Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanandoa waaswa kutatua mifarakano mapema

WANANDOA nchini wamesisitizwa kufanya mazungumzo ya pamoja na kumaliza mafarakano kwa haraka pale inapobainika mmoja wa wanandoa hao amekwenda kinyume na utaratibu ndani ya nyumba zao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wazazi waaswa kutatua tofauti zao ili kupunguza ongezeko La Watoto Wa Mitaani

 

Wakati miji mingi nchini ikiendelea kusongwa na ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu, wazazi wana wajibu wa kutatua tofauti zao ili kupunguza na hatimaye kuondoa tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.

Ugomvi unaosababishwa na ulevi baina ya wanandoa ni aina nyingine ya changamoto zizomfanya mtoto kukimbilia mjini na hivyo kuongeza mzigo kwa taasisi zinazojihusisha na malezi ya watoto.

Malezi ya mtoto yapo mikono mwa wazazi, lakini kwa suala la elimu,...

 

11 years ago

Mwananchi

FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema

Mimba kwa wasichana wadogo ni miongoni mwa sababu zinazowakatisha masomo wasichana wengi hapa Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Je unatambua jinsi ya kuepuka mifarakano katika ndoa?(2)

Wiki iliyopita tuliona sehemu ya kwanza ya maelezo haya, leo tunaendelea.

 

11 years ago

Mwananchi

Je unatambua jinsi ya kuepuka mifarakano katika ndoa?(1)

Je, kuna dalili zozote zinazoashiria kutokea mfarakano katika ndoa yako? Kama hakuna, unafanya nini kudumisha maelewano mema baina yako na mwenzako. Kama kuna dalili za mfarakano, unafanya nini kuinusuru ndoa yako? Kwa hakika hakuna jibu rahisi la swali hili.

 

9 years ago

StarTV

Viongozi BAKWATA Arusha watakiwa kufuata Katiba ili kuepuka mifarakano

Baraza la Waislamu nchini Mkoa wa Arusha limewataka viongozi wa baraza hilo kuhakikisha wanafuata katiba katika kusimamia na kutimiza majukumu yaliyoainishwa ili kuepuka mifarakano ya mara kwa mara miongoni mwa waumini na viongozi.

Baraza hilo limesema liko tayari kushirikiana na taasisi nyingine zilizo rasmi pasipo kuharibu lengo la kuwepo kwa taasisi hizo.

Haya yamezungumzwa na viongozi wa BAKWATA mkoa wa Arusha baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa viongozi wapya uchaguzi uliofanyika kwa...

 

9 years ago

GPL

10 years ago

GPL

JOYCE KIRIA NA PATI YA WANANDOA

Hamida Hassan MWANAHARAKATI na mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria kwa kutambua adha wanazokutana nazo akina mama kwenye ndoa zao, ameandaa pati maalum kwa ajili ya kuwafunda, Risasi Jumatano linakupasha.. ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1glgyiP

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanandoa wa Canada kuchunguzwa China

Mamlaka za China zimewatuhumu wana ndoa raia wa Canada wanaofanya biashara ya mgahawa nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

Wanandoa wauawa, wanyofolewa viungo

WATU wawili ambao ni wanandoa wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana na kisha wauaji hao kuchukua baadhi ya viungo vyao katika kitongoji cha Mwabasabi, wilaya ya Bunda, mkoani Mara. Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Philipo Kalangi alithibisha kutokea kwa tukio hilo usiku wa kuamkia Desemba 24 mwaka huu. Kamanda Kalangi aliwataja waliouawa kuwa ni Maduhu Mizingo ambaye ni mlemavu wa macho na mkewe aliyekuwa anamuongoza, Zawadi Sarehe (56), wote ni wakazi wa kijiji cha Mcharo wilayani hapa. Imeelezwa, watu hao waliuawa na watu hao wakati wakitoka kusaga nafaka katika kijiji hicho majira ya saa 2:00 usiku. Taarifa za awali kutoka katika kijiji hicho zinasema mauaji hayo yanatokana na mgogoro wa ardhi, ambapo kesi ya mgogoro huo iko mahakamani na watu wanaodaiwa kufanya mauaji hayo wake zao wanashikiliwa na polisi baada ya waume zao kukimbia. Mwenyekiti wa kijiji hicho, Matwiga Muga, aliwataja watu wanaotuhumiwa kufanya mauaji hayo ya kinyama kuwa ni mwalimu mstaafu Charles Mgogo na kijana wake Lunyangi Charles ambapo wote ni wakazi wa kijiji hicho na kwamba wametoroka. Alisema waliouawa walikuwa na mgogoro wa ardhi yenye ukubwa wa ekari moja na watuhumiwa hao, kwa kipindi kirefu, ikiwa ni pamoja na kumshambulia kwa kipigo mara kwa mara mlemavu huyo wa macho na kesi kufikishwa kwenye ofisi yake na kisha mahakamani. Ofisa Mtendaji wa kata hiyo, Waziri Kingi na Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho, Betysheba Maingu, walisema mauaji ya wanandoa hao yaligunduliwa na mtoto wao wa kiume aliyekuwa anakwenda shambani majira ya asubuhi. Ilielezwa kuwa, mtoto huyo baada ya kufika katika eneo hilo aliuona mwili wa baba yake ukiwa umetelekezwa pembezoni mwa barabara, huku marehemu akiwa ameshikilia fimbo aliyokuwa anaitumia kumwongoza. Aidha, ilielezwa kuwa kijana huyo alipokagua katika eneo hilo alibahatika kuuona mwili wa mama yake ukiwa umekunjwakunjwa baada ya kucharangwa mapanga na kufichwa pembezoni mwa kichaka jirani kabisa na nyumbani kwao. Polisi walisema daktari aliyefanya uchunguzi wa mwili wa mwanamke ulibainika kunyofolewa baadhi ya viungo vikiwemo sehemu zake za siri, macho, titi la kulia na makalio. Aidha, alisema kuwa mwanamume huyo alikatwa panga kichwani na kutelekezwa katika eneo hilo ambapo mwili wake ulikutwa ukishambuliwa na wadudu wengi aina ya siafu.WATU wawili ambao ni wanandoa wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana na kisha wauaji hao kuchukua baadhi ya viungo vyao katika kitongoji cha Mwabasabi, wilaya ya Bunda, mkoani Mara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani