Vijana wajitosa kuuza Mbao Tanzania
Nguvu kazi inayotumika katika kukata miti na kupasua mbao wilayani mufindi mkoani Iringa nyanda za juu kusini inatoka kwa vijana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ni9lY88vvX0/VTOYvV075JI/AAAAAAAHR-E/WX2Q45iHWFc/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Waingereza wajitosa kusaidia vijana wasio na ajira
Serikali ya Uingereza imebuni mbinu ya kuwasaidia vijana wa Tanzania katika kukabiliana na vikwazo katika soko la ajira kwa kuwapa maarifa na mikakati ya kujiajiri na kujinadi kwa waajiri .
Vikwazo vinavyowakabili vijana katika soko la ajira ni pamoja na kutokuwa na maarifa ya kupata kazi na tabia ambazo zitawawezesha kuwa karibu na wafanyakazi wenzao,kutoa maamuzi magumu , kutatua matatizo kuweka heshima na mwisho kuwa wawakilishi bora wa taasisi wanayotumikia .
Kwa kutambua...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Inh6LGfP_tc/U_xgMZCvGfI/AAAAAAAGChQ/Og4C_UhHFsM/s72-c/unnamed%2B(90).jpg)
MAMEYA NA WAKURUGENZI WA TANZANIA WATEMBELEA NYUMBA ZILIZOJENGWA KWA MBAO FINLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-Inh6LGfP_tc/U_xgMZCvGfI/AAAAAAAGChQ/Og4C_UhHFsM/s1600/unnamed%2B(90).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5S4P_nRpCnU/U_xgH0oxPrI/AAAAAAAGChE/HXQkRTRyWLI/s1600/unnamed%2B(91).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n4cosWcQQ_U/Xmff4j0n7tI/AAAAAAALigs/PeTOEbhb5ZwuREpm3o15YHjSxDNl9BnIwCLcBGAsYHQ/s72-c/46ca3ea6-2a14-44ce-b3d6-4ad06d958584.jpg)
VIJANA LIMENI NA KUUZA POPOTE, SERIKALI HAITOWAINGILIA-BASHE
![](https://1.bp.blogspot.com/-n4cosWcQQ_U/Xmff4j0n7tI/AAAAAAALigs/PeTOEbhb5ZwuREpm3o15YHjSxDNl9BnIwCLcBGAsYHQ/s640/46ca3ea6-2a14-44ce-b3d6-4ad06d958584.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe akizungumza wakati wa ufunguzi wa kongamano la vijana katika kilimo linaloshirikisha vijana kutoka mikoa ya Geita,Shinyanga na Kagera katika ukumbi wa Mshikamano SACCOS,Chato.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/96d779a4-bc7b-44d2-b73b-08d7a2e4c86c.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3e3c86f8-dc75-4640-a116-3e32537e0774.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Tanzania na Kenya watiliana saini makubaliano ya kupiga vita biashara haramu ya mbao na mazao ya misitu
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini Tanzania, Bi. Gladness Mkamba akifafanua jambo baada ya kutia saini makubaliano kati ya Tanzania na Kenya kupiga vita biashara haramu ya mbao pamoja na mazao ya misitu inayofanyika kupitia mipaka ya nchi hizo katika mkutano uliofanyika jijini Arusha na Kuandaliwa na Shirika la kimataifa la kulinda wanyama na viumbe hai World Wildlife Foundation (WWF) ambao ni waandaaji na washirika wa makubaliano hayo pamoja na shirika la TRAFFIC....
10 years ago
Vijimambo20 Jan
HABARI YA KUSIKITISHA NA KUTISHA KUHUSU VIJANA WETU WANAOKWENDA CHINA NA HONGKONG KUUZA MADAWA YA KULEVYA SOMA HABARI KAMILI LIVE!
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2593248/highRes/924352/-/maxw/600/-/idoqeo/-/nzowa.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper17 Jul
Tanzania kuuza mahindi Kenya
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
SERIKALI imeruhusu wafanyabishara nchini kuuza mahindi zaidi ya tani 200,000 nchini Kenya., ili kukabiliana na upungufu wa chakula uliopo nchini humo kwa sasa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Sophia Kaduma, aliyasema hayo mjini hapa jana, wakati akitia saini makubaliano hayo na Katibu Mkuu wa Kilimo wa Kenya, Sicly Kariuki.
Alisema uamuzi huo unatokana na ombi la Serikali ya Kenya, kuuziwa mahindi meupe kutokana na upungufu mkubwa wa chakula...
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Wapigakura wa Tanzania na biashara ya kuuza kura
10 years ago
Raia Tanzania10 Jul
Aibu Tanzania kuuza malighafi nje
MATAIFA mengi Afrika yanapambana kupiga hatua kufikia uchumi mkubwa na kuachana na utegemezi kutoka kwa mataifa yaliyoendelea huku Tanzania ikiendelea na dhana kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa uchumi wetu.
Katikati ya wiki, mchumi wa kimataifa aliyepata kufanya kazi Benki ya Dunia, Profesa Justin Yifu Li kutoka China, alisema jijini Dar es Salaam kwamba umasikini si majaaliwa Afrika, bali ni janga linalohitaji kuondolewa haraka kwa kuwekeza kwenye viwanda.
Alisema si lazima mataifa...
5 years ago
MichuziTanzania Kuuza Makontena 200 ya Maharage nchini Ubelgiji Inbox x