Wananchi tukatae bidhaa zisizothibitishwa na TBS
MJASIRIAMALI yeyote ana malengo aliyojipangia, ili kukamilisha ndoto zake katika maisha. Ili kuyafikia hayo yampasa kuzingaitia mambo ambayo hayatakuwa ni kikwazo kuyafikia malengo yake. Moja ya vitu vya kuangalia katika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Oct
TBS yataka uzalishaji wa bidhaa zinazokidhi viwango
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
TBS kutokomeza bidhaa bandia kwa wajasiriamali
UZALISHAJI wa bidhaa zilizo chini ya kiwango nchini umekuwa ni tatizo sugu linaloathiri afya za Watanzania na uchumi kwa ujumla. Mazingira duni ya maeneo ya uzalishaji yasiyozingatia masuala ya kitaalamu...
11 years ago
Habarileo15 Jun
‘Zalisheni bidhaa zenye ubora unaotambuliwa TBS’
WAJASIRIAMALI wameaswa kuzalisha bidhaa zenye ubora badala ya kutengeneza na kuziuza kwa wananchi wakati bado hazijapimwa na Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Aidha wajasiriamali 258 wamefikiwa na TBS na kupimiwa ubora wa bidhaa zao nchi nzima.
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
TBS yawapa mbinu viziwi kuzalisha bidhaa bora
BIASHARA ni mzunguko na ili ufanikiwe lazima uwe na elimu ya kutosha juu ya biashara yako. Elimu ndiyo nguzo pekee itakayowafanya wafanyabiashara wadogo nchini kujulikana kwa kutengeneza na kuuza bidhaa...
9 years ago
StarTV20 Nov
TBS yawataka wazalishaji kuthibitishiwa ubora wa bidhaa na shirika hilo
Shirika la Viwango Tanzania limewataka wazalishaji wote wa bidhaa ambazo ziko katika viwango vya lazima kuhakikisha wanathibitisha ubora wa bidhaa zao kwa shirika hilo.
Kauli hiyo imekuja baada ya TBS kubaini viwanda vya Kampuni ya Red East Building materials limited cha Tabata Bima na kile cha Snow Leopard cha Tabata Segerea kuzalisha mabati ambayo hayajathibitishwa ubora .
Kabla ya kuvifungia viwanda hivyo, Afisa masoko wa TBS, Gladnes Kaseka alisema viwanda vyote ambavyo...
10 years ago
Michuzi03 Jun
TBS NA TFDA WATAKIWA KUDHIBITI BIDHAA ZISIZO NA UBORA ILI KULINDA UCHUMI

Mamlaka ya Chakula na dawa(TFDA) na Shirika la Viwango nchini(TBS), wameshauriwa kuwadhibiti zaidi wafanyabiashara wasio waaminini ambao wanaingia nchini bidhaa sizizo na ubora kwani wanaporomosha uchumi.
Meneja masoko wa kampuni ya Wrigleys (EA) Company Ltd, Emanuel Laswai, alitoa kauli hiyo juzi, katika uzinduzi wa bidhaa mpya za kampuni hiyo ya Doublemint nchini Tanzania.
Laswai alisema, uingizwaji wa bidhaa feki na zisizo na ubora zina athari za...
10 years ago
VijimamboKAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YAPOKEA CHETI CHA UBORA WA BIDHAA ZAKE KUTOKA TBS
5 years ago
Michuzi
Kitengo cha uhandisi Mitambo (TBS) kuhakikisha bidhaa zinazozalishwa ndani na nje ya nchi zinakidhi kiwango husika

