Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanamichezo wajitosa siasa

Wasanii na wanamichezo mbalimbali nchini wamejitokeza kuomba fursa ya kugombea ubunge, udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanawake wajitosa Simba

WAKATI uchukuaji na urejeshaji fomu za uchaguzi mkuu wa Klabu ya Simba ukitarajiwa kufungwa kesho, wanawake wawili jana wamejitosa kuwania nafasi ya ujumbe. Uchaguzi wa Simba unatarajia kufanyika jijini Dar...

 

10 years ago

Tanzania Daima

284 wajitosa uchaguzi CHADEMA

WAGOMBEA watatu wamejitokeza kuchuana na Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, Septemba...

 

9 years ago

Habarileo

Wanne wajitosa uchaguzi wa Mufti

KAIMU Mufti wa Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata), Shekhe Abubakar Zuberi Ally ni miongoni wa mashehe wanne waliojitokeza kuwania kuchaguliwa kwenye nafasi ya Mufti kwenye uchaguzi utakaofanyika kesho jijini hapa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Rose, Jesca wajitosa BAVICHA

UCHAGUZI mkuu ngazi ya taifa ndani ya Chama cha Demokrasia (CHADEMA) unazidi kupamba moto, ambapo wanawake wanajitokeza kwa wingi kuchuana na wanaume katika nafasi za juu. Juzi Rose Mayemba kutoka...

 

9 years ago

Habarileo

Waandishi wajitosa ukatibu CCM

WAANDISHI wa habari wawili Mkoani Arusha wamejitokeza kuwania nafasi ya ukatibu wenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Januari 28 mwaka huu ikiwa ni sehemu ya kuziba nafasi zilizo wazi kutokana na sababu mbalimbali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Vijana wajitosa kuuza Mbao Tanzania

Nguvu kazi inayotumika katika kukata miti na kupasua mbao wilayani mufindi mkoani Iringa nyanda za juu kusini inatoka kwa vijana.

 

10 years ago

Mwananchi

Wadau wajitosa kuchangia elimu Dar

Jumla ya Sh130 milioni zimechangwa na kampuni na wadau wa sekta ya elimu ili kununua vitabu vya shule kwa wanafunzi wa shule za sekondari na msingi jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

TMF wajitosa mapambano ya dawa za kulevya

Mfuko wa Habari Tanzania (TMF) umeanzisha programu ya uandishi wa habari za uchunguzi kuhusu mapambano ya dawa za kulevya nchini.

 

10 years ago

Mtanzania

Wasira, Mwigulu nao wajitosa urais CCM

MWIGULUWASIRA muda huuHEKAHEKA za kuwania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais zinazidi kupamba moto baada ya makada wengine wawili, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kutangaza kujitosa katika mbio hizo jana.
Wakati Wasira akitangaza kuhakikisha analeta mageuzi mpya kwa taifa, Mwigulu ameahidi Watanzania kuumiliki uchumi.
Wasira ambaye ni Mbunge wa Bunda, amekuwa ni kada wa pili huku Mwigulu akiwa wa tatu kutangaza nia ya kuwania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani