Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaume acheni tabia hii

MWANZONI mwa mwezi huu wanawake duniani kote waliungana kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, inayosherehekewa Machi 8 ya kila mwaka. Hivyo, leo nimejikita kuzungumzia siku hiyo kwa ujumla bila kuangalia walemavu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mradi wa TMEP wafanikiwa kuwabadilisha tabia Wanaume Manyoni

DSC09740

Mganga mkuu wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida, Dk.Rahim Hagai, akifafanua jambo kwa timu iliyokuwa inafanya tathimini juu ya utekelezaji wa mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika afya ya uzazi na ujinsia.

Na Nathaniel Limu, Manyoni

WANAUME mkoani Singida, endapo watashiriki kikamilifu usawa wa afya ya uzazi na ujinsia, hatua hiyo itasaidia kupunguza vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga kwa asilimia 80, imeelezwa.

Utabiri huo umetolewa na mganga mkuu wa wilaya ya Manyoni...

 

10 years ago

Vijimambo

TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA

Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini
Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale wa Modewji blogMiongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es Salaam....

 

10 years ago

Dewji Blog

TAHARIRI: Tabia hii ya wauza mitumba soko la Mchikichini ni udhalilishaji wa kijinsia

Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini

Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam.

Na Andrew Chale wa Modewji blog

Miongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.

Kwa muda mrefu  mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu  waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya watu wengi karibu maeneo mengi ikiwemo jiji la Dar es...

 

10 years ago

GPL

TAHARIRI: TABIA HII YA WAUZA MITUMBA SOKO LA MCHIKICHINI NI UDHALILISHAJI WA KIJINSIA‏

Baadhi ya wateja wa nguo wakichagua nguo kwenye soko la Mchikichini jijini Dar es Salaam. Na Andrew Chale wa Modewji blog
Miongoni mwa mambo ya aibu katika jamii ni pamoja na masuala ya udhalilishaji wa kijinsia ukiwemo ule wa maungoni hasa kwa wanawake.
Kwa muda mrefu mtandao huu umekuwa ukifuatilia vitendo hivyo vibaya kwa jamii vinavyofanywa na watu waliokosa ustaarabu hasa jamii ya vijana katika maeneo ya mikusanyiko ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue

MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na  Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi


Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Acheni kulalamika

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka Watanzania kuacha kulalamika baadala yake wachukue maamuzi magumu ya kutokichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambacho kimebobea kwa...

 

10 years ago

Habarileo

'Chadema acheni vurugu'

MBUNGE wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (CUF) amewataka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutobweteka kwa kupata majimbo mengi badala yake wakue kifikra kwa kuachana na vurugu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani