Mufti
KAIMU Mufti wa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Shekhe Abubakar Zuberi Ally ni miongoni wa mashehe wanne waliojitokeza kuwania kuchaguliwa kwenye nafasi ya Mufti kwenye uchaguzi utakaofanyika kesho jijini hapa.
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Rose, Jesca wajitosa BAVICHA
UCHAGUZI mkuu ngazi ya taifa ndani ya Chama cha Demokrasia (CHADEMA) unazidi kupamba moto, ambapo wanawake wanajitokeza kwa wingi kuchuana na wanaume katika nafasi za juu. Juzi Rose Mayemba kutoka...
9 years ago
Habarileo07 Jan
Waandishi wajitosa ukatibu CCM
WAANDISHI wa habari wawili Mkoani Arusha wamejitokeza kuwania nafasi ya ukatibu wenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Januari 28 mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kuziba nafasi zilizo wazi kutokana na sababu mbalimbali.
10 years ago
BBCSwahili05 Nov
Vijana wajitosa kuuza Mbao Tanzania
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Wadau wajitosa kuchangia elimu Dar
11 years ago
Mwananchi01 Jun
TMF wajitosa mapambano ya dawa za kulevya
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Wasira, Mwigulu nao wajitosa urais CCM
HEKAHEKA za kuwania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais zinazidi kupamba moto baada ya makada wengine wawili, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kutangaza kujitosa katika mbio hizo jana.
Wakati Wasira akitangaza kuhakikisha analeta mageuzi mpya kwa taifa, Mwigulu ameahidi Watanzania kuumiliki uchumi.
Wasira ambaye ni Mbunge wa Bunda, amekuwa ni kada wa pili huku Mwigulu akiwa wa tatu kutangaza nia ya kuwania...