Werema amuita Mbunge tumbili
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili. Kabla ya kutoa kauli hiyo, Werema alikuwa akitoa ufafanuzi wa mwongozo ulioombwa na Kafulila, kuhusu fedha zilizokuwa katika akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ambazo zimelipwa kwa kampuni ya PAP, inayomiliki mitambo ya kampuni ya umeme ya Independent Power Tanzania Limited(IPTL).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Kwa Werema Watanzania ni tumbili wa kukatwa vichwa!
KATIKA makala yangu ya wiki iliyopita, niliyokuwa naunga mkono wazo la Juvenalis Ngowi la kupunguza ukubwa wa Bunge letu, nilisema kwamba upungufu wa elimu ya uraia kwa wananchi ni tatizo...
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Saudia yakataa tumbili wa Sweden Kisa ?
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Wanaoitana tumbili na mwizi wanatufundisha nini?
INAWEZEKANA sio wengi walioshtushwa sana na kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Serikali kumuita mbunge tumbili. Kwa Bunge hili lililo chini ya Anne Makinda, tumeshuhudia mengi sana. Tulishahuhudia mbunge akimwambia mwenzake...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Tumbili mwenye jina sawa na bintimfalme
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Vuta nikuvute kuhusu ‘selfie’ ya tumbili
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnAxcylq3ij3VvXcGFTJ-f*t88tIFfaI5cfNgMIGP3S3Va-4CEsttE8COwvkGy-qU1AzTHSnGYN1G8C8*n1je7-awbgqRexu/hhtrwyq4u.jpg?width=650)
DIAMOND AMUITA JOKATE MAKOMBO
10 years ago
Mwananchi27 Jun
Mwandosya amuita Lowassa kambi yake
10 years ago
Vijimambo30 Nov
WEMA AMPONGEZA DIAMOND AMUITA KAKA
![](http://api.ning.com/files/Ov90wJC7zCwW5NEI-hh97AM3L6O74SHLn3L*V2mLMpmEXlxMGHQq3zYEy56e9EHzjuDD*H9HEY3Lg3FuOhSgYFkdEIk7V68n/07diamondtuzo7.jpg?width=650)
Miongoni mwa watu waliompongeza kwa ushindi huo ni Wema Sepetu ambaye tumezoea akimuita staa huyo ‘my baby’, awamu hii ameitwa ‘kaka’. “Gnyt Instagramers… And Hongera tele ziende kwa kaka platnumz… I must say he did Tanzania proud,” aliandika Wema kwenye Instagram muda mfupi baada ya tuzo hizo kuisha ikimaanisha kuwa alikuwa...
10 years ago
CloudsFM01 Dec
WEMA AMUITA DIAMOND ‘KAKA’, AMPONGEZA KUNYAKUA TUZO TATU
STAA wa Bongo,Wema Sepetu amempongeza aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platinumz baada ya kunyakua tuzo tatu za Channel O Music Awards Jumamosi iliyopita zilizofanyika jijini Johhanesburg,Afrika Kusini.