Wapagazi Meru, Kilimanjaro kugoma Machi 7
Wapagazi wa Mlima Kilimanjaro na Meru, wametoa siku 30 kwa kampuni zinazopokea watalii wanaopanda milima hiyo kuanza kuwalipa Sh15,000 kwa siku, vinginevyo watagoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKilimanjaro Marathon 2015 kufanyika Machi 1,mjini Moshi
Mkurugenzi wa Mbio hizo John Bayo jana katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliwataja baadhi ya wanariadha nyota kutoka Tanzania kuwa ni Andrew Sambu, Daudi Joseph, Mashaka Masumbuko, watachuana na wanariadha wengine kutoka nchini na kutoka nje ya nchi katika mbio za Kilimanjaro Premium Lager...
10 years ago
MichuziWIZARA YA MALIASILI YABARIKI KUANZISHWA KWA MFUKO WA KULINDA MLIMA KILIMANJARO NA MLIMA MERU
10 years ago
Dewji Blog06 May
Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”
Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Serikali yamalizana na wapagazi
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Wapagazi K’njaro waandaa mgomo
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Mawakala wapinga mgomo wa wapagazi
MGOMO uliotangazwa na Chama cha Wapagazi Tanzania (TPO) wa kugoma kutoa huduma kwa watalii katika Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru, umeanza kuwaumiza vichwa mawakala wa shuguli za utalii katika mikoa...
11 years ago
Habarileo07 Mar
Serikali yazima mgomo wa wapagazi
SERIKALI imetangaza kusitisha mgomo wa wapagazi wa mlima Kilimanjaro, uliokuwa unatarajiwa kuanza kwa kushirikisha zaidi ya wapagazi 15,000 wa Mlima Kilimanjaro na Meru.
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Mishahara ya wapagazi, waongoza watalii yapanda
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Serikali yafanikiwa kuzima mgomo wa wapagazi Arusha