Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi ndio wenye uhalali wa katiba mpya

KWA muda mrefu baadhi yetu tulikuwa tukipaza sauti zetu kulilia katiba mpya ambayo tunaamini itasaidia kukabiliana na baadhi ya changamoto zinazoonekana hivi sasa, hasa kutokana na tuliyonayo imedumu kwa kipindi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Huu ndio mjengo mpya watakaohamia Jay Z na Beyonce wenye thamani ya $40m uliopo Los Angeles

Jay Z na Beyonce wamepata mjengo mpya wa kifahari jijini Los Angeles watakaopanga baada ya ule wa mwanzo kuuzwa. Mtandao wa TMZ umedai kuwa nyumba hiyo ina thamani ya dola milioni 45 na ipo kwenye maeneo ya Holmby Hills jijini humo. Watakuwa wakilipa dola 150,000 kwa mwezi na watalipia kodi ya mwaka mzima. Hizi ni […]

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIKAWE AWASHAWISHI WANANCHI NACHINGWEA KUIPIGIA KURA YA NDIO KATIBA ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe (Kushoto), akimsalimia Katibu wa CCM tawi la Kijiji cha Mkurupita, Kata ya Ndomoni, Nora Lwambano wakati alipokuwa akiwasili katika Ukumbi wa Mikutano wa kata hiyo kwa ajili ya kuzungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata hiyo, Wajumbe wa Mabaraza ya Jumuiya zote za CCM Kata, Viongozi wa Dini na Wajumbe wa Baraza la Wazee katika Kata hiyo. Waziri Chikawe alitoa msaada wa madaftari na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenye ulemavu bado wanahitaji mabadiliko rasimu ya Katiba mpya

HIVI karibuni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, aliwakabidhi rasimu ya pili ya Katiba mpya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanasheria wahoji uhalali wa Bunge la Katiba bila Ukawa

Zikiwa zimebaki wiki mbili kuanza vikao vyake, baadhi ya wanasheria wamehoji uhalali wa Bunge hilo kujadili na kupitisha Rasimu ya Katiba bila ya kuwapo kwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

10 years ago

Mtanzania

Wananchi watengwa Katiba Mpya

Bunge

Bunge

Na Mwandishi Wetu, Dodoma

NI siku ya 14 sasa tangu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walipokutana kwa awamu ya pili Agosti mwaka huu, ambapo pamoja na mambo mengine walijadili mabadiliko ya kanuni za Bunge hilo kabla ya kuanza kupitia sura 15 za Rasimu ya Katiba.

Hadi sasa baadhi ya kamati zimeshamaliza kazi ya kupitia sura zote hizo ambazo zinakamilisha sura 17 za rasimu hiyo, ikiwa ni baada ya sura ya kwanza na ile ya sita kujadiliwa kwenye awamu ya kwanza ya Bunge hilo.

Wakati...

 

10 years ago

Habarileo

'Wananchi isomeni Katiba mpya'

MWENYEKITI Taifa wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) aliyemaliza muda wake, John Heche amewahimiza wananchi kusoma Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba hivi karibuni kabla ya kupiga kura ili wafahamu kilichomo ndani ya Katiba hiyo kuliko kufuata mkumbo na ushabiki wa vyama vya siasa.

 

10 years ago

Habarileo

Cheyo: Wananchi msidanganywe Katiba Mpya

John CheyoMJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo amewataka Watanzania kutodanganywa kuhusu mchakato mzima wa kusaka Katiba Mpya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya tusingoje wananchi wachome Bunge

MWEZI Oktoba unaingia kwenye historia kama mwezi uliofufua matumaini ya kupata haki kwa nchi za kiafrika kusini mwa Jangwa Sahara. Mapinduzi ya umma yaliyomlazimisha imla wa zamani wa Burkina Faso,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanasiasa wasipore haki ya wananchi katiba mpya

INAFAHAMIKA na kukubalika popote duniani kuwa katiba ni waraka wa kisiasa. Nadhani wanasiasa tangu awali walifanya njama na hila iwe hivyo kama njia ya kujiwekea ulinzi na kujipatia nafasi kubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani