Wananchi ndio wenye uhalali wa katiba mpya
KWA muda mrefu baadhi yetu tulikuwa tukipaza sauti zetu kulilia katiba mpya ambayo tunaamini itasaidia kukabiliana na baadhi ya changamoto zinazoonekana hivi sasa, hasa kutokana na tuliyonayo imedumu kwa kipindi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Picha: Huu ndio mjengo mpya watakaohamia Jay Z na Beyonce wenye thamani ya $40m uliopo Los Angeles
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uokE5xNBpI4/VEN53ia7UcI/AAAAAAAGr34/QEoVBPhaygs/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAZIRI CHIKAWE AWASHAWISHI WANANCHI NACHINGWEA KUIPIGIA KURA YA NDIO KATIBA ILIYOPENDEKEZWA NA BUNGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-uokE5xNBpI4/VEN53ia7UcI/AAAAAAAGr34/QEoVBPhaygs/s1600/PIX%2B1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wenye ulemavu bado wanahitaji mabadiliko rasimu ya Katiba mpya
HIVI karibuni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, aliwakabidhi rasimu ya pili ya Katiba mpya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Wanasheria wahoji uhalali wa Bunge la Katiba bila Ukawa
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Wananchi watengwa Katiba Mpya
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
NI siku ya 14 sasa tangu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walipokutana kwa awamu ya pili Agosti mwaka huu, ambapo pamoja na mambo mengine walijadili mabadiliko ya kanuni za Bunge hilo kabla ya kuanza kupitia sura 15 za Rasimu ya Katiba.
Hadi sasa baadhi ya kamati zimeshamaliza kazi ya kupitia sura zote hizo ambazo zinakamilisha sura 17 za rasimu hiyo, ikiwa ni baada ya sura ya kwanza na ile ya sita kujadiliwa kwenye awamu ya kwanza ya Bunge hilo.
Wakati...
10 years ago
Habarileo20 Oct
'Wananchi isomeni Katiba mpya'
MWENYEKITI Taifa wa Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) aliyemaliza muda wake, John Heche amewahimiza wananchi kusoma Katiba inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba hivi karibuni kabla ya kupiga kura ili wafahamu kilichomo ndani ya Katiba hiyo kuliko kufuata mkumbo na ushabiki wa vyama vya siasa.
10 years ago
Habarileo13 Sep
Cheyo: Wananchi msidanganywe Katiba Mpya
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo amewataka Watanzania kutodanganywa kuhusu mchakato mzima wa kusaka Katiba Mpya.
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Katiba mpya tusingoje wananchi wachome Bunge
MWEZI Oktoba unaingia kwenye historia kama mwezi uliofufua matumaini ya kupata haki kwa nchi za kiafrika kusini mwa Jangwa Sahara. Mapinduzi ya umma yaliyomlazimisha imla wa zamani wa Burkina Faso,...
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Wanasiasa wasipore haki ya wananchi katiba mpya
INAFAHAMIKA na kukubalika popote duniani kuwa katiba ni waraka wa kisiasa. Nadhani wanasiasa tangu awali walifanya njama na hila iwe hivyo kama njia ya kujiwekea ulinzi na kujipatia nafasi kubwa...