WANANCHI WA GAIRO WAMFAGILIA DKT. MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-sIZHY1Mn7AQ/U_2jJVd2tgI/AAAAAAAGCnY/bG7IGRlhas8/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
Rais Kikwete, Waiziri wa Ujenzi Dkt.Magufuli, Naibu Waziri wa Maji Amos Makalla, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Musa Iyombe, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Joel Bendera, M/Kiti Kamati ya Miundombinu Profesa Kapuya, M/kiti Bodi Mfuko wa Barabara Dr.Wanyancha, M/kiti Bodi ya Makandarasi Consolata Ngimbwa, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mhandisi Mfugale na Wakandarasi wa mradi wa Magole - Turiani.
Nyumba za Makandarasi zitakazokabidhiwa kwa wananchi wa Wilaya ya Mvomero...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nizoWeGM5j4/XsU4u7mgixI/AAAAAAALq_w/0l8kwasoo2MKKcnHyFnQosLKKGTXTvbVgCLcBGAsYHQ/s72-c/9.jpg)
DKT. MAGUFULI AWASALIMIA WANANCHI WA NZEGA TABORA PAMOJA NA WANANCHI WA SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nizoWeGM5j4/XsU4u7mgixI/AAAAAAALq_w/0l8kwasoo2MKKcnHyFnQosLKKGTXTvbVgCLcBGAsYHQ/s640/9.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mtoto aliyejulikana kwa jina moja la Rahma mara baada ya kuwasalimia Wananchi katika eneo la Mataa mkoani Singida.
![](https://1.bp.blogspot.com/-4BsQmB6UDrE/XsU4uixeJmI/AAAAAAALq_s/qrT9yi_YgMkFjMXpPeZdxa0H10Q-eidowCLcBGAsYHQ/s640/8.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-AMdnGau1HU0/XsU4rm1A_0I/AAAAAAALq_k/8eX19cqr3U4OyMLvUMioNBEepXKh9oI7ACLcBGAsYHQ/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-U48dj9vQQGc/ViqibhnaOaI/AAAAAAAICSY/RCdSh-h_2qQ/s72-c/_MG_9232.jpg)
DKT JAKAYA KIKWETE AONGOZA MALFU YA WANANCHI KUFUNGA KAMPENI ZA DKT MAGUFULI JIJI LA DAR VIWANJA VYA JANGWANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-U48dj9vQQGc/ViqibhnaOaI/AAAAAAAICSY/RCdSh-h_2qQ/s1600/_MG_9232.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kaYGKK0NzDQ/Viqjf5SrdVI/AAAAAAAICTg/_9cLBOMpUYU/s1600/_MG_9295.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uuaxplwwN9k/ViqjyteZVXI/AAAAAAAICT4/wylYF3Pk9Vk/s1600/_MG_9304.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper02 Sep
Wananchi Kilombero wamfagilia JK
Na Igamba Libonge, Kilombero
RAIS Jakaya Kikwete ameelezwa kuwa ni kiongozi aliyejitosa kikamilifu kuwakomboa Watanzania kiuchumi na kuwafanya hivi sasa watembee kifua mbele.
Kauli hiyo imetolewa na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kutoka wilaya ya Kilombero, Kanali Mstaafu, Haruni Kondo wakati wa sherehe maalumu ya kumpongeza Rais Kikwete kwa kufanya ziara wilayani Kilombero.
Ziara hiyo imeleta matumaini makubwa kwa wakazi wa Kilombero, hasa utimizaji wa ahadi za Rais Kikwete...
9 years ago
Habarileo21 Dec
Wasanii wamfagilia Magufuli
WASANII wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Fleva’ wamepongeza jitihada za Rais John Magufuli katika kuondoa uozo kwenye sekta mbalimbali na kuonesha imani kuwa hata katika sekta ya sanaa atawaondolea changamoto mbalimbali na kuwaletea mabadiliko.
9 years ago
Habarileo23 Dec
Madiwani Namtumbo wamfagilia Magufuli
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma limempongeza Rais John Magufuli, kutokana na hatua anazochukua zinazolenga kubana na kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za serikali na kuwachukulia hatua watumishi wanaokiuka maadili ya utumishi wa umma. Aidha, wamemshukuru Rais Magufuli kwa uamuzi wake wa kuteua wabunge wanne kuunda Baraza jipya la Mawaziri kutoka mkoa wa Ruvuma.
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/g6FLD1i0C6s/default.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKIZUNGUMZA NA WANANCHI MBALIMBALI
9 years ago
MichuziTAFFA WAMFAGILIA MAGUFULI, WATAKA BANDARI KAVU ZIFUTWE
Mwandishi...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Wananchi Gairo wachoma ofisi ya kata
WANANCHI wa Kata ya Chakwale Wilaya ya Gairo mkoani hapa, wamechoma moto na kuteketea kabisa, Ofisi ya Ofisa Mtendaji wakimtuhumu kuhusika na ubadhirifu wa fedha, kuwanyanyasa na kuwaweka ndani pindi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-BK-ZIERJZxw/UFvu6DFc5FI/AAAAAAAAQDk/V2s2hSzG4_o/s72-c/DSC_0601.jpg)
DKT. MAGUFULI: WANANCHI WA MWANGA-KIKWENI-LOMWE KUTOBOMOLEWA NYUMBA ZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-BK-ZIERJZxw/UFvu6DFc5FI/AAAAAAAAQDk/V2s2hSzG4_o/s640/DSC_0601.jpg)
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli ametangaza kutobomoa nyumba zilizopo kando kando ya barabara ya Mwanga-Kikweni/Vuchama-hadi Lomwe km 40.6 na kusema kuwa barabara hiyo itajengwa kwa kiwango cha lami kwa kutumia upana wake uliopo sasa hivi.
Dkt. Magufuli alitoa kauli hiyo ya faraja kwa wakazi wa Kikweni Wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro kabla ya kuweka jiwe la msingi katika barabara ya Mwanga-Kikweni/Vuchama-Usangi hadi Lomwe(km 40) itakayojengwa kwa kiwango cha lami hivi...