Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapagazi Meru, Kilimanjaro kugoma Machi 7

Wapagazi wa Mlima Kilimanjaro na Meru, wametoa siku 30 kwa kampuni zinazopokea watalii wanaopanda milima hiyo kuanza kuwalipa Sh15,000 kwa siku, vinginevyo watagoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Kilimanjaro Marathon 2015 kufanyika Machi 1,mjini Moshi

Mbio za 13 za Kilimanjaro Marathon ambazo zimepangwa kufanyika Machi 1, 2015 mjini Moshi mkoani Kilimanjaro zimepata msisimko mpya baada ya wanariadha nyota wa Tanzania kuthibitisha kushiriki.
Mkurugenzi wa Mbio hizo John Bayo jana katika taarifa yake kwa vyombo vya habari aliwataja baadhi ya wanariadha nyota kutoka Tanzania kuwa ni Andrew Sambu, Daudi Joseph, Mashaka Masumbuko, watachuana na wanariadha wengine kutoka nchini na kutoka nje ya nchi katika mbio za Kilimanjaro Premium Lager...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI YABARIKI KUANZISHWA KWA MFUKO WA KULINDA MLIMA KILIMANJARO NA MLIMA MERU

Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyalandu akizungumza wakati wa kikao kilicho shirikisha Kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Mazingira,Wabunge katika majimbo ya mikoa ya Arusha na Kilimanjaro,Wakuu wa wilaya zinazopakana na mlima Kilimanjaro na mlima Meru,TANAPA na Idara ya Misitu,(kulia)ni kaimu mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Ibrahim Msengi.Naibu waziri wa TAMISEMI ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Siha ,akichangia wakati wa kikao cha kuanzishwa kwa mchakato wa uanzishwaji mfumo wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”

IMG-20150506-WA0008

Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yamalizana na wapagazi

Serikali imefikia maazimio saba yatakayowawezesha waongoza utalii na wapagazi kupata ujira wao stahiki na kwa wakati.

 

11 years ago

Mwananchi

Wapagazi K’njaro waandaa mgomo

Chama cha Wapagazi Kilimanjaro (Kiato), kimelishutumu Shirika la Tanzania Porters Organization(TPO), kwa hatua yake ya kutangaza mgomo nchi nzima, kikisema mgomo huo utavuruga sekta ya utalii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mawakala wapinga mgomo wa wapagazi

MGOMO uliotangazwa na Chama cha Wapagazi Tanzania (TPO) wa kugoma kutoa huduma kwa watalii katika Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru, umeanza kuwaumiza vichwa mawakala wa shuguli za utalii katika mikoa...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yazima mgomo wa wapagazi

SERIKALI imetangaza kusitisha mgomo wa wapagazi wa mlima Kilimanjaro, uliokuwa unatarajiwa kuanza kwa kushirikisha zaidi ya wapagazi 15,000 wa Mlima Kilimanjaro na Meru.

 

9 years ago

Mwananchi

Mishahara ya wapagazi, waongoza watalii yapanda

Hatimaye mgogoro wa malipo ya waongoza na wabeba mizigo ya watalii umemalizika, baada ya mawakala wa utalii na wadau kufikia makubaliano ya kuwaongezea ujira kuanzia Januari mosi mwakani.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yafanikiwa kuzima mgomo wa wapagazi Arusha

Serikali imefanikiwa kusitisha mgomo wa wapagazi uliotarajiwa kuanza leo ukiwashirikisha zaidi ya wapagazi 15,000 wa Mlima Kilimanjaro na Meru.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani