Wanandoa waaswa kutatua mifarakano mapema
WANANDOA nchini wamesisitizwa kufanya mazungumzo ya pamoja na kumaliza mafarakano kwa haraka pale inapobainika mmoja wa wanandoa hao amekwenda kinyume na utaratibu ndani ya nyumba zao.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV24 Dec
Wazazi waaswa kutatua tofauti zao ili kupunguza ongezeko La Watoto Wa Mitaani
Wakati miji mingi nchini ikiendelea kusongwa na ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu, wazazi wana wajibu wa kutatua tofauti zao ili kupunguza na hatimaye kuondoa tatizo la watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.
Ugomvi unaosababishwa na ulevi baina ya wanandoa ni aina nyingine ya changamoto zizomfanya mtoto kukimbilia mjini na hivyo kuongeza mzigo kwa taasisi zinazojihusisha na malezi ya watoto.
Malezi ya mtoto yapo mikono mwa wazazi, lakini kwa suala la elimu,...
11 years ago
Mwananchi24 Jun
FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Je unatambua jinsi ya kuepuka mifarakano katika ndoa?(2)
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Je unatambua jinsi ya kuepuka mifarakano katika ndoa?(1)
9 years ago
StarTV02 Dec
Viongozi BAKWATA Arusha watakiwa kufuata Katiba ili kuepuka mifarakano
Baraza la Waislamu nchini Mkoa wa Arusha limewataka viongozi wa baraza hilo kuhakikisha wanafuata katiba katika kusimamia na kutimiza majukumu yaliyoainishwa ili kuepuka mifarakano ya mara kwa mara miongoni mwa waumini na viongozi.
Baraza hilo limesema liko tayari kushirikiana na taasisi nyingine zilizo rasmi pasipo kuharibu lengo la kuwepo kwa taasisi hizo.
Haya yamezungumzwa na viongozi wa BAKWATA mkoa wa Arusha baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa viongozi wapya uchaguzi uliofanyika kwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4Jr9CXAPEIjO1GfEamQHrF7pt2Plm75ThucB3G7UueOKZTtF4YKViqZWnXvoX1OB5TBBZSQ97KCw09CXJV*fqm5z/IMG20150727WA0049.jpg?width=550)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dyivh8oZtExxzCMe4oii5gtmGu4Rhsdx8qdupE3kFNu3kRYPSQBaA7NOJFZ6ejur1UIW0wZmDThMJtGBawtfNYALXU6a-yAr/joyce.gif?width=650)
JOYCE KIRIA NA PATI YA WANANDOA
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Wanandoa wa Canada kuchunguzwa China
10 years ago
Habarileo26 Dec
Wanandoa wauawa, wanyofolewa viungo
WATU wawili ambao ni wanandoa wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana na kisha wauaji hao kuchukua baadhi ya viungo vyao katika kitongoji cha Mwabasabi, wilaya ya Bunda, mkoani Mara.