Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaoitana tumbili na mwizi wanatufundisha nini?

INAWEZEKANA sio wengi walioshtushwa sana na kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Serikali kumuita mbunge tumbili. Kwa Bunge hili lililo chini ya Anne Makinda, tumeshuhudia mengi sana.  Tulishahuhudia mbunge akimwambia mwenzake...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Werema amuita Mbunge tumbili

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili. Kabla ya kutoa kauli hiyo, Werema alikuwa akitoa ufafanuzi wa mwongozo ulioombwa na Kafulila, kuhusu fedha zilizokuwa katika akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ambazo zimelipwa kwa kampuni ya PAP, inayomiliki mitambo ya kampuni ya umeme ya Independent Power Tanzania Limited(IPTL).

 

9 years ago

BBCSwahili

Vuta nikuvute kuhusu ‘selfie’ ya tumbili

Mpigapicha anayedai kumiliki ‘selfie’ ya tumbili kutoka Indonesia amesema atapinga jaribio la kumpokonya hakimiliki ya picha hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Saudia yakataa tumbili wa Sweden Kisa ?

Saudi Arabia imekatalia mbali tumbili wanne kutoka Sweden kufuatia tofauti za kidiplomasia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tumbili mwenye jina sawa na bintimfalme

Hifadhi moja ya wanyama huko Japan imelazimika kuomba msamaha baada ya kuipa tumbili jina sawa na la binti mfalme wa Uingereza Charlotte

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa Werema Watanzania ni tumbili wa kukatwa vichwa!

KATIKA makala yangu ya wiki iliyopita, niliyokuwa naunga mkono wazo la Juvenalis Ngowi la kupunguza ukubwa wa Bunge letu, nilisema kwamba upungufu wa elimu ya uraia kwa wananchi ni tatizo...

 

9 years ago

Global Publishers

D’Banj: Olamide si mwizi

imageHATIMAYE, mwimbaji maarufu wa Nigeria, D’Banj, amejibu tuhuma za prodyuza wa muziki, Dee Vee, anayemiliki kampuni ya DB Records kwamba rapa Olamide aliiba mistari kadhaa ya wimbo wake (DeeVee).

Itakumbukwa na wafuatiliaji wa muziki kwamba wiki kadhaa zilizopita, DeeVee alisema Olamide aliiba mstari kutoka katika wimbo wa D’Banj uitwao ‘Shake It’ ambao bado haujatoka.

Hata hivyo, D’Banj amesema hawezi kukiita kitendo hicho kuwa ni wizi bali ni changamoto njema. Alisema kwamba nyumba yake iko...

 

10 years ago

GPL

ALIYETUHUMIWA MWIZI WA MTOTO ANASWA!

Dustan Shekidele, Moro SIKU chache baada ya gazeti hili kuripoti kuibiwa kwa mtoto lrene Daniel mwenye umri wa siku 34, mkazi wa Kilakala, mkoani hapa, habari njema ni kwamba mwizi wa mtoto huyo amenaswa laivu, Ijumaa Wikienda lina full stori. Huyu ndio mama aliyeibiwa mtoto wake Mei 8 mwaka huu huko mkoani Morogoro. Mtoto huyo aliibiwa kimafia Mei 8, mwaka huu wakati mama yake Martha Masawe akiwa kwenye foleni katika Kliniki ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi waua mwizi wa pikipiki

MTU mmoja mwanaume ambaye hakufahamika jina wala umri amefariki dunia baada ya kupigwa na wananchi wenye hasira kali alipokuwa akiiba pikipiki. Tukio hilo lilitokea jana majira ya saa 5:00 asubuhi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwizi wa mapenzi akamatwa Austria

Polisi nchini Austria wanawahoji wanawake ambao wamehadaiwa na mwanamume mwenye mazoea ya kuwapenda wanawake wengi tu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani