Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saudia yakataa tumbili wa Sweden Kisa ?

Saudi Arabia imekatalia mbali tumbili wanne kutoka Sweden kufuatia tofauti za kidiplomasia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

FAMILIA YAKATAA KUCHUKUA MAITI MOCHWARI, KISA YANYOFOLEWA VIUNGO

Vurugu kubwa zimetokea katika kijiji cha Buyango wilayani Muleba mkoani Kagera baada ya wazazi kuikataa maiti ya mtoto wao kwa madai amenyofolewa viungo vyake vya mwili hali iliyosababisha polisi kutumia mabomu ya machozi kutawanya makundi yaliyofunga barabara na kubomoa chumba cha kuhifadhia maiti kutafuta viungo hivyo.

Vurugu hizo zimetokea baada ya mama mmoja mkazi wa Arusha aliyepeleka maiti ya mtumishi wake wa ndani na kuwakabidhi wazazi wake kwa masharti ya kutoifunua hali...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI DORA MSECHU AWASILISHA HATI ZAKE ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA SWEDEN, AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO SWEDEN NA KUPOKELEWA KWA SHANGWE

 Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu akisindikizwa kuingia kwenye kasri ya Mfalme wa Sweden ili kuwasilisha hati zake za utambulisho.  Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu na ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na Mfalme wa Sweden  kasri ya Mfalme wa Sweden akipofika kuwasilisha hati zake za utambulisho.   Balozi mpya wa Tanzania nchini Sweden Mhe. Dorah Msechu akipeana mikono na Mfalme wa Sweden baada ya kuwasilisha hati za utambulishoBaada ya...

 

11 years ago

Habarileo

Werema amuita Mbunge tumbili

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, ameteleza ulimi tena na mara hii amejikuta akimuita Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) tumbili. Kabla ya kutoa kauli hiyo, Werema alikuwa akitoa ufafanuzi wa mwongozo ulioombwa na Kafulila, kuhusu fedha zilizokuwa katika akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ambazo zimelipwa kwa kampuni ya PAP, inayomiliki mitambo ya kampuni ya umeme ya Independent Power Tanzania Limited(IPTL).

 

9 years ago

BBCSwahili

Vuta nikuvute kuhusu ‘selfie’ ya tumbili

Mpigapicha anayedai kumiliki ‘selfie’ ya tumbili kutoka Indonesia amesema atapinga jaribio la kumpokonya hakimiliki ya picha hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaoitana tumbili na mwizi wanatufundisha nini?

INAWEZEKANA sio wengi walioshtushwa sana na kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa Serikali kumuita mbunge tumbili. Kwa Bunge hili lililo chini ya Anne Makinda, tumeshuhudia mengi sana.  Tulishahuhudia mbunge akimwambia mwenzake...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tumbili mwenye jina sawa na bintimfalme

Hifadhi moja ya wanyama huko Japan imelazimika kuomba msamaha baada ya kuipa tumbili jina sawa na la binti mfalme wa Uingereza Charlotte

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa Werema Watanzania ni tumbili wa kukatwa vichwa!

KATIKA makala yangu ya wiki iliyopita, niliyokuwa naunga mkono wazo la Juvenalis Ngowi la kupunguza ukubwa wa Bunge letu, nilisema kwamba upungufu wa elimu ya uraia kwa wananchi ni tatizo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yakataa najisi ya JK

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimedaka taarifa za siri za Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zilizoonyesha mbinu za chama tawala kutaka kuingiza vyama vya upinzani katika mtego...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yakataa katiba mpya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi msimamo wake, kikisema kuwa hakina mpango na katiba mpya, na kwamba jambo muhimu kwao ni kuangalia matatizo ya wananchi. Msimamo huo ulitolewa na Katibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani