Wanaoitana tumbili na mwizi wanatufundisha nini?
INAWEZEKANA sio wengi walioshtushwa sana na kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Serikali kumuita mbunge tumbili. Kwa Bunge hili lililo chini ya Anne Makinda, tumeshuhudia mengi sana. Tulishahuhudia mbunge akimwambia mwenzake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Jun
Werema amuita Mbunge tumbili
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili. Kabla ya kutoa kauli hiyo, Werema alikuwa akitoa ufafanuzi wa mwongozo ulioombwa na Kafulila, kuhusu fedha zilizokuwa katika akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ambazo zimelipwa kwa kampuni ya PAP, inayomiliki mitambo ya kampuni ya umeme ya Independent Power Tanzania Limited(IPTL).
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Vuta nikuvute kuhusu ‘selfie’ ya tumbili
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Saudia yakataa tumbili wa Sweden Kisa ?
10 years ago
BBCSwahili07 May
Tumbili mwenye jina sawa na bintimfalme
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Kwa Werema Watanzania ni tumbili wa kukatwa vichwa!
KATIKA makala yangu ya wiki iliyopita, niliyokuwa naunga mkono wazo la Juvenalis Ngowi la kupunguza ukubwa wa Bunge letu, nilisema kwamba upungufu wa elimu ya uraia kwa wananchi ni tatizo...
9 years ago
Global Publishers17 Dec
D’Banj: Olamide si mwizi
HATIMAYE, mwimbaji maarufu wa Nigeria, D’Banj, amejibu tuhuma za prodyuza wa muziki, Dee Vee, anayemiliki kampuni ya DB Records kwamba rapa Olamide aliiba mistari kadhaa ya wimbo wake (DeeVee).
Itakumbukwa na wafuatiliaji wa muziki kwamba wiki kadhaa zilizopita, DeeVee alisema Olamide aliiba mstari kutoka katika wimbo wa D’Banj uitwao ‘Shake It’ ambao bado haujatoka.
Hata hivyo, D’Banj amesema hawezi kukiita kitendo hicho kuwa ni wizi bali ni changamoto njema. Alisema kwamba nyumba yake iko...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjOo8rY0QAg0ZrDI6YKOQaQzAPnFkjYB4S8quPFiyuIA02a1ugThspuQiCgr-s9wNdFIGaQgmavFajezjNYmcrTb/YUYU.jpg?width=650)
ALIYETUHUMIWA MWIZI WA MTOTO ANASWA!
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Wananchi waua mwizi wa pikipiki
MTU mmoja mwanaume ambaye hakufahamika jina wala umri amefariki dunia baada ya kupigwa na wananchi wenye hasira kali alipokuwa akiiba pikipiki. Tukio hilo lilitokea jana majira ya saa 5:00 asubuhi...
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Mwizi wa mapenzi akamatwa Austria