Wasanii wahamasisha usafi Temeke
WASANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, leo wanatarajia kufanya shoo katika viwanja vya Mwembeyanga, Temeke jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuhamasisha usafi katika wilaya hiyo. Kabla ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA BEACON WAHAMASISHA USAFI WA MAZINGIRA.
9 years ago
Dewji Blog31 Aug
UN yafanya usafi soko la Temeke Stereo kuadhimisha miaka 70
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akizungumza machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema (katikati) kabla ya kuanza zoezi la usafi katika soko la Temeke Stereo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa. Kushoto ni Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.(Picha...
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
TTCL waitumia 9 Desemba kusafisha Soko Temeke, wasaidia vifaa vya usafi
![](http://2.bp.blogspot.com/-pjWNNRKGQ70/VmgBC_xoAcI/AAAAAAAAFqI/iiDCT8TJ1a8/s640/IMG_0311.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OBqCG3-hUbs/VmgBCGtiAVI/AAAAAAAAFqA/EpbsJnQ0p5c/s640/IMG_0306.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aE3NtzgfBX8/VmgBDJVSwsI/AAAAAAAAFqM/pAo3dvUGa5A/s72-c/IMG_0323.jpg)
TTCL WAITUMIA 9 DESEMBA KUSAFISHA SOKO LA TEMEKE STEREO NA WASAIDIA VIFAA VYA USAFI
![](http://3.bp.blogspot.com/-aE3NtzgfBX8/VmgBDJVSwsI/AAAAAAAAFqM/pAo3dvUGa5A/s640/IMG_0323.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JHZVa96yu3s/VmgBEZ8_NdI/AAAAAAAAFqg/VZm7EmKGzcU/s640/IMG_0371.jpg)
10 years ago
MichuziMakundi 5 yang'ara ndani ya Temeke kwenye usaili wa kwanza Dance 100% 2015 Temeke
![](http://3.bp.blogspot.com/-XPdO8YyqAFc/VbW6nkYPD1I/AAAAAAAAa-A/BKGhxcxMLwU/s640/Kati%2Bya%2Bmakundi%2Bmatano%2Byaliyopita%2Bkwenye%2Busajili%2Bwa%2Bkwanza%2Bwa%2BDance%2B100%2525%2B%25282015%2529%2B-%2BTemeke.%2BKundi%2Blinaitwa%2B%2527The%2BBest%2BBoys%2BKaka%2BZao%2527.jpg)
Makundi haya yamechuana vikali na mengine 6 yanayokamilisha idadi ya makundi 11, UNI 6 Crew, GMF Crew, TWC, Dar Crew, Noma Sana Crew, na Viga Stars yaliyojitokeza kuwania nafasi hiyo katika usajili huo wa kwanza.
Mratibu wa...
10 years ago
Habarileo23 Sep
Wahandisi wahamasisha masomo ya sayansi
TAASISI ya Wahandisi Tanzania (IET) imeshauri Serikali kuanzisha kampeni za kuhamasisha masomo ya sayansi na teknolojia katika shule za msingi na sekondari kuwezesha taifa kuwa na wataalamu wa kutosha kutoka katika eneo hilo.
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA TEMEKE NDUGU SOPHIA MJEMA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA SIKU 5 YA KUZUIA MIMBA ZA UTOTONI KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI WILAYANI TEMEKE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rZGcwBda_8g/VVH7nk9ByCI/AAAAAAAAAiM/91d77aHgo5g/s72-c/IMG_9384.jpg)
WAKALA WA MISITU WAHAMASISHA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA NYUKI.
Hayo yamezungumzwa na Afisa ufugaji nyuki mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Mwanahamisi Mapolu wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa idara ya habari MAELEZO jijini Dar es Salaam leo.
Mapolu amesema kuwa wawekezaji wajikite zaidi katika usimamiaji wa viwanda vitakavyozalisha...
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Maofisa wa UN wahamasisha wanafunzi wa Jangwani kutekeleza ajenda za Umoja wa Mataifa
Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa Bi. Usia Nkhoma Ledama, akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Jangwani akiwa ameambatana na maafisa wenzake wa mashirika ya Umoja wa Mataifa ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 69 toka Umoja wa Mataifa unazishwe. Kushoto kwa Bi Ledama ni Albert Okal (ILO).
Shamrashamra za maadhimisho ya miaka 69 toka Umoja wa Mataifa uanzishwe zimeanza nchini, na leo jumatano maofisa waandamizi wa UN walitembelea shule ya sekondari ya...