Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madiwani Namtumbo wamfagilia Magufuli

BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma limempongeza Rais John Magufuli, kutokana na hatua anazochukua zinazolenga kubana na kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za serikali na kuwachukulia hatua watumishi wanaokiuka maadili ya utumishi wa umma. Aidha, wamemshukuru Rais Magufuli kwa uamuzi wake wa kuteua wabunge wanne kuunda Baraza jipya la Mawaziri kutoka mkoa wa Ruvuma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wasanii wamfagilia Magufuli

WASANII wa muziki wa kizazi kipya ‘Bongo Fleva’ wamepongeza jitihada za Rais John Magufuli katika kuondoa uozo kwenye sekta mbalimbali na kuonesha imani kuwa hata katika sekta ya sanaa atawaondolea changamoto mbalimbali na kuwaletea mabadiliko.

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WA GAIRO WAMFAGILIA DKT. MAGUFULI

Rais Kikwete, Waiziri wa Ujenzi Dkt.Magufuli, Naibu Waziri wa Maji Amos Makalla, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Musa Iyombe, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Joel Bendera, M/Kiti Kamati ya Miundombinu Profesa Kapuya, M/kiti Bodi Mfuko wa Barabara Dr.Wanyancha, M/kiti Bodi ya Makandarasi Consolata Ngimbwa, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mhandisi Mfugale na Wakandarasi wa mradi wa Magole - Turiani. Nyumba za Makandarasi zitakazokabidhiwa kwa wananchi wa Wilaya ya Mvomero...

 

9 years ago

Michuzi

TAFFA WAMFAGILIA MAGUFULI, WATAKA BANDARI KAVU ZIFUTWE

 Rais wa Chama cha Wakala wa Forodha Tanzania (Taffa), Stephen Ngatunga (kushoto), akizungumza kuhusiana na kazi inayofanywa na serikali katika kudhibiti wizi na ukwepaji wa kodi na ushuru unaofanywa na Idara ya Forodha katika Mamlaka ya Mapato (TRA) na wafanyabiashara wasiowaadilifu wakati wa mkutano na waandishi wa habari ofsini kwake, Dar es Salaam jana. Kulia ni Naibu Rais, Edward Urio. Baadhi ya wanahabari wakiwa katka mkutano na viongozi wa TAFFA, jijini Dar es Salaam jana. 
Mwandishi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete afungua Barabara ya Songea-Namtumbo, azindua Hospitali mpya ya Wilaya ya Namtumbo leo

unnamed (46)

 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimwagilia maji mti wa kumbukumbu aliupanda muda mfupi baada ya kuzindua barabara ya Songea hadi Namtumbo yenye urefu wa kilomita 71.4 katika hafla iliyofanyika katika kijiji cha Migelegele wilayani Namtumbo leo. Wapili kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Watatu ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile, Wanne ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Changamoto za Milenia Tanzania Bwana Bernard Mchomvu,Wapili kulia ni mbunge wa Namtumbo Vita...

 

9 years ago

Habarileo

Madiwani watakiwa kufuata kasi ya Magufuli

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Shinyanga vijijini kimewataka madiwani wote kutofanya kazi kwa mazoea na kwenda sambamba na kasi ya utendaji kazi wa Dk John Magufuli.

 

11 years ago

Michuzi

Mh. Magufuli akutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato

Na Richard Bagolele,Chato
Mbunge wa jimbo la Chato na waziri wa Ujenzi Mhe. Dk. John Pombe Magufuli leo amekutana na baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwenye ukumbi wa Halamshauri na kutoa zaidi ya Shilingi Milioni 80 za mfuko wa Jimbo kwa kila kata kwa style mpya ambapo kila diwani ametaja mahitaji yake na kupewa kiasi hicho kwa ajili ya kukamilisha miradi yenye nguvu za wa wananchi.
Tofauti na miaka mingine ambapo fedha hizo zimekuwa zikitolewa na kamati maalumu...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wananchi Kilombero wamfagilia JK


Na Igamba Libonge, Kilombero
RAIS Jakaya Kikwete ameelezwa kuwa ni kiongozi aliyejitosa kikamilifu kuwakomboa Watanzania kiuchumi na kuwafanya hivi sasa watembee kifua mbele.
Kauli hiyo imetolewa na mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kutoka wilaya ya Kilombero, Kanali Mstaafu, Haruni Kondo wakati wa sherehe maalumu ya kumpongeza Rais Kikwete kwa kufanya ziara wilayani Kilombero.
Ziara hiyo imeleta matumaini makubwa kwa wakazi wa Kilombero, hasa utimizaji wa ahadi za Rais Kikwete...

 

11 years ago

Habarileo

Chadema wamfagilia Mbunge CCM

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), kimepongeza kazi zinazofanywa na Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani katika kutatua kero za wananchi sanjari na utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

 

11 years ago

Habarileo

CCM Marekani serikali 2, wazee Z’bar wamfagilia JK

WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), tawi la jijini Washington DC, Marekani wametoa tamko la kuunga mkono muundo wa serikali mbili, wakisema umewaweka Watanzania katika hali ya umoja na mshikamano kwa miaka ipatayo 50 sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani