Wananchi waua mwizi wa pikipiki
MTU mmoja mwanaume ambaye hakufahamika jina wala umri amefariki dunia baada ya kupigwa na wananchi wenye hasira kali alipokuwa akiiba pikipiki. Tukio hilo lilitokea jana majira ya saa 5:00 asubuhi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2eqWQ7Kbuuk/Xt0KdVBeQVI/AAAAAAALs64/W5UDZKkYchMuknwRj4gfWP4aE0ksNyBUgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
WIZI WA BIBLIA WAMPONZA KIBAKA DAR, WANANCHI WAMPA KIPIGO 'PAKA MWIZI'
![](https://1.bp.blogspot.com/-2eqWQ7Kbuuk/Xt0KdVBeQVI/AAAAAAALs64/W5UDZKkYchMuknwRj4gfWP4aE0ksNyBUgCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Ndonga mkazi wa Majumbasita jijini Dar es Salaam amejikuta akipokea kipigo cha 'Paka mwizi' kutoka kwa wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua Biblia ya muumini wa dini ya Kikristo aliyekuwa akielekea Kanisani.
Tukio hilo limetokea leo Juni 7,2020, saa 12 asubuhi Njia Panda ya Segerea eneo la reli ambapo kijana huyo kabla ya kukwapua Bibli hiyo alitoa panga lake na kisha kumpiga na ubapa wa panga mgongoni muumini huyo...
11 years ago
Habarileo18 Jun
Wananchi waua watuhumiwa wa ujambazi
WATUHUMIWA wawili wa ujambazi wameuawa jijini Dar es Dalaam na wananchi katika jaribio la kufanya tukio la uporaji katika eneo la benki ya NMB Wilaya ya Ilala.
11 years ago
Habarileo12 Aug
Wananchi waua majambazi wanne
WATU wanne, watatu wakidaiwa kuwa Wakenya, wanaotuhumiwa kuwa majambazi wameuawa na wananchi mjini hapa.
11 years ago
Habarileo09 Apr
Wananchi waua watatu kwa tuhuma za wizi
WATU watatu wanaodhaniwa kuwa ni vibaka wameuawa na wananchi wenye hasira kwa tuhuma za kuendesha uporaji kwa kuvunja nyumba za watu na kuiba.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-e5sA_VcXjHE/Ux9blGGkN9I/AAAAAAAFS-A/Rd2DwAlyix0/s72-c/unnamed+(54).jpg)
NMB YAWAKOMBOA VIJANA KIUCHUMI KWA KUWAPA MIKOPO NAFUU YA PIKIPIKI Ni mikopo kwa ajili ya pikipiki za miguu miwili na mitatu
9 years ago
Global Publishers17 Dec
D’Banj: Olamide si mwizi
HATIMAYE, mwimbaji maarufu wa Nigeria, D’Banj, amejibu tuhuma za prodyuza wa muziki, Dee Vee, anayemiliki kampuni ya DB Records kwamba rapa Olamide aliiba mistari kadhaa ya wimbo wake (DeeVee).
Itakumbukwa na wafuatiliaji wa muziki kwamba wiki kadhaa zilizopita, DeeVee alisema Olamide aliiba mstari kutoka katika wimbo wa D’Banj uitwao ‘Shake It’ ambao bado haujatoka.
Hata hivyo, D’Banj amesema hawezi kukiita kitendo hicho kuwa ni wizi bali ni changamoto njema. Alisema kwamba nyumba yake iko...
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Mwizi wa mapenzi akamatwa Austria
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjOo8rY0QAg0ZrDI6YKOQaQzAPnFkjYB4S8quPFiyuIA02a1ugThspuQiCgr-s9wNdFIGaQgmavFajezjNYmcrTb/YUYU.jpg?width=650)
ALIYETUHUMIWA MWIZI WA MTOTO ANASWA!
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
GLAUCOMA “mwizi wa macho wa kimyakimya”
Mwezi Januari kila mwaka jumuiya za kimataifa uungana ili kuongeza uelewa na kujenga ufahamu juu ya ugonjwa wa Glaucoma. Kampeni hii ya mwezi mzima inalenga kuleta tahadhari na kuelimisha juu ya chanzo, sababu na madhara ya ugonjwa huo, kampeni hii pia ulenga kuutaka umma kuchukua hatua madhubuti kabla ugonjwa huu mbaya haujasababisha athari kubwa. Kutokana na asili ya ugonjwa huu imesababisha ujulikane kama “the sneak thief of sight”, yaani mwizi wa macho anayekuja kwa kunyata. Hii...